Clinic ya mama kwa walimu: Naomba kujua hii clinic ya mama jinsi inavyofanyika

Clinic ya mama kwa walimu: Naomba kujua hii clinic ya mama jinsi inavyofanyika

antanarivo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2018
Posts
450
Reaction score
883
Hii clinic inafanyika ikiwa na malengo ya kutatua changamoto za kimshahara za walimu yaani waliopunjwa daraja, malimbikizo mbalimbali ya mshahara n.k

Swali langu ni kuwa siku hiohio wakishabaini kuwa huyu mwalimu anapaswa kulipwa anapewa chake au ndo yaleyale ya ombi lako linashughulikiwa?

Kama hawalipi cash naomba tu wasitishe maana watadisappoint walimu wengi maana nimeona mategemeo Yao wasipoona kile walichotarajia watavunjika moyo sana
 
Clinic ya mama? Hapa unamaanisha Mh Rais? Hii kitu ndio naisikia leo. Kwa nini wameita clinic?
 
Mmeanza kulalamika?
Kuna wale watumishi USAID hawajui wataenda wapi mkuu!
 
Back
Top Bottom