Ndio maana nilimwambia huyo mdau kwamba kama anataka apambane ili utoaji uruhusiwe,sio kusema tuangalie hali ya mtoaji,kama tukitaka kuangalia hali ya mtoaji itabidi tuende mbali zaidi tujiulize mbona kuna njia kibao za uzazi,kama alijua hali yake kwanini hakutumia hizo?Wanao support abortion nadhani approach yao inabidi kuwa kufanya ushawishi zaidi kwa wizara ya Afya na wizara ya sheria ili mabadiliko ya sheria yafanyike waruhusu abortion nchini. Ila sio ku support uvunjaji wa sheria unaoendelea kwa kigezo cha kwamba ni uamuzi wa mtoaji.
Na slogan yao ni birth by choice not by chanceWewe ndo unajua leo. Hiyo ni taasis ya kimarekani ambayo lengo lake kuu ni kuadvocate depopulation duniani. Wanatumia kigezo cha family planning ili kuhalalisha agenda yao.
Wapo duniani kote na wala hawana gharama kubwa sometimes wana ngo zao zinafanya abortion bure kabisa
Unaona ni afadhali kutoharibia watu biashara zao kuliko kukemea uvunjaji wa sheria?Unawaharibia watu biashara zao
Hii sababu haitoshi.Watu wamechoka maneno wanayopewa single mother wanaona bora kutoa tu
Kuzikusanya wapi. Unajua nimeshiriki hilo kwa muda gani?Baada ya kuzikusanya hizo hela kutokana na kutoa mimba mpaka umetosheka sasa hivi ndio unajifanya huwezi endelea kushiriki?? Kama kuua umeshaua na hata ukipaza sauti haitabadilisha wewe ni muuwaji shame on you.....acha unafiki ungepaza sauti kabla hujajihusisha nao eti leo shida zako zimeisha unajifanya nyoko nyoko....hypocrite!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa hata mimi nimemshangaaKutoa mimba gharama zake Ni sh ngapi ?
Hizo njaa zako ulizozisema zinashibishwakwa hela za hao wanaofanya abortion !
Usiharibu biashara ya watu wengine, kituo kikifungwa/wakinyang'anywa leseni utakula mawe ?
Kistaarabu ulitakiwa uondoke hapo ukatafute maisha sehemu nyingine !
Kuwasagia kunguni sio suluhisho!
Mkuu nikuambie hii dunia haina huruma hata kidogo,,, , ,,, wewe fanya Mambo yako yanayokuhusu tu,,, dunia imejaa kila Aina ya ushetani, Kuna watu wanakula mpaka nyama za binadam wenzao ,,, !
Weww sio mtu mzuri kabisa, na hautakuja kufanikiwa kwa roho mbaya yakoNasema njaa kwa sababu nilikubali kufanya kazi hapa nikijua kabisa kinachoendelea, na nimekua nikishiriki hiyo dhambi, ila imefika wakati naona sasa hapana, nimeona niseme tu ili mamlaka husika zichukue hatua. Wewe unajali wao kunyang'anywa leseni ila haujali uuaji wanaoufanya kila siku?
Huyu mtoa mada anaonekana no mtu mshamba sanamtoa mada wewe ni shetani na una roho mbaya sana. kwani kuna mwanachuo chini ya miaka 18 na akitoa wewe inakuuma nini
Kisiasa?Wee jamaa hiyo issue ya abortion ni very complicated, omba Mungu yasikukute,. Acha kulaumu na kuharibia watu kazi kwa sababu zako za kisiasa au kidini, mtaani watu wana shida huko, unataka waende sehemu ambazo sio salama wafe au
Nina roho mbaya kwa sababu napaza sauti kuhusu vitendo vya uvunjifu wa sheria?Weww sio mtu mzuri kabisa, na hautakuja kufanikiwa kwa roho mbaya yako
Ni mshamba kwa sababu napinga vitendo vya utoaji mimba kinyume cha sheria?Huyu mtoa mada anaonekana no mtu mshamba sana
Shetani anaepingana na utoaji wa mimba? Kuna kitu shetani anapenda zaidi ya kitendo cha uuaji?mtoa mada wewe ni shetani na una roho mbaya sana. kwani kuna mwanachuo chini ya miaka 18 na akitoa wewe inakuuma nini
Unaacha kushangaa wavunja sheria, unanishangaa mimi ninaeripoti wavunja sheria?Kweli kabisa hata mimi nimemshangaa
unapinga wewe kama nani kwani hii kazi ya kujaji mwachie Mungu atawachoma mwisho wa dunia. acha watu wapate huduma za uzazi salamaShetani anaepingana na utoaji wa mimba? Kuna kitu shetani anapenda zaidi ya kitendo cha uuaji?
Yaani nina roho mbaya kwa sababu tu napinga utoaji mimba?
Duuuuhhhh!!
Wewe unajua Leo hiyo Kaka,hiyo taasisi ndio kazi yake lakini kingine vitendo vya kutoa mimba Ni kawaida at least hapo wanatoa very professional kuliko kwenda kutoa mtaaniClinic ya Marie Stopes iliyoko jijini Mwanza wanajihusisha na vitendo vya utoaji mimba. Mimba zinatolewa sana hapa, hasa za wanafunzi wa vyuo vikuu. Mchezo unaofanyika ni kwamba wanawake wanaohitaji hiyo huduma hufika hapo na huulizia huduma ya abortion, au kwa kujifanya mimba imeharibika.
Kinachofuata, mhusika anafanyiwa huduma inaitwa "dilatation and curateage", ambayo kimsingi ni kutanua njia ya shingo ya kizazi, kisha kuharibu mimba kwa kusafisha kizazi.
Sasa, the way wana record hiyo ili kuficha huo uozo ni wana record kama vile mtu alikuja na "miscarriage" tayari au "incomplete abortion" halafu kuwa wao wakasafisha tu kizazi kuondoa mabaki yaliyobaki kwenye kizazi, lakini ukweli ni kwamba wanakua wameharibu mimba na kufanya abortion ila kwenye rekodi zao wanaonyesha kama vile ni incomplete abortion.
Kuna uwezekano pia timu ya usimamizi wa huduma za afya ya halmashauri na hata ya mkoa inajua kabisa mchezo unaoendelea lakini wananyamazishwa kwa bahasha, maana hizi habari ziliwahi kuripotiwa kwao lakini hakukua na hatua zozote ziulizofuata.
Pia, hawa watu kuanzia wakati wa usahili kama unataka kuajiriwa pale kama daktari au muuguzi, wanakuuliza kabisa wewe mtazamo wako kuhusu utoaji mimba ukoje, na wanakupa scenario kuwa ikitokea wakati unatimiza majukumu yako halafu akaja mteja ambae anataka kutoa mimba je utachukua hatua gani? Ukitoa majibu ambayo yanaonyesha kama vile unapinga mambo ya abortion, wanakuchinjia baharini hupati hiyo kazi.
Tukumbuke kuwa kwa nchi yetu, utoaji wa mimba (abortion) ni kinyume cha sheria za nchi.
Nimeona nifichue hili jamani nimechoka vitendo hivi kila siku nashiriki utoaji mimba ila ni kwa sababu ya njaa tu, nimeona nije kutoa ripoti huku, Wizara ya Afya Tanzania fuatilieni hili mchukue hatua.
Nendeni pale kagueni records zao muone walivyo na "incomplete abortion" kibao ambazo wanazifanyia dilatation and curatage, hizo zote ni mimba ambazo zimetolewa hakuna cha incomplete abortion wala nini.
Fanyeni uchunguzi kwa makini, mtagundua kitu, ila msiende kichwa kichwa.
Asante.