DOKEZO Clinic ya Marie Stopes Mwanza inatoa huduma za utoaji mimba (abortion)

DOKEZO Clinic ya Marie Stopes Mwanza inatoa huduma za utoaji mimba (abortion)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu ukichoka si unahama tu unawaachia madhambi yao?
Sehemu nyingi tu wanafanya hiyo michezo na si marie stopes peke yao!
Kwa hiyo kama sehemu nyingi wanafanya hiyo inazuia mimi ambae nina uhakika wa Marie Stopes ya hapa Mwanza kufanya hilo kuripoti? Wewe unaweza ripoti hao wengine unaowajua wanafanya (kama ukitaka), mimi nimewaripoti hawa Marie Stopes wa hapa Mwanza kwa sababu nina uhakika asilimia 100 wanafanya hizo shughuli.
Huu utetezi unachekesha.
 
Na usikute mimba haikua ya jamaa? Maana hapa pia kuna wake za watu wanaokuja kutoa mimba za michepuko.
Umesoma hvard univ nn
Ndioo manake mpwaa yaan bora utunze wamwenzio atakujali mblen sio kumuua yaan wale wamama wanaotoa mimba wotee n

Mamaa wa marehemu......
 
MI NDIO MAANA SITAKKI SHIDA ZA KUPIMANA DNA WALA KONYOLAI
YAAN NANGALIA KADI INA JINAA LANGU NASEMA FAMILLALAH NA ACADEMY NAPLEKA MENGINE MWACHIE
 MUNGU
 
Kwa hiyo kama sehemu nyingi wanafanya hiyo inazuia mimi ambae nina uhakika wa Marie Stopes ya hapa Mwanza kufanya hilo kuripoti? Wewe unaweza ripoti hao wengine unaowajua wanafanya (kama ukitaka), mimi nimewaripoti hawa Marie Stopes wa hapa Mwanza kwa sababu nina uhakika asilimia 100 wanafanya hizo shughuli.
Huu utetezi unachekesha.
Wasipoacha na wasipokamatwa utafanyaje? Na wewe umesema hiyo dhambi umeichoka
 
MI NDIO MAANA SITAKKI SHIDA ZA KUPIMANA DNA WALA KONYOLAI
YAAN NANGALIA KADI INA JINAA LANGU NASEMA FAMILLALAH NA ACADEMY NAPLEKA MENGINE MWACHIE
 MUNGU
Hahahaha! Kitanda hakizai haramu.
 
Unafahamu kuwa utoaji wa mimba ni kinyume cha sheria kwa nchini Tanzania? Wanatoaje huduma ambayo sheria yetu hairuhusu? Hata wao wanajua hawafanyi sawa ndio maana wanadanganya kwenye ku document.
Wewe mpumbavu unajua abortion inaruhusiwa kiafya nenda kagoogle threatened abortion au inevitable abortion utajua abortion inaruhusiwa au laah sio unakurupuka mpumbavu sana.

Tuna wadumia mademu zetu kwa kuwasafisha halfu mnakuja kutuambia Tunawatoa mimba..

Wakati dada zenu wanakimbizana na misoprostal
 
Hahahaha! Kitanda hakizai haramu.
Unadhani ukitumia JF ID ambayo haijulikani ndo un akuwa salama? Ukiambiwa upeleke ushahidi wa unachokisema unao?

Kuna ile kesi ya Max mello alipewa na jamhuri na kituo flani cha mafuta sababu ya mada za kichochezi kama hiziii sababu unatumia ID ya unknown unadhani upo salama aisee usijidanganye so long upo kwenye Mtandao wahuni wanakutrace tuu na bora wakupe kesiii sasa kuliko waamue kudili na wewe. Usipumbazwe na kitandao kijana.
 
Abortion kimsingi ni halali kwa sababu ni sheria isiyofuatiliwa, unenforced law.

Ni sawa na boda boda ku overtake kushoto, kitabuni ni kosa, in practice sio kosa.

Kuna celebrity mkubwa alisema mbele ya vyombo vya habari anajuta ametoa mimba tatu za Kanumba na sasa mimba hazishiki, lakini hakuna aliyeenda kumkamata kwa kukiri hadharani uhalifu wa ku abort mimba za Kanumba. Sio kesi Tanzania
 
Unadhani ukitumia JF ID ambayo haijulikani ndo un akuwa salama??? Ukiambiwa upeleke ushahidi wa unachokisema unao?? Kuna ile kesi ya Max mello alipewa na jamhuri na kituo flani cha mafuta sababu ya mada za kichochezi kama hiziii sababu unatumia ID ya unknown unadhani upo salama aisee usijidanganye so long upo kwenye Mtandao wahuni wanakutrace tuu na bora wakupe kesiii sasa kuliko waamue kudili na wewe. Usipumbazwe na kitandao kijana.
Kwa hiyo nimekosea kuripoti uhalifu humu?
 
Wewe mpumbavu unajua abortion inaruhusiwa kiafya nenda kagoogle threatened abortion au inevitable abortion utajua abortion inaruhusiwa au laah sio unakurupuka mpumbavu sana...
Tuliza jazba kwanza, umekuja na mihemko kama kahaba aliedhulumiwa ujira wake.
 
Back
Top Bottom