DOKEZO Clinic ya Marie Stopes Mwanza inatoa huduma za utoaji mimba (abortion)

DOKEZO Clinic ya Marie Stopes Mwanza inatoa huduma za utoaji mimba (abortion)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mke wang walmfungia kitanz kkafyatuka mimba ikaingia nmeumia sana afu alikuwa akiwaomba wakiangalie wanamjibu kunya ila cyo Mwanza
 
Clinic ya Marie Stopes iliyoko jijini Mwanza wanajihusisha na vitendo vya utoaji mimba. Mimba zinatolewa sana hapa, hasa za wanafunzi wa vyuo vikuu. Mchezo unaofanyika ni kwamba wanawake wanaohitaji hiyo huduma hufika hapo na huulizia huduma ya abortion, au kwa kujifanya mimba imeharibika.

Kinachofuata, mhusika anafanyiwa huduma inaitwa "dilatation and curateage", ambayo kimsingi ni kutanua njia ya shingo ya kizazi, kisha kuharibu mimba kwa kusafisha kizazi.

Sasa, the way wana record hiyo ili kuficha huo uozo ni wana record kama vile mtu alikuja na "miscarriage" tayari au "incomplete abortion" halafu kuwa wao wakasafisha tu kizazi kuondoa mabaki yaliyobaki kwenye kizazi, lakini ukweli ni kwamba wanakua wameharibu mimba na kufanya abortion ila kwenye rekodi zao wanaonyesha kama vile ni incomplete abortion.

Kuna uwezekano pia timu ya usimamizi wa huduma za afya ya halmashauri na hata ya mkoa inajua kabisa mchezo unaoendelea lakini wananyamazishwa kwa bahasha, maana hizi habari ziliwahi kuripotiwa kwao lakini hakukua na hatua zozote ziulizofuata.

Pia, hawa watu kuanzia wakati wa usahili kama unataka kuajiriwa pale kama daktari au muuguzi, wanakuuliza kabisa wewe mtazamo wako kuhusu utoaji mimba ukoje, na wanakupa scenario kuwa ikitokea wakati unatimiza majukumu yako halafu akaja mteja ambae anataka kutoa mimba je utachukua hatua gani? Ukitoa majibu ambayo yanaonyesha kama vile unapinga mambo ya abortion, wanakuchinjia baharini hupati hiyo kazi.

Tukumbuke kuwa kwa nchi yetu, utoaji wa mimba (abortion) ni kinyume cha sheria za nchi.

Nimeona nifichue hili jamani nimechoka vitendo hivi kila siku nashiriki utoaji mimba ila ni kwa sababu ya njaa tu, nimeona nije kutoa ripoti huku, Wizara ya Afya Tanzania fuatilieni hili mchukue hatua.

Nendeni pale kagueni records zao muone walivyo na "incomplete abortion" kibao ambazo wanazifanyia dilatation and curatage, hizo zote ni mimba ambazo zimetolewa hakuna cha incomplete abortion wala nini.

Fanyeni uchunguzi kwa makini, mtagundua kitu, ila msiende kichwa kichwa.

Asante.
Mkuu pole sana, naona nafsi imekusuta kwamba umeshiriki kufanya mauaji ya viumbe wasio na hatia wanaosubiri kuletwa duniani. Omba toba kwa Mwenyezi kwa kujutia kwa dhati kabisa kwamba jambo ulilokuwa ukilitekeleza lilikuwa jambo ovu kabisa kulingana na utashi wa kiMungu uliojaliwa, na Mungu atakusamehe.
 
Issue sensitive au umbeya?
Kama una ushahidi nenda wizara ya afya/manispaa tofauti na hapo usituletee ngonjera zako.
Relax.
Huwezi kunipangia pa kuripoti. Kunywa maji, ukojoe then ulale, acha kujichosha bure.
Pole.
 
