Mtu mmoja aniambie ni kitu gani serikali ya Tanzania na watumishi wake wote hufanya kwa usahihi, weledi na inavyo paswa kufanyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mmoja aniambie ni kitu gani serikali ya Tanzania na watumishi wake wote hufanya kwa usahihi, weledi na inavyo paswa kufanyika
Iwe kauawa na hamas au mashambilizi ya israel huko gaza Lakini chanzo ni walichokifanya hamas Oct 7..Kauliwa na Isreal
Sio kweliIwe kauawa na hamas au mashambilizi ya israel huko gaza Lakini chanzo ni walichokifanya hamas Oct 7..
Kweli ni ipi?Sio kweli
Kinachokusikitisha zaidi ni Mauaji ya mtanzania mwenzako au mpalestina ??Mnailaumu hamas miaka yote hiyo wavamizi israel wanavyowauwa wapalestina mulikuwa hamuoni
Serious accusations halafu unafanya guessing tu 🤔🤔Iko hivi, wathailand 12 wameachiwa pamoja na waisrael 12 ikiwa ni makubaliano yaliyofanyika Kati ya Israel na Hamas. Sasa tujadili hill jambo. Clemence Mtenga sasa ni marehemu, amefia Gaza. Mpaka sasa maelezo hayajanyooshwa kuwa kafa kwa kombora, au gunshot etc. Vyombo vya habari vinavyojulikana hapa nchini hawakutangaza kuhusu hawa Vijana waliotekwa hata katika tukio la bwana Clemence kufariki. Katika pita pita Zangu mtandaoni niliona kuwa serikali ya Thailand ilifanya makubaliano na Iran ili wananchi wao waachiwe. Lakini bongo kuna watu wengi hawana hata taarifa kuwa kuna Mtanzania kauwawa. Nina unpopular opinion, mimi nadhani ubaguzi wa rangi na udini umefanya hili jambo lisichukuliwe kwa uzito na kusababisha kifo. Inasemekana wapalestina waarabu ni wabaguzi wa rangi kwa black Palestinians....inawezekana Hamas wamemuua kwasababu his, au alishikiliwa na raia na katika missle akawa mhanga. Pili mimi naamini Jina lake lingekuwa Rashid Mtenga, tungekuwa nae....ila kwa kuwa anaonekana sio part ya Islam umma, wala hakuna alietilia maanani kwanzia viongozi wa dini waliotaka kuandamana mpaka serikalini.
Utakuwa unachuki na waislam sio bure. Ukiwauliza mateka watakwambia Hamas ni watu wenye utu kuliko hata baba zao na mama zaoYale mapelistina huwa ya kipuuzi sana. Yakikukamata usalama wako unakuwa mdogo sana, yanauliza dini, ukisema ni mkristo umeisha ukisema ni muislam yanakuona ni ndugu yao na uko pamoja nao katika mapambano yao
Utakuwa unachuki na waislam sio bure. Ukiwauliza mateka watakwambia Hamas ni watu wenye utu kuliko hata baba zao na mama zao
Allahu AhmaqUtakuwa unachuki na waislam sio bure. Ukiwauliza mateka watakwambia Hamas ni watu wenye utu kuliko hata baba zao na mama zao
Utakuwa unachuki na waislam sio bure. Ukiwauliza mateka watakwambia Hamas ni watu wenye utu kuliko hata baba zao na mama zao
Allahu AhmaqUtakuwa unachuki na waislam sio bure. Ukiwauliza mateka watakwambia Hamas ni watu wenye utu kuliko hata baba zao na mama zao
we vipi? Yuko wapi mtanzania mwenzetu? Tupatiwe maelezo kuhusu kuawawa akiwa mateka huko gaza ni nani wamemua kama si hamas wanaojinasibu kuwa ni waislam?Utakuwa unachuki na waislam sio bure. Ukiwauliza mateka watakwambia Hamas ni watu wenye utu kuliko hata baba zao na mama zao
Hamas siyo Waislamuwe vipi? Yuko wapi mtanzania mwenzetu? Tupatiwe maelezo kuhusu kuawawa akiwa mateka huko gaza ni nani wamemua kama si hamas wanaojinasibu kuwa ni waislam?
ni wapuuzi gani hao magaidi?Hamas siyo Waislamu
😆Hawajapewa uzito sababu kwanza sio dini ile pendwa kwa serikali awamu hii pili sio wazenji tatu hawana uarabu daah
So according to you, Israel missiles zimewabagua Thailand citizens, Philippine citizens na wale wazee walioachiliwa leo imeenda kuua Clemence. Are you serious bruv? Okay IDF missiles zina ubaguzi wa rangi ffsKauwawa na IDF .. Clemence Hana impact yoyote kwa Hamas ila IDF wamemuua ili kuja kuwa blame freedom fighters hamas ...
Mimi ninavyoona, serikali yetu ilikuwa na uwezo mzuri wa kufanya negotiations either na Proxy wa Hamas (Iran) kama walivyofanya Thailand or something else. Ninachomaanisha ni kwamba hawakutiliwa maanani sasa Joshua Mollel hatujui kama yup salama au la.Poleni watanzania wote kwa kuondokewa na kijana Clement. Inahuzunisha.
Suluhisho la hili ni nini, mleta mada.?
Majibu yatatoa mwanga u-raia wa namna gani!