Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Sio chini ya 45 huyu🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu muongooo sasa, 40 kavukaa kabisaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio chini ya 45 huyu🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu muongooo sasa, 40 kavukaa kabisaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio chini ya 45 huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afananiii kabisa.. ndio hvyo umri wa makaratasiYule Zimbwe sijui mpira anachezaje, jamaa kakomaa balaa yani.
ulimzaa wewe?Clement Mzize amechaguliwa kuwa mchezaji bora under 20 kwenye hafla ya utoaji tuzo huko Tanga.
Nampongeza sana lakini kusema ana chini ya miaka 20, mh
Vijeba mliodumaa utotoni mna chuki za siku zote na watu wenye miili mikubwa. Una kadi yake ya kliniki utuwekee hapa au we ni mama yake mdogo?Clement Mzize amechaguliwa kuwa mchezaji bora under 20 kwenye hafla ya utoaji tuzo huko Tanga.
Nampongeza sana lakini kusema ana chini ya miaka 20, mh!
😂😂😂Sawa Mama Clement
Mjinga sana huyu kijana[emoji38][emoji38][emoji38]under 20 anabadili dini kisa goma na kidigo???
Walau Aucho kusema ana 29, lakini sio Mzize kusema yupo under 20, anadanganya huku anashika diniAucho naye mbona ana 29 lakini mwili na sura vinabisha?
Alikuwa timu ya Stand united ya Shinyanga ilipokuwa ikicheza ligi kuu bara, iliposhuka daraja aliachana nayo akaenda kuwa bodaboda huko Iringa kabla hajaibukia YangaHa ha ha ulicheza nae pale Tanita?
Bas yupo juu ya 26 huyu. KhaaaahAlikuwa timu ya Stand united ya Shinyanga ilipokuwa ikicheza ligi kuu bara, iliposhuka daraja aliachana nayo akaenda kuwa bodaboda huko Iringa kabla hajaibukia Yanga