Mke wang walmfungia kitanz kkafyatuka mimba ikaingia nmeumia sana afu alikuwa akiwaomba wakiangalie wanamjibu kunya ila cyo Mwanza
Pole sana. Kwa nini usiwachukulie hatua hata kuwapeleka mahakamani na kuwadai fidia? Ukipata mwanasheria anaejielewa unaweza wachomoa milioni za kutosha.
 
Mkuu pole sana, naona nafsi imekusuta kwamba umeshiriki kufanya mauaji ya viumbe wasio na hatia wanaosubiri kuletwa duniani. Omba toba kwa Mwenyezi kwa kujutia kwa dhati kabisa kwamba jambo ulilokuwa ukilitekeleza lilikuwa jambo ovu kabisa kulingana na utashi wa kiMungu uliojaliwa, na Mungu atakusamehe.
Asante sana kwa ushauri mzuri.
 
Huo ndio tunasema uongo na unafki kama una uchungu sana nenda wizara ya afya ,na kama hutaki kupangiwa nini kimekufanya uanzishe thread? C ungeanzisha thread na bibi yako muwe mnasoma wawili tu
Ndo nimeshapost thread sasa na hakuna unaloweza kufanya zaidi ya kutokwa povu la OMO.
Pole.
 
Clinic ya Marie Stopes iliyoko jijini Mwanza wanajihusisha na vitendo vya utoaji mimba. Mimba zinatolewa sana hapa, hasa za wanafunzi wa vyuo vikuu. Mchezo unaofanyika ni kwamba wanawake wanaohitaji hiyo huduma hufika hapo na huulizia huduma ya abortion, au kwa kujifanya mimba imeharibika.

Kinachofuata, mhusika anafanyiwa huduma inaitwa "dilatation and curateage", ambayo kimsingi ni kutanua njia ya shingo ya kizazi, kisha kuharibu mimba kwa kusafisha kizazi.

Sasa, the way wana record hiyo ili kuficha huo uozo ni wana record kama vile mtu alikuja na "miscarriage" tayari au "incomplete abortion" halafu kuwa wao wakasafisha tu kizazi kuondoa mabaki yaliyobaki kwenye kizazi, lakini ukweli ni kwamba wanakua wameharibu mimba na kufanya abortion ila kwenye rekodi zao wanaonyesha kama vile ni incomplete abortion.

Kuna uwezekano pia timu ya usimamizi wa huduma za afya ya halmashauri na hata ya mkoa inajua kabisa mchezo unaoendelea lakini wananyamazishwa kwa bahasha, maana hizi habari ziliwahi kuripotiwa kwao lakini hakukua na hatua zozote ziulizofuata.

Pia, hawa watu kuanzia wakati wa usahili kama unataka kuajiriwa pale kama daktari au muuguzi, wanakuuliza kabisa wewe mtazamo wako kuhusu utoaji mimba ukoje, na wanakupa scenario kuwa ikitokea wakati unatimiza majukumu yako halafu akaja mteja ambae anataka kutoa mimba je utachukua hatua gani? Ukitoa majibu ambayo yanaonyesha kama vile unapinga mambo ya abortion, wanakuchinjia baharini hupati hiyo kazi.

Tukumbuke kuwa kwa nchi yetu, utoaji wa mimba (abortion) ni kinyume cha sheria za nchi.

Nimeona nifichue hili jamani nimechoka vitendo hivi kila siku nashiriki utoaji mimba ila ni kwa sababu ya njaa tu, nimeona nije kutoa ripoti huku, Wizara ya Afya Tanzania fuatilieni hili mchukue hatua.

Nendeni pale kagueni records zao muone walivyo na "incomplete abortion" kibao ambazo wanazifanyia dilatation and curatage, hizo zote ni mimba ambazo zimetolewa hakuna cha incomplete abortion wala nini.

Fanyeni uchunguzi kwa makini, mtagundua kitu, ila msiende kichwa kichwa.

Asante.

