cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Na kilugha tenaa, woiiiiiihSawa, ingawa hakuna ushahidi kama yeye ni shoga
Bhujiku ng'waka mwaniki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kilugha tenaa, woiiiiiihSawa, ingawa hakuna ushahidi kama yeye ni shoga
Bhujiku ng'waka mwaniki
Kwa sababu Dunia Sio milele ni sehemu ya kupita then unaenda sayari zingine zisizo na kifoFunzo lisilo na kikomo?
Imani zingine bana miyeyusho sana kiumbe hai chochote kufa ni lazima
Aache kusambaza UDININimekutana na huu Ujumbe wa RC Chalamila ila sijajua ilikuwa lini umenitafakarisha Sana katika Sabato ya leo
Kwamba Mazishi ya muislamu ni ibada kamilifu isiyo na mbwembwe zozote
Kwamba Ulikuja mtupu na unarudi mtupu hakuna mbwembwe za aina yoyote wala sababu za kumchelewesha marehemu ambaye Mungu amempenda zaidi
Nawatakia Sabato Njema!
Dini ni imani, nashauri usiwe mjadala kujua nani yuko sahihi kwenye muda wa kuzika. Hii itatuletea mjadala usio na afya kama ule wa nani ana haki ya kuchinja.Nimekutana na huu Ujumbe wa RC Chalamila ila sijajua ilikuwa lini umenitafakarisha Sana katika Sabato ya leo
Kwamba Mazishi ya muislamu ni ibada kamilifu isiyo na mbwembwe zozote
Kwamba Ulikuja mtupu na unarudi mtupu hakuna mbwembwe za aina yoyote wala sababu za kumchelewesha marehemu ambaye Mungu amempenda zaidi
Nawatakia Sabato Njema!
Haya maisha tuombe mwisho mwema Tu mauti ni ukumbusho tosha hatutakiwi kuipaparukia sanaa hii duniaKuna Clip ya RC Chalamila anasifia mazishi ya waislamu. Pale RC kiukweli kasema ukweli mtupu.
Nakumbuka siku moja nilihudhuria mazishi ya muislamu mmoja mtaani kwetu, huyo marehemu alikua ni mtu mkubwa kdg na anafahamika hvyo kwenye mazishi alikuwepo Shehe mkuu wa msikiti wa pale mtaani, Shehe mkuu wa wilaya nadhan na shehe mkuu wa mkoa.
Baada ya kufanya ibada zao, Shehe wa wilaya alifanya tafsiri kdg ya swala ilofanywa pale, sababu pale kabla kuna mzee mmoja alichuchumaa pembeni ya kaburi akaanza kutamka maneno ambayo ni kama swala hv lkn kwa kiarabu. Kumbe ile nadhan huwa ni sura kwenye Quran.
Yule shehe alisema kwamba siku ukifa, Mungu atamtuma malaika wake na utaulizwa hapa duniani uliabudu nini?
Je uliabudu tamaa zako na kuzisikiliza kila zinachokusukuma unafanya?
Au uliabudu pesa zako, ukafanya zikusahaurishe kila kitu?
Au uliabudu wadhifa wako?
Au ulimuabudu Muumba wako?
Yule shehe alienda mbalu akasema pia hawa watu wanaotetea mambo ya ushoga kwa kisingizio cha haki za kibinadamu wakumbuke pia kuna haki za Mungu, kama haki ya binadamu inaenda kinyume na haki ya Mungu basi huo ni ubatili.
Mwisho nilitoka pale nimenywea sana, mwezi mzima nilinyooka kwa mafundisho nilopata pale