Hanifer Mjanja
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 217
- 329
- Thread starter
- #381
Yaani wamejaa kibao.Wajinga wamekuwa wengi,na wengi wanatoka facebook
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wamejaa kibao.Wajinga wamekuwa wengi,na wengi wanatoka facebook
Ni Kweli Ni cc nakumbuka nikiwa mbeya bint alipata ujauzito katu katu akagoma kutunza anadai hayuko tayari kwa Sasa kubeba mimba nikamuambia nitamsadia ila hakunisikiaaa bas nikatoa kitita Cha elf 45 akapatiwa tudonge ambazo aliambiwa azinywe na zingine aziweke kwenye ndani ya sehem zake za Siri Kisha mzigo utashukaa wenywew najuta Sana hyo kitu na mbaya Zaid Ni pesa zangu zilitumika kuzitoaIla nyie wanaume pia ndo visababishi sana kwenye utoaji mimba, na mara nyingi nyie ndo mnatoa hela ya ku cover gharama ya hiyo dhambi.
Yah Ni wengi Sana [emoji38] kinara Ni voiceYaani ukiona idadi ya mimba zinazoflashiwa hapa Marie stopes Mwanza kila siku, unaweza ukatoa machozi. Wengi wao ni wanafunzi wa vyuo maarufu vya hapa Mwanza (sitaki kuvitaja).
Upo sahihi.Ni kweli. Japokua wengine wamenishambulia hasa. Najua wengine watakua ni wanufaika wa hii 'biashara' ya utoaji mimba, na wengine ni washiriki.