Ifike mahala tuseme tu ya kwamba sio kila mimba iko planned nyingine ni bahati mbaya. Every child to be planned nadhani huo ndio moto wa hii taasisi.
Tukubali tu km mimba sio planned si lazima itunzwe tuna sheria nyingi tu ambazo zinapaswa kufanyiwa marekebisho.
Tuna watoto wengi wa mitaani nyingi mnaosema kila mimba iachwe mmefanya nini kuwasaidia watoto hawa wasio na msaada?
Km huwezi kufanya hiyo kazi sepa acha mambo yaendelee hata viongozi wako wanajua hiyo kitu.
Najua utasema why watu wasex bila kuchukua precaution, hili halikuhusu ni uamuzi wa mtu na km mimba hawajaipanga au wahusika hawajajiandaa itolewe tu.
Ww unasema dhambi waliokuletea dini wenyewe wamelegalise.
Acha mambo hayo kweli niliwahi kufanya usaili pale mwenge japo sikupata ile nafasi ila siungi mkono kuzaliwa watoto bila utayari wa kuwalea.
 
Kafukuzwa kazi huyo amekuja kulia lia hapa
Umekereka sana eeehh mimi kuja kupost hii thread?
Utoaji wa mimba ni kinyume cha sheria za nchi. Hata kama wewe una maslahi binafsi na hilo, halibadilishi ukweli.
 
Clinic ya Marie Stopes iliyoko jijini Mwanza wanajihusisha na vitendo vya utoaji mimba. Mimba zinatolewa sana hapa, hasa za wanafunzi wa vyuo vikuu. Mchezo unaofanyika ni kwamba wanawake wanaohitaji hiyo huduma hufika hapo na huulizia huduma ya abortion, au kwa kujifanya mimba imeharibika.

Kinachofuata, mhusika anafanyiwa huduma inaitwa "dilatation and curateage", ambayo kimsingi ni kutanua njia ya shingo ya kizazi, kisha kuharibu mimba kwa kusafisha kizazi.

Sasa, the way wana record hiyo ili kuficha huo uozo ni wana record kama vile mtu alikuja na "miscarriage" tayari au "incomplete abortion" halafu kuwa wao wakasafisha tu kizazi kuondoa mabaki yaliyobaki kwenye kizazi, lakini ukweli ni kwamba wanakua wameharibu mimba na kufanya abortion ila kwenye rekodi zao wanaonyesha kama vile ni incomplete abortion.

Kuna uwezekano pia timu ya usimamizi wa huduma za afya ya halmashauri na hata ya mkoa inajua kabisa mchezo unaoendelea lakini wananyamazishwa kwa bahasha, maana hizi habari ziliwahi kuripotiwa kwao lakini hakukua na hatua zozote ziulizofuata.

Pia, hawa watu kuanzia wakati wa usahili kama unataka kuajiriwa pale kama daktari au muuguzi, wanakuuliza kabisa wewe mtazamo wako kuhusu utoaji mimba ukoje, na wanakupa scenario kuwa ikitokea wakati unatimiza majukumu yako halafu akaja mteja ambae anataka kutoa mimba je utachukua hatua gani? Ukitoa majibu ambayo yanaonyesha kama vile unapinga mambo ya abortion, wanakuchinjia baharini hupati hiyo kazi.

Tukumbuke kuwa kwa nchi yetu, utoaji wa mimba (abortion) ni kinyume cha sheria za nchi.

Nimeona nifichue hili jamani nimechoka vitendo hivi kila siku nashiriki utoaji mimba ila ni kwa sababu ya njaa tu, nimeona nije kutoa ripoti huku, Wizara ya Afya Tanzania fuatilieni hili mchukue hatua.

Nendeni pale kagueni records zao muone walivyo na "incomplete abortion" kibao ambazo wanazifanyia dilatation and curatage, hizo zote ni mimba ambazo zimetolewa hakuna cha incomplete abortion wala nini.

Fanyeni uchunguzi kwa makini, mtagundua kitu, ila msiende kichwa kichwa.

Asante.
Acha unoko weye binti[emoji848]
 
Ifike mahala tuseme tu ya kwamba sio kila mimba iko planned nyingine ni bahati mbaya. Every child to be planned nadhani huo ndio moto wa hii taasisi.
Tukubali tu km mimba sio planned si lazima itunzwe tuna sheria nyingi tu ambazo zinapaswa kufanyiwa marekebisho.
Tuna watoto wengi wa mitaani nyingi mnaosema kila mimba iachwe mmefanya nini kuwasaidia watoto hawa wasio na msaada?
Km huwezi kufanya hiyo kazi sepa acha mambo yaendelee hata viongozi wako wanajua hiyo kitu.
Najua utasema why watu wasex bila kuchukua precaution, hili halikuhusu ni uamuzi wa mtu na km mimba hawajaipanga au wahusika hawajajiandaa itolewe tu.
Ww unasema dhambi waliokuletea dini wenyewe wamelegalise.
Acha mambo hayo kweli niliwahi kufanya usaili pale mwenge japo sikupata ile nafasi ila siungi mkono kuzaliwa watoto bila utayari wa kuwalea.
Sasa mnachotakiwa kufanya ni kufanya advocacy, lobbying na ushawishi kwa serikali ya Tanzania kupitia policy makers na wizara ya afya pamoja na wizara ya sheria ili hiyo sheria ibadilishwe utoaji mimba nchini uruhusiwe. Ila kutoa huduma za kutoa mimba wakati sheria za nchi zinakataza ni jinai, elewa hivyo na elewa kwamba wewe kuwatetea hawa una support jinai.
 
Lakini kwa Tanzania hawajapewa usajili kwa ajili ya kutoa huduma za abortion, kasome hata website yao ya Marie stopes Tanzania.
Kwa sababu abortion kwa Tanzania ni illegal.

Sijatamka popote kua wanakibali cha kutoa mimba au la! Pitia maelezo yangu tena na tena! Nawajua in and out ikiwa ni kufanya nao kazi!

Mi nadhani mtu anayeenda hapo anajua ana tatizo lipi la kuhitaji huduma, tuache tabia za kiswahili za kusemea ofisi za watu bila kuwa na details afterall zipo mamlaka husika kama watu wanaenda kinyume na walichopaswa!
 
Wanapata faida mara mbili

Ya kwanza pesa wanayolipwa kwa kufanya hiyo huduma ya utoaji mimba

Ya pili kuuza huo uchafu ambao unatolewa kama mimba, wenyewe wanasema unauzwa kwa pesa nzuri sana kwa ajili ya kutengenezwa mafuta fulani (...) Na hasa wapate kile kijusi kimeanza kuwa kama kamtu au kadoli yaani kameanza kupata ka-shape fulani na inatumika kishirikina-yaani kiimani potofu... poleni sana dada zetu.

Kama unajijua haujapata akili timamu usianzishe au usiingie kwenye mahusiano hakikisha umepata au umekua na akili timamu ndio uingie kwenye mahusiano na vile vile usibebe ujauzito kama akili zako hazijawa timamu,

Hapa sio pa kuanza kutaja madhara ya kutoa mimba yanaeleweka kubwa zaidi ni kuhatarisha uhai wako na kubwa zaidi kuliko ni kusababisha mtoto wako kuwa mlemavu mimba ikikataa kutoka.

Poleni sana wakina dada najua mnapitia wakati mgumu na sababu ni sisi wanaume, poleni sana
 
Sijatamka popote kua wanakibali cha kutoa mimba au la! Pitia maelezo yangu tena na tena! Nawajua in and out ikiwa ni kufanya nao kazi!
Sawa. Natumaini mamlaka husika zitaliona hili na kufanya uchunguzi na kuchukua hatua stahiki.
 
Back
Top Bottom