Siwaungi mkono ila partly aliyeamua kuitoa humzuio kwa kufunga kituo. Mungu aingilie kati tu. Inaanzia kwenye uzinzi. Hayo ndo matokeo ya uzinzi.Nasema njaa kwa sababu nilikubali kufanya kazi hapa nikijua kabisa kinachoendelea, na nimekua nikishiriki hiyo dhambi, ila imefika wakati naona sasa hapana, nimeona niseme tu ili mamlaka husika zichukue hatua. Wewe unajali wao kunyang'anywa leseni ila haujali uuaji wanaoufanya kila siku?
Usilaumu mwanaume. Wanaume kukwepa ujauzito ni jambo la kawaida na halijaanza leo. Tatizo linapoanza ni namna mabinti wanachangua wanaume wa kuwapa ujauzito.Ila nyie wanaume pia ndo visababishi sana kwenye utoaji mimba, na mara nyingi nyie ndo mnatoa hela ya ku cover gharama ya hiyo dhambi.
Napinga kwa sababu ni kinyume sha sheria ya nchi. Wala sijam judge mtu. In fact wewe ndo umeni judge kwa kuniita SHETANI. Mimi nimeripoti wavunjaji sheria za nchi yetu.unapinga wewe kama nani kwani hii kazi ya kujaji mwachie Mungu atawachoma mwisho wa dunia. acha watu wapate huduma za uzazi salama
Sijahesabu dhambi ya mtu, wewe ndo umeniita SHETANI.unajichosha kujipa kazi ya Mungu mtu ebu pumzika. unahesabu dhambi za watu kama vile wewe ni mtakatifu huna dhambi ata moja
Basi ishawishini Wizara ya Afya na wizara ya sheria wabadili sheria na kuruhusi abortion. Sio kutetea watu wanaofanya mambo kinyume cha sheria ya nchiWewe unajua Leo hiyo Kaka,hiyo taasisi ndio kazi yake lakini kingine vitendo vya kutoa mimba Ni kawaida at least hapo wanatoa very professional kuliko kwenda kutoa mtaani
KWA SIKU mimba kati ya 5-10 zinaflashiwa hapa.Kutoa mimba ni dhambi
Tuepuke hii dhambi jamani
..vipi we Hanifa umeshashiriki dhambi hiyo ya kuwatoa watoto mara ngapi,?
Taratibu dada, kibarua kitaota nyasiNapinga kwa sababu ni kinyume sha sheria ya nchi. Wala sijam judge mtu. In factz wewe ndo umeni judge kwa kuniita SHETANI. Mimi nimeripoti wavunjaji sheria za nchi yetu.
Haujakose kuleta hii taarifa hapa. Hawa wanaokupinga wanataka kukutibua tu. Ila upo sahihi kabisa.Nasema njaa kwa sababu nilikubali kufanya kazi hapa nikijua kabisa kinachoendelea, na nimekua nikishiriki hiyo dhambi, ila imefika wakati naona sasa hapana, nimeona niseme tu ili mamlaka husika zichukue hatua. Wewe unajali wao kunyang'anywa leseni ila haujali uuaji wanaoufanya kila siku?
Suluhisho sasa ni nini?Tuache, tunyamaze waendelee tu kuvunja sheria ya nchi?Siwaungi mkono ila partly aliyeamua kuitoa humzuio kwa kufunga kituo. Mungu aingilie kati tu. Inaanzia kwenye uzinzi. Hayo ndo matokeo ya uzinzi.
Sijali tena hata. Najua kwa kuleta hili hapa, wanaweza kunigundua na kunifukuza. Ila bora nifukuzwe kuliko kuendelea kushiriki hili la uvunjaji sheria za nchi.Taratibu dada, kibarua kitaota nyasi
Uko sahihi pia kwa upande mwingine nakubaliana na wewe.Usilaumu mwanaume. Wanaume kukwepa ujauzito ni jambo la kawaida na halijaanza leo. Tatizo linapoanza ni namna mabinti wanachangua wanaume wa kuwapa ujauzito.
Binti anajua kabisa huyu jamaa hana ramani, mume wa mtu, au chakaramu tu ambae hana mbele wala nyuma mwisho wa siku analala nae na kumuachia amkamulie tui la nazi ndani akishashika mimba tayari anaanza kuhaha.
Jamii inawalea watoto wa kike with Zero accountability kwa kisingizio kuwa ni viumbe dhaifu na wanatakiwa kuonewa huruma. Nenda familia za kiarabu na kihindi kama utasikia huu ujinga wa kuzalishana bila utaratibu wa ndoa sababu wana mifumo ya accountability.
Binti wa kiarabu akizaa bila Ndoa baba au kaka anaweza kumuua na hakuna mtu ataingilia. Huwezi kuta binti wa kiarabu anachezewa. Sisi sasa hawa wetu, wanazaa na yoyote wanaejisikia kumpa gemu with zero accountability ya maamuzi na matendo yao.
