Clip: Baada ya Kumnanga kwenye Mkutano, Wafanyabiashara Wapiga Selfie na Mwigulu Nchemba

Clip: Baada ya Kumnanga kwenye Mkutano, Wafanyabiashara Wapiga Selfie na Mwigulu Nchemba

ulitaka mbowe ndio apige picha na wafanya biashara? chadema acheni wivu wa kike
 
Kuna kitu kinaendelea kwenye fikra za Watz Ukiwa Kiongozi lazima wakutake ung'atuke ukiwauliza sababu utasikia alisema,... Kila akija huyu hamumtaki bila kutoa hoja yenye mashiko tumejaa wivu,fitina na chuki tu kwasababu ni Waziri Nakumbuka walivyo muandama Lowasa lakini sidhani kama walipata walichokihitaji kila siku hawamtaki huyu au yule lakini mwisho wa siku tunapata mtu mbaya kuliko wote.

Tubadili uelekeo badala ya kutumia hisia za wivu itikadi nk tuwe na fact zenye msaada Kwa nchi ili kutekeleza matakwa ya kidemokrasia na Haki za Binadamu ni lazima apewe muda wa kujitetea ili tupime pande zote mbili.
 
Hebu jiulize vizuri hapo mjinga ni nani?

Kwangu mjinga ni yule aliyeenda kutafuta selfie kwa watu akakimbia vikao vya bunge, anafanya hivyo ili kuwa "prove wrong" wale waliotoa shutuma dhidi yake kwamba yeye ni tatizo, nami naamini ni tatizo kweli, amejaa jeuri, kiburi, na dharau.

Kwa akili zake fupi anadhani kujipeleka kupiga picha na hao aliowaokota ndio kutafuta tuhuma dhidi yake, kumbe ndio kwanza amezidi kujionesha alivyo "bongo movie" asiyefaa kuwa kiongozi, anayetafuta sifa za kijinga ili kuwadanganya wajinga wenzie.

Ashukuru Mungu mamlaka ya uteuzi imezubaa ipo kama haipo, vinginevyo hakutakiwa kabisa kuwepo ofisini tangu wakati ule alipotuambia tuhamie Burundi kwa kupinga tozo, ambazo mpaka leo hatuambiwi zinakusanywa ngapi kwa mwezi, wala matumizi yake yanapelekwa wapi, wizi mtupu.
Kweli kabisa
 
Kama Lowasa na kashfa zake zote bado wananchi walitaka awe rais basi Mwigulu hana hatia kabisa. Usishangae akaja kuwa Rais wako.
Ila Urais kwa hutu mnyiramba ataisikia redioni kwa jinsi ileile ambayo Lowassa aliusikia hadi anaugua na sasa yuko kitandani
 
Hakuna seriousness. Nyerere aliacha ameloga mijitu hii na haitakuja kuwa na akili katu
Ila mkuu Retired majority ya hao kwenye picha wamezaliwa wakati Nyerere ameshakufa. Usimsingizie Baba wa Taifa
 
Kuna tofauti kubwa kati ya waziri wa fedha na Mwigulu Madelu Nchemba. Ukilielewa hili hizo selfie hazitakusumbua
 
Hebu jiulize vizuri hapo mjinga ni nani?

Kwangu mjinga ni yule aliyeenda kutafuta selfie kwa watu akakimbia vikao vya bunge, anafanya hivyo ili kuwa "prove wrong" wale waliotoa shutuma dhidi yake kwamba yeye ni tatizo, nami naamini ni tatizo kweli, amejaa jeuri, kiburi, na dharau.

Kwa akili zake fupi anadhani kujipeleka kupiga picha na hao aliowaokota ndio kutafuta tuhuma dhidi yake, kumbe ndio kwanza amezidi kujionesha alivyo "bongo movie" asiyefaa kuwa kiongozi, anayetafuta sifa za kijinga ili kuwadanganya wajinga wenzie.

Ashukuru Mungu mamlaka ya uteuzi imezubaa ipo kama haipo, vinginevyo hakutakiwa kabisa kuwepo ofisini tangu wakati ule alipotuambia tuhamie Burundi kwa kupinga tozo, ambazo mpaka leo hatuambiwi zinakusanywa ngapi kwa mwezi, wala matumizi yake yanapelekwa wapi, wizi mtupu.
Mleta mada mbona kama una chuki binafsi na Mwigulu??
 
Kumnanga haimaanishi kuwa yeye ni adui. Pale walikuwa wakimuwajibisha kwenye kqzi yake. Hapo kwenye selfie ni mambo binafsi

Hata Lissu amepiga picha na raisi, lakini akioanda jukwaani humsema na kumuwajibisha
Hili la picha haliondoi malalamiko yaliyokwisha kuwakilishwa kwa waziri mkuu wala kupiga naye picha wapo sawa tu pale hawakuja kama adui bali kujiwakilisha. Kama ni kosa ni la kimfumo. Ndio maana wapinzani wakifika kwenye misiba ya viongozi huwa wanakaa pamoja wanacheka pamoja.
 
Huyo kama aliweza kuandika majina kwenye mawe nchi nzima hashndwi kukodi vijana wajfanye wanampga selfie! Huyo ni master mind madelu
 
Jee huu ni UNAFIKI au UPUMBAVU? Seriousness ya Watanzania iko wapi? Ndiyo maana Mwigulu anawadharau anajuwa zile ni mbambamba tu. Angalia wajinga hao kwenye clip wanavyogombea kupata selfie na Mwigulu!! STUPID
View attachment 2626100
Kundi kubwa la watanzania huwa wana ugonjwa wa Upumbavu uliopitiliza hv kama uko mental fit unawezaje kupiga selfie na waziri mpuuzi asiyejielewa na umetoka kumlalamikia juu ya utendaji wake wa kijinga na kipumbavu ndani ya wizara.TUNA SAFARI NDEFU SANA KWA UJINGA HUU.
 
Hata kama siyo waliomnanga, lakini wafanyabiashara wote ni wahanga wa Mwigulu Nchemba. Wale waliongea wanawakilisha mawazo ya wote. Kitendo cha kum hug na kupiga naye selfie kina dilute yote yale waliyoongea
Iko hivi Huihui2 kwenye mikusanyiko kama ile kuna watu huandaliwa kwa ishu kama hizo na zinazofanana na aidha na mamlaka ama na mtu binafsi mwenye malengo yake

Post in thread 'Camouflagers na informers ' Camouflagers na informers
 
Iko hivi Huihui2 kwenye mikusanyiko kama ile kuna watu huandaliwa kwa ishu kama hizo na zinazofanana na aidha na mamlaka ama na mtu binafsi mwenye malengo yake

Post in thread 'Camouflagers na informers ' Camouflagers na informers
Mtu aliyetuma watu kuandika kwenye madaraja na mawe nchi nzima hii kuwa angekuwa Rais 2015 atashindwaje kufanya igizo lile?
 
Ila Urais kwa hutu mnyiramba ataisikia redioni kwa jinsi ileile ambayo Lowassa aliusikia hadi anaugua na sasa yuko kitandani
Mwigulu ana tatizo gani ambalo wengine huko ccm hawana?
 
Back
Top Bottom