Clemence Mtenga aliuawa sababu ya rangi yake? Serikali inafeli wapi wakati raia wa Thailand wote wameachiliwa?

Iwe kauawa na hamas au mashambilizi ya israel huko gaza Lakini chanzo ni walichokifanya hamas Oct 7..
Wewe yahudi mweusi wa mazese kwa mfuga mbwa huo mgogoro kwani umeanza hiyo Oct 7 pole sana
 
uKweli ni kwamba Tanzan ia tunafanya mambo mengi kienyeji sana sana, ukienda kwenye hizo balozi wamejazana ndugu, marafiki na wale akina nanihii, na sio taaluma
 
Ulikuwa unajificha ficha muda mrefu ila siku hizi naona uzalendo umekushinda..

Ndio maana nilikushtukia kwenye DPW na ule mkataba wa hovyo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…