Kwasababu wanajua hakuna wa kuhoji maamuzi yao. Nenda huko vichochoroni utakuta vibinti vinakunjwa. Nenda bar n pubs, Lodges utavikuta vinaingia na mababa umri wa wajomba na baba zao wadogo.
Ukimfuata huyu binti umchane makavu anaweza kukujibu maneno ambayo yatakupa msongo wa mawazo mwaka mzima. Ila binti huyu huyu akishika ujauzito au akiharibika kizazi au kupata maradhi ya zinaa kama ukimwi ndio hawa hawa utasikia Ummy Mwalimu, Flaviana Matata, na wanaharakati wengine wanapigia chapuo zitengewe fedha za wizara au serikali ikaombe misaada au mikopo kuwasaidia na majanga kama kipindi kile cha magufuri alipopiga marufuku binti akizhika ujauzito kurejea shule na wenzake kama hakuna lililotokea na jamii nzima tukasema magufuri ana roho mbaya.
Sasa hapa mwanaume anahusikaje. Mabinti wangapi wanajitambua na wanafikia maisha mazuri na kuishi kama wengine. Ni swala la kuwa accountable tu hapa ndio naliona.
Ni kweli njaa ninayo, hilo nimelisema tangu awali.njaa tu zinakusumbua mbona huachi kazi kama unajua unavunja sheria na ni dhambi
Chawa mna kazi kweli.Asante. Kwanza chawa tupo njiani tunakuja.
we ni mtu wa ajabu mbona unahusika kwenye uvunjaji sasaNi kweli njaa ninayo, hilo nimelisema tangu awali.
Lakini hiyo haiwezi kuwa justification ya kufumbia macho uvunjaji wa sheria.
Mbona nchi imeruhusu P2 na Miso ziingizwe?Lakini ni maamuzi ambayo ni kinyume cha sheria ya nchi.
Iyo ni tabia ya kike mzee.. kuzaa ni uhamuzi wa mtu na mimba inaweza kutolewa kwa usalama na muhusika akaendelea na mishe zake za kila siku.. hivi wewe ulipo hauna kosa hata moja kisheria unasema ulikua unahusika kuzitoa izo mimba kama kweli unajutia hicho kitendo kwanini usiende kusema polisi ili na wewe ukamatwe badala yake unawachongea wenzako kwa identity fake. Kazi hauiwezi achana nayo kimya kimyaClinic ya Marie Stopes iliyoko jijini Mwanza wanajihusisha na vitendo vya utoaji mimba. Mimba zinatolewa sana hapa, hasa za wanafunzi wa vyuo vikuu. Mchezo unaofanyika ni kwamba wanawake wanaohitaji hiyo huduma hufika hapo na huulizia huduma ya abortion, au kwa kujifanya mimba imeharibika.
Kinachofuata, mhusika anafanyiwa huduma inaitwa "dilatation and curateage", ambayo kimsingi ni kutanua njia ya shingo ya kizazi, kisha kuharibu mimba kwa kusafisha kizazi.
Sasa, the way wana record hiyo ili kuficha huo uozo ni wana record kama vile mtu alikuja na "miscarriage" tayari au "incomplete abortion" halafu kuwa wao wakasafisha tu kizazi kuondoa mabaki yaliyobaki kwenye kizazi, lakini ukweli ni kwamba wanakua wameharibu mimba na kufanya abortion ila kwenye rekodi zao wanaonyesha kama vile ni incomplete abortion.
Kuna uwezekano pia timu ya usimamizi wa huduma za afya ya halmashauri na hata ya mkoa inajua kabisa mchezo unaoendelea lakini wananyamazishwa kwa bahasha, maana hizi habari ziliwahi kuripotiwa kwao lakini hakukua na hatua zozote ziulizofuata.
Pia, hawa watu kuanzia wakati wa usahili kama unataka kuajiriwa pale kama daktari au muuguzi, wanakuuliza kabisa wewe mtazamo wako kuhusu utoaji mimba ukoje, na wanakupa scenario kuwa ikitokea wakati unatimiza majukumu yako halafu akaja mteja ambae anataka kutoa mimba je utachukua hatua gani? Ukitoa majibu ambayo yanaonyesha kama vile unapinga mambo ya abortion, wanakuchinjia baharini hupati hiyo kazi.
Tukumbuke kuwa kwa nchi yetu, utoaji wa mimba (abortion) ni kinyume cha sheria za nchi.
Nimeona nifichue hili jamani nimechoka vitendo hivi kila siku nashiriki utoaji mimba ila ni kwa sababu ya njaa tu, nimeona nije kutoa ripoti huku, Wizara ya Afya Tanzania fuatilieni hili mchukue hatua.
Nendeni pale kagueni records zao muone walivyo na "incomplete abortion" kibao ambazo wanazifanyia dilatation and curatage, hizo zote ni mimba ambazo zimetolewa hakuna cha incomplete abortion wala nini.
Fanyeni uchunguzi kwa makini, mtagundua kitu, ila msiende kichwa kichwa.
Asante.
Si umesema kabisa wewe mwenyewe kuwa ni njaa?we ni mtu wa ajabu mbona unahusika kwenye uvunjaji sasa