Clip: Baada ya Kumnanga kwenye Mkutano, Wafanyabiashara Wapiga Selfie na Mwigulu Nchemba

Clip: Baada ya Kumnanga kwenye Mkutano, Wafanyabiashara Wapiga Selfie na Mwigulu Nchemba

Hili la picha haliondoi malalamiko yaliyokwisha kuwakilishwa kwa waziri mkuu wala kupiga naye picha wapo sawa tu pale hawakuja kama adui bali kujiwakilisha. Kama ni kosa ni la kimfumo. Ndio maana wapinzani wakifika kwenye misiba ya viongozi huwa wanakaa pamoja wanacheka pamoja.
Ndjo hiki nimewaeleza hawa wanaoshangaa. Magufuli alienda kwenye msiba wa kaka yake mbowe, wakapiga picha wakazungumza.lakini haikuondoa lawama za mbowe kwa Magufuli. Walipomaliza hapo mbowe aliendelea kumpinga kama kawaida
 
Kumnanga haimaanishi kuwa yeye ni adui. Pale walikuwa wakimuwajibisha kwenye kqzi yake. Hapo kwenye selfie ni mambo binafsi

Hata Lissu amepiga picha na raisi, lakini akioanda jukwaani humsema na kumuwajibisha
Exactly. Hawakumaanisha kuwa ni adui yao.
 
Back
Top Bottom