Clip: Baada ya Kumnanga kwenye Mkutano, Wafanyabiashara Wapiga Selfie na Mwigulu Nchemba

Ndjo hiki nimewaeleza hawa wanaoshangaa. Magufuli alienda kwenye msiba wa kaka yake mbowe, wakapiga picha wakazungumza.lakini haikuondoa lawama za mbowe kwa Magufuli. Walipomaliza hapo mbowe aliendelea kumpinga kama kawaida
 
Kumnanga haimaanishi kuwa yeye ni adui. Pale walikuwa wakimuwajibisha kwenye kqzi yake. Hapo kwenye selfie ni mambo binafsi

Hata Lissu amepiga picha na raisi, lakini akioanda jukwaani humsema na kumuwajibisha
Exactly. Hawakumaanisha kuwa ni adui yao.
 
Mtu aliyetuma watu kuandika kwenye madaraja na mawe nchi nzima hii kuwa angekuwa Rais 2015 atashindwaje kufanya igizo lile?
Msikilize huyu mzee
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…