DOKEZO Clinic ya Marie Stopes Mwanza inatoa huduma za utoaji mimba (abortion)

DOKEZO Clinic ya Marie Stopes Mwanza inatoa huduma za utoaji mimba (abortion)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Abortion kimsingi ni halali kwa sababu ni sheria isiyofuatiliwa, unenforced law.

Ni sawa na boda boda ku overtake kushoto, kitabuni ni kosa, in practice hakuna anaekamatwa.

Kuna celebrity mkubwa alisema mbele ya vyombo vya habari anajuta ametoa mimba tatu za Kanumba, na hakuna aliyeenda kumkamata kwa kukiri hadharani uhalifu wa ku abort mimba za Kanumba. Sio kesi Tanzania
Kwa hiyo hakuna haja ya kuripoti huu uvunjaji wa sheria?
 
una ushahidiiii??? kwani unadhani shida ni kureport... ukiambiwa leta document na watu waliofanyiwa utaleta?? heshimu ofisi na taasisi za watu.
Kwa hiyo kama huna ushahidi wa uhalifu hutakiwi kuripoti? Ni jukumu la kila mwananchi kuripoti uhalifu ambao umeuona; suala la kukusanya ushahidi zaidi ni suala la mamlaka husika.
Mimi nimetimiza wajibu wangu.
 
Mabeberu hao kina Bill gates foundation ndio wanatoa sponsorship ya kufa mtu kwenye taasisi kama hizo, ni mounga mrefu sana
 
Nasema njaa kwa sababu nilikubali kufanya kazi hapa nikijua kabisa kinachoendelea, na nimekua nikishiriki hiyo dhambi, ila imefika wakati naona sasa hapana, nimeona niseme tu ili mamlaka husika zichukue hatua. Wewe unajali wao kunyang'anywa leseni ila haujali uuaji wanaoufanya kila siku?
Unaijua dhambi kweli hiyo serikali yako ilyokuwa madarakan inanuka dhambi mbona hujawahi kusema kama kila dhambi inayofanywa na taasisi unaisemea
 
Nchi gani wakati hao viongozi wa nchi ndio wanaongoza kuwa na dhambi wanaiba kura na wizi katika dini haurusii je vipi unakubali kuongozwa na watu waliongia madarakani kwa dhambi ikiwa ww hupendi dhambi
Sasa unaanza kuongelea mambo ambayo sina control nayo. Angalau hili lla kuripoti nina control nalo, ndio maana nimeripoti.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Hizo lawama tusiwape Marie stopes, wapeni wanao kuja kutoa mimba na wanao wapa mimba maana wanaogopa kuzaa mtoto atatunzwa na nani ?.
 
mpendwa hebu ingia tu hata google uwatafute marie stopes uone kazi zao wanazofanya, so hata serikali inajua wanafanya nini, kwako ni uvunjaji wa sheria lkn wao wana kibali cha kufanya kazi nchini na katika kazi zao abortion ni mojawapo
Kwangu?
Hizo ni sheria za nchi, sio sheria zangu. Nchi ndo imeamua kuwa utoaji mimba ni illegal.
Kuhusu hilo, angalia website ya Marie Stopes Tanzania Marie Stopes Tanzania , kama kuna huduma ya abortion wamei list. Ni kweli kwa nchi ambazo zimeruhusu abortion, matawi ya Marie Stopes ya hizo nchi wanatoa hiyo huduma kisheria. Ila kwa walivyosajiliwa Tanzania, hawajaruhusiwa kutoa hiyo huduma sababu ni kinyume cha sheria (angalia screenshot niliyoweka kwenye hii comment inaonyesha huduma wanazotoa Marie Stopes Tanzania)
 

Attachments

  • Screenshot_2023-01-05-19-02-04-521_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2023-01-05-19-02-04-521_com.android.chrome.jpg
    126.7 KB · Views: 6
Hizo lawama tusiwape Marie stopes, wapeni wanao kuja kutoa mimba na wanao wapa mimba maana wanaogopa kuzaa mtoto atatunzwa na nani ?.
Lazima tuwalaumu wote wote. Hawa kwa kutoa hiyo huduma wanakiuka sheria za nchi pamoja na kanuni ambayo imewapatia wao usajili wa kutoa huduma za afya nchini, hivyo lazima tuwalaumu na tuwaripoti.
 
Una moyo wa kimasikin sana wewe,kama mtu akiamua kutoa mimba anatoa tu bila kufika hata hapo Marie stop, misoprostol zipo za kutosha mtaani kwa buku 10 tu mtu anatoa mimba,mind your business mzee
 
Ifike mahala tuseme tu ya kwamba sio kila mimba iko planned nyingine ni bahati mbaya. Every child to be planned nadhani huo ndio moto wa hii taasisi.
Tukubali tu km mimba sio planned si lazima itunzwe tuna sheria nyingi tu ambazo zinapaswa kufanyiwa marekebisho.
Tuna watoto wengi wa mitaani nyingi mnaosema kila mimba iachwe mmefanya nini kuwasaidia watoto hawa wasio na msaada?
Km huwezi kufanya hiyo kazi sepa acha mambo yaendelee hata viongozi wako wanajua hiyo kitu.
Najua utasema why watu wasex bila kuchukua precaution, hili halikuhusu ni uamuzi wa mtu na km mimba hawajaipanga au wahusika hawajajiandaa itolewe tu.
Ww unasema dhambi waliokuletea dini wenyewe wamelegalise.
Acha mambo hayo kweli niliwahi kufanya usaili pale mwenge japo sikupata ile nafasi ila siungi mkono kuzaliwa watoto bila utayari wa kuwalea.
Kwa hiyo unaua kiumbe tena binadamu chenye uhai, kisa unafanya planning........sasa huyo ana tofauti gani na yule muuaji anayeua binadamu na kuhukumiwa kunyongwa, maana tayari hicho kiumbe kinachonyofolewa kina uhai kamili na kama ni mapigo ya moyo yanadunda........nyie semeni ni wakala wa ibilisi mnafanya kazi ya mkuu wa giza.​
 
Hapana, soma vizuri uzi wangu. Nimeona tu siwezi kuendelea kushiriki hili. Nimeamua kupaza sauti ili mamlaka husika zichukue hatua stahiki.
So,ina maana na wewe unayo kesi ya kujibu kwa kushiriki hiyo jinai hata kama kwasasa umeacha,kwanini hukuripoti toka mwanzo?
 
Back
Top Bottom