Clement Mzize usiwe mjinga, pigania maslahi yako!

Lakini Yanga nao wauze wachezaji na siyo kuwakomoa kwa mikataba migumu,mwisho wa siku Wydad wakiona wanamkosa watajaza hiyo nafasi na asisajiliwe tena,pia kuna kushuka kiwango au kocha akibadilishwa unaweza kukaa benchi hadi ukasahaulika.
 
Wakati ukifika atatoa maamuzi yake ila kaushauri kako si kabaya sana
 
Lakini Yanga nao wauze wachezaji na siyo kuwakomoa kwa mikataba migumu,mwisho wa siku Wydad wakiona wanamkosa watajaza hiyo nafasi na asisajiliwe tena,pia kuna kushuka kiwango au kocha akibadilishwa unaweza kukaa benchi hadi ukasahaulika.
Yanga watamuuza kwa kuangalia mahitaji yao ya kipindi icho na sio kupangiwa na mtu yoyote yule,,unapouza lazima uangalie pia na replacement yake atakuwa nani sio unauza tu ilimradi umeuza,,dirisha hili kupata mchezaji mzuri ni vigumu na yanga Iko CCL ikipigania nafasi nyie mnakuja na habari zenu za ajabu ajabu,,kama ni ofa wasubili dirisha kubwa mwisho wa msimu ndio waisikilize sio sasa!
 
Muite Meneja na Wakala wako, muite mezani Hersi mwambie ukweli kwamba unashukuru hapo alipokufikisha ila hii fursa hautaki kuiacha. Akikataa kukusikiliza utakuwa umejua rangi halisi ya bosi wako ila usikae kifalafala.
Hii dunia imejaa unafiki sana. Nyie ndio mliongoza kumponda na kumsema vibaya. Leo mnajikuta kuonesha upendo. Acheni huo unafiki bakini kwenye rangi zenu halisi
 
Hii dunia imejaa unafiki sana. Nyie ndio mliongoza kumponda na kumsema vibaya. Leo mnajikuta kuonesha upendo. Acheni huo unafiki bakini kwenye rangi zenu halisi
Nioneshe wapi na lini mimi binafsi nilimponda. Wakati mashabiki wa Yanga wanawakataa Mzize na Musonda, na hii ni juzi juzi tu hapa kuonesha mlivyo vigeugeu, mimi nilikuwa mmoja wa watu wachache niliosema wakiachwa Simba wachukue.

Suala la umri bado lina utata labda ndilo linawapa kigugumizi Yanga na huyo Mzize mwenyewe.
 
Mzize anamiaka 21 ,
swali ni
  • je ataweza kupambania namba hapo wydad..?
  • Unakumbuka samatta wakati anatoka TP Mazembe alikuwa ameachive nini kwenye ligi ya mabingwa
Hilo si jukumu la Yanga kuzingatia. Hakuna sehemu yoyote duniani eti klabu inakataa kumuuza mchezaji kisa huko anakoenda anaweza asipate namba! Hayo ni mambo ambayo mchezaji mwenyewe na management yake binafsi inazingatia.
 
Kolo mshauri na kibu
 
Hilo si jukumu la Yanga kuzingatia. Hakuna sehemu yoyote duniani eti klabu inakataa kumuuza mchezaji kisa huko anakoenda anaweza asipate namba! Hayo ni mambo ambayo mchezaji mwenyewe na management yake binafsi inazingatia.
Upo sahihi mkuu mimi natamani sana tupate kina samatta wengi kwani West Africa wamewezaje kujaa Europe, ni muda sasa mchezaji akiimarika akatafute changamoto sehemu nyingine
 
GUSA ACHIA TWENDE KWAO imeibua mambo mengi kutoka kwa MAKOLO. Na bado na mtasema timu nzima ipiganie haki. GUSA ACHIA TWENDE KWAO ndo kwanzaaa kabisa nchini ila malalamiko ni mengi.
 
Siku zote utopolo wana roho mbaya sana. Hawawez kumkubalia jamaa watamfanyia roho mbaya tu asipate rizki yake.
Percy tau saiv anaenda qatar kule anaenda kupokea bilioni 2 kama mshahara kila mwezi...
 
Siku zote utopolo wana roho mbaya sana. Hawawez kumkubalia jamaa watamfanyia roho mbaya tu asipate rizki yake.
Percy tau saiv anaenda qatar kule anaenda kupokea bilioni 2 kama mshahara kila mwezi...
Anzisheni chama cha kutetea wachezaji wa Yanga maana mna uchungu nao sana
 
Simba akili zenu mnazijua wenyewe Mzize anaweza kuuzwa hata zaidi ya hiyo pesa unayosema akiwa bora zaidi na akaenda kucheza mpira Ulaya sio swala la kukurupuka tu ukiambiwa 1 B hii unauza harafu Timu yako unayoijenga inakufa kwa 1b uliyomuuza mchezaji jifunzeni ninyi Simba mmeuza wachezaji harafu mkawarudisha mkitegemea kiwango kitakua kile kile huku Timu ikipotea harafu ndio upo busy kumshauri Mzize..
 
Salama Ngare AKA Nifah hebu njoo na uchambuzi wako juu ya hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…