Clip ya RC Chalamila imenikumbusha mara ya kwanza nilipohudhuria mazishi ya kiislamu. Yale mafundisho nlopata pale huwa yananirudia akilini

Funzo lisilo na kikomo?
Imani zingine bana miyeyusho sana kiumbe hai chochote kufa ni lazima
Kwa sababu Dunia Sio milele ni sehemu ya kupita then unaenda sayari zingine zisizo na kifo
 
Nimekutana na huu Ujumbe wa RC Chalamila ila sijajua ilikuwa lini umenitafakarisha Sana katika Sabato ya leo

Kwamba Mazishi ya muislamu ni ibada kamilifu isiyo na mbwembwe zozote

Kwamba Ulikuja mtupu na unarudi mtupu hakuna mbwembwe za aina yoyote wala sababu za kumchelewesha marehemu ambaye Mungu amempenda zaidi

Nawatakia Sabato Njema!
 
Aache kusambaza UDINI
Sanyingine kuchagua kunyamaza hufaa sana
 
Dini ni imani, nashauri usiwe mjadala kujua nani yuko sahihi kwenye muda wa kuzika. Hii itatuletea mjadala usio na afya kama ule wa nani ana haki ya kuchinja.

RC Chalamila anafanya utani tu na ukiwa mjinga utamuamini. Kama angekuwa serious si angeondoka kwenye madhehebu yake ya KIKRISTU na kuhamia UISLAMU fasta? Na hakuna dini nyepesi kujiunga kama UISLAMU.

HAMIENI tu na wewe mtoa mada johnthebaptist na RC wako
 
Ukitaka urudi kama ulivyozaliwa basi hata marehemu alitakiwa arudi akiwa mtoto
 
Hao jamaa wako njema kwenye mambo ya ndoa na mazishi

Kuna muda huwa nataman kuwa upande huo maana huku wizi umezidi,eti tuna wageni wiki hii tunataka michango

Serikali imesema itagharamia uharibifu kanisa la geita lakin wajuaji wamesema tuchange,kwahyo wanataka wapige pote za serikali na za waumini,
 
Haya maisha tuombe mwisho mwema Tu mauti ni ