Mulemule, ndo mambo yanayomtukuza mkuu wao lucifer.......mambo ya kuua iwe kwa kutoa mimba, vita, magonjwa na majanga ya kutengeneza, ushoga yanapata fedha za mafuriko.Mabeberu hao kina Bill gates foundation ndio wanatoa sponsorship ya kufa mtu kwenye taasisi kama hizo, ni mounga mrefu sana