Clement Mzize ni under 20?

Clement Mzize ni under 20?

Mwamba huyu hapa
10EEFF68-F75F-482E-9973-831BF3DB0B8F.jpeg
 
Hapo Gongowazi ni nani mwenye mwili wa miraba minne?

Labda Juma Shabani maana tulimsikia Zahera akimsema kuwa ananenepa hovyo.

Sasa kama kunenepa ndio miraba minne basi siwezi kubisha.
Mwamnyeto, aucho, mzize, hao hakuna anaewafikia hapo kolokolon kwenu
 
Nakumbuka alikuwepo ile stand united iliyoshuka Daraja, muda aliyoichezea na kuja kuachana nayo akaenda kufanya kazi ya bodaboda kabla hajaibukia Yanga na huo umri wake vinatatiza
Ha ha ha ulicheza nae pale Tanita?
 
Back
Top Bottom