Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Onyango ni school mate wa ruto [emoji1787]Ni age mate na Onyango
Wasingeweka kipengele hiko, au wamgeamua kwamba kimekosa kigezo.Sasa mbona waliopendekezwa wote kwenye tuzo za wachezaji chipukizi wako above 20! Shida iko wapi kwa Clement Mzize?
Tena alikuwa dereva wa bodaboda leseni yake itaonyesha umri wakeMzize hawezi kuwa under 20
Huyo atakuwa kwenye 25 na point huko
Ila ni kawaida sana wachezaji kuwa na umri mdogo hata kama mwili unawakataa.
🤣🤣Inaitwa football age,mtu achunge mbuzi afe aje kucheza mpira awe under 20,tena toka singida?no wayMzize hawezi kuwa under 20
Huyo atakuwa kwenye 25 na point huko
Ila ni kawaida sana wachezaji kuwa na umri mdogo hata kama mwili unawakataa.
Miaka ya kazi hiyo… mbona Emmanuel Okwi ana miaka 30 🤣🤣🤣🤣Clement Mzize amechaguliwa kuwa mchezaji bora under 20 kwenye hafla ya utoaji tuzo huko Tanga.
Nampongeza sana lakini kusema ana chini ya miaka 20, mh
Mwamnyeto, aucho, mzize, hao hakuna anaewafikia hapo kolokolon kwenuHapo Gongowazi ni nani mwenye mwili wa miraba minne?
Labda Juma Shabani maana tulimsikia Zahera akimsema kuwa ananenepa hovyo.
Sasa kama kunenepa ndio miraba minne basi siwezi kubisha.
Kumbe ulichokuwa umashngaa nini?.Aucho naye mbona ana 29 lakini mwili na sura vinabisha?
Bongo nomaClement Mzize amechaguliwa kuwa mchezaji bora under 20 kwenye hafla ya utoaji tuzo huko Tanga.
Nampongeza sana lakini kusema ana chini ya miaka 20, mh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machozii khaaahOnyango ni school mate wa ruto [emoji1787]
Kwan huyu mzinze sio kuna team ilikua championship, au namfananishaa? Unajua kila siku najiuliza sipati jibu.Tena alikuwa dereva wa bodaboda leseni yake itaonyesha umri wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu muongooo sasa, 40 kavukaa kabisaaMwamba huyu hapa View attachment 2655512
Ha ha ha ulicheza nae pale Tanita?Nakumbuka alikuwepo ile stand united iliyoshuka Daraja, muda aliyoichezea na kuja kuachana nayo akaenda kufanya kazi ya bodaboda kabla hajaibukia Yanga na huo umri wake vinatatiza
Yule Zimbwe sijui mpira anachezaje, jamaa kakomaa balaa yani.Kwaio mtu akiwa namwili wamiraba mi 4 ndio anakua mzee! Unataka mchezaj akonde kama yule zimbwe jr wenu tumia akil mkuu
Ha ha haMe nina karibia 30.
Namuangalia mzize na mimi aisee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Huyu jamaa si chini ya miaka 28.
Ha ha ha ha haTena alikuwa dereva wa bodaboda leseni yake itaonyesha umri wake
Huu sasa ni mzaha.Mwamba huyu hapa View attachment 2655512