bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Wewe yahudi mweusi wa mazese kwa mfuga mbwa huo mgogoro kwani umeanza hiyo Oct 7 pole sanaIwe kauawa na hamas au mashambilizi ya israel huko gaza Lakini chanzo ni walichokifanya hamas Oct 7..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe yahudi mweusi wa mazese kwa mfuga mbwa huo mgogoro kwani umeanza hiyo Oct 7 pole sanaIwe kauawa na hamas au mashambilizi ya israel huko gaza Lakini chanzo ni walichokifanya hamas Oct 7..
uKweli ni kwamba Tanzan ia tunafanya mambo mengi kienyeji sana sana, ukienda kwenye hizo balozi wamejazana ndugu, marafiki na wale akina nanihii, na sio taalumaIko hivi, wathailand 12 wameachiwa pamoja na waisrael 12 ikiwa ni makubaliano yaliyofanyika Kati ya Israel na Hamas. Sasa tujadili hill jambo. Clemence Mtenga sasa ni marehemu, amefia Gaza. Mpaka sasa maelezo hayajanyooshwa kuwa kafa kwa kombora, au gunshot etc. Vyombo vya habari vinavyojulikana hapa nchini hawakutangaza kuhusu hawa Vijana waliotekwa hata katika tukio la bwana Clemence kufariki. Katika pita pita Zangu mtandaoni niliona kuwa serikali ya Thailand ilifanya makubaliano na Iran ili wananchi wao waachiwe. Lakini bongo kuna watu wengi hawana hata taarifa kuwa kuna Mtanzania kauwawa. Nina unpopular opinion, mimi nadhani ubaguzi wa rangi na udini umefanya hili jambo lisichukuliwe kwa uzito na kusababisha kifo. Inasemekana wapalestina waarabu ni wabaguzi wa rangi kwa black Palestinians....inawezekana Hamas wamemuua kwasababu his, au alishikiliwa na raia na katika missle akawa mhanga. Pili mimi naamini Jina lake lingekuwa Rashid Mtenga, tungekuwa nae....ila kwa kuwa anaonekana sio part ya Islam umma, wala hakuna alietilia maanani kwanzia viongozi wa dini waliotaka kuandamana mpaka serikalini.
Ni kweli ndio maana Hao watanzainia wote walikamatwa huko Israel na hamas wote ni wakiristoHii serikali ina udini sana.
Ulikuwa unajificha ficha muda mrefu ila siku hizi naona uzalendo umekushinda..Utmost bullshit, sema kama sio uvamizi wa Israel kwenye ardhi ya palestina kusingekua na huu mgogoro na watu wasingetekwa. Hivi unajua Israel ina mateka wa kipalestina zaidi ya elfu 1 ila wangetekwa na Hamas ungesikia kelele kibao kuwa ni magaidi.
Acheni unafiki
Asante.Pole sana yahudi mweusi wa kwa mpalange