DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Wameenda dukani kwake wamenunua vichupi basi ameridhika anajiona ni Robert Lewandowski
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kausome huo Mkataba waoBiashara ya mpira siyo ya utumwa. Mchezaji ulimpata bure unakataa vipi hata kukaa mezani kumsikiliza mtu anayetaka kumnunua kwa zaidi ya milioni 500?
Kuna nini nyuma ya pazia mnachotaka kisijulikane?
Hicho ndiyo kitu cha kujiuliza,Timu ambayo wachezaji wanajidunga madawa, inahonga marefa, mdhamini ana rahisisha mambo kwa hudhamini timu zingine,inatumia uchawi inawezaje kua na wachezaji wazuri hadi watakiwe nje ya nchi?
Thabalala yupo hapo 5imba miaka buku mbona hampambanii kama wachezaji wa Yanga au yeye hapendi kupanda ndegeWameenda dukani kwake wamenunua vichupi basi ameridhika anajiona ni Robert Lewandowski
Kwaiyo unataka auzwe sasa hivi na timu Iko kwenye harakati za kufuzu robo fainali? Utawatafutia replacement yake kwa muda huu kwenye hili dirisha? Unadhani vilabu vinauza tu wachezaji kiholela bila kuangalia mazingira yaliyopo,,kauzeni na nyie wa kwenu kina mutale mmeshindwa nini!We jamaa pamoja na kwamba unachezea utopolo nimekupigania sana ili timu yako isilalie fursa zinazokujia. Niliwahi kusema ukipunguza wenge wewe ndiyo unaenda kuchukua mikoba ya kina Samatta na kuibeba Taifa Stars kwa miaka 5 ijayo. Utulivu wako wa sasa unaonyesha kile nilichokiona.
Wydad wameonyesha nia ya dhati ya kukutaka ila klabu yako inakubania. Usidhani wanafanya hivyo kwa faida yako. Watakupa mifano ya kina Miquisonne, Msuva na Chama ila hawakupi mifano ya kina Percy Tau, Himid Mao, Mayele na wengine ambao wamefanikiwa huko huko Uarabuni. Hii nchi tuna historia ya kubania watu fursa za nje, kamuulize Sunday Manara kama sikosei tena hiyo Yanga ndiyo kabisa ina historia mbaya. Kina Nonda Shabani walitoroka na klabu haikupata hata sumni maana angesema afuate utaratibu asingeruhusiwa.
Wakikwambia eti unaenda kufunga magoli 2 fainali ya CAFCL na thamani yako itapanda, waambie waweke nyumba zao za urithi mechi ya Jumamosi na Al Hilal kama kweli wanaamini hivyo. Usikubali wakupumbaze na vikiki vya kuvamia dukani kwako kununua mashati, siku zote adui ya binadamu ni mtu wake wa karibu.
Wydad miezi michache ijayo anaenda kucheza Club World Cup. Anakutana hatua ya makundi na Juventus na Man City. Imagine ufunge goli kama lile ulilowapiga Mazembe, unadhani fursa kiasi gani zitafunguka?
Hata kama unadhani hao kina Hersi wamekulea na kukukuza kiasi gani au unadhani wazee wa Yanga ndiyo wamekutengeneza (labda kama hili lina ukweli), ifike wakati ujisimamie kama mwanaume. Kuna wachezaji wengi wameviendekeza hivi vilabu wakaishia kustaafu kwa fedheha.
Muite Meneja na Wakala wako, muite mezani Hersi mwambie ukweli kwamba unashukuru hapo alipokufikisha ila hii fursa hautaki kuiacha. Akikataa kukusikiliza utakuwa umejua rangi halisi ya bosi wako ila usikae kifalafala.
Yangu ni hayo tu.
Kwaiyo nani alikwambia mzize anauzwa?Ateba kwa sasa sidhani kama anauzwa mkuu.
Kama hauzwi atabaki hapo alipo mpaka akiuzwa.Kwaiyo nani alikwambia mzize anauzwa?
mke mdogoWewe ni mke wake?
Narudia tena feisali analipwa 16m mzinze analipwa 7m, feitoto analipwa pesa mara 2 ya mzize akiwa na kipengele kinachosema akifikisha magoli 10 anapewa 10m.Punguza kusikiliza story za kwenye kahawa
Acha porojo weka mkataba hapaNarudia tena feisali analipwa 16m mzinze analipwa 7m, feitoto analipwa pesa mara 2 ya mzize akiwa na kipengele kinachosema akifikisha magoli 10 anapewa 10m.
Huna unachokijua
Huna unachokijua
Huna unachokijua utopolo mkubwa ww
Kwan feisal ana nn??Feisal wa leo kimaslahi asingefika hapo bila kupigana vile vita.
Maslahi bora kuliko aliyokuwa nayo kabla.Kwan feisal ana nn??
Acha Kujiachia Kiasi Hiki UtafedhehekaFeisali analipwa hela mara 2 ya hela anayolipwa mzinze hapo yanga, feisal kachukua signing on fee zaidi ya m400, feisal kapewa nyumba ya gorofa moja na range rover mpya ya kutembelea.
Usisahau Kuangalia Na Mishahara Yao Je Sawa Na Kibarua Wa Yanga Mzize?Kila club ina taratibu zake em nenda Al Ahly hapo unataka key player wao kama Ashfa au Rami Rabia uone
Wydad wamesema wanataka Wachezaji sio mabaunsaAteba kwa sasa sidhani kama anauzwa mkuu.
Aliwahi kukulalamikia kua analipwa kidogo?Usisahau Kuangalia Na Mishahara Yao Je Sawa Na Kibarua Wa Yanga Mzize?
Mashabiki Wa Yanga Hamna Tofauti Na Wahudumu Wa Bar Usipomwachia Chenchi Anakununia Utafikiri Mnatafuta Wote Hizo Ela Nyi Mnafurahia Mzize Acheze Kwa Mshahara Wa Pesa Za Madafu.Aliwahi kukulalamikia kua analipwa kidogo?
Acha pumba wewe; unaingiaje kwenye maisha yake? Unajua plani zake? Ulikuwa wapi kumshauri hadi amefanikiwa ndipo unaleta kimbelemebele? Ungeaza kumshauri wakati bado ni dereva wa boda boda.We jamaa pamoja na kwamba unachezea utopolo nimekupigania sana ili timu yako isilalie fursa zinazokujia. Niliwahi kusema ukipunguza wenge wewe ndiyo unaenda kuchukua mikoba ya kina Samatta na kuibeba Taifa Stars kwa miaka 5 ijayo. Utulivu wako wa sasa unaonyesha kile nilichokiona.
Wydad wameonyesha nia ya dhati ya kukutaka ila klabu yako inakubania. Usidhani wanafanya hivyo kwa faida yako. Watakupa mifano ya kina Miquisonne, Msuva na Chama ila hawakupi mifano ya kina Percy Tau, Himid Mao, Mayele na wengine ambao wamefanikiwa huko huko Uarabuni. Hii nchi tuna historia ya kubania watu fursa za nje, kamuulize Sunday Manara kama sikosei tena hiyo Yanga ndiyo kabisa ina historia mbaya. Kina Nonda Shabani walitoroka na klabu haikupata hata sumni maana angesema afuate utaratibu asingeruhusiwa.
Wakikwambia eti unaenda kufunga magoli 2 fainali ya CAFCL na thamani yako itapanda, waambie waweke nyumba zao za urithi mechi ya Jumamosi na Al Hilal kama kweli wanaamini hivyo. Usikubali wakupumbaze na vikiki vya kuvamia dukani kwako kununua mashati, siku zote adui ya binadamu ni mtu wake wa karibu.
Wydad miezi michache ijayo anaenda kucheza Club World Cup. Anakutana hatua ya makundi na Juventus na Man City. Imagine ufunge goli kama lile ulilowapiga Mazembe, unadhani fursa kiasi gani zitafunguka?
Hata kama unadhani hao kina Hersi wamekulea na kukukuza kiasi gani au unadhani wazee wa Yanga ndiyo wamekutengeneza (labda kama hili lina ukweli), ifike wakati ujisimamie kama mwanaume. Kuna wachezaji wengi wameviendekeza hivi vilabu wakaishia kustaafu kwa fedheha.
Muite Meneja na Wakala wako, muite mezani Hersi mwambie ukweli kwamba unashukuru hapo alipokufikisha ila hii fursa hautaki kuiacha. Akikataa kukusikiliza utakuwa umejua rangi halisi ya bosi wako ila usikae kifalafala.
Yangu ni hayo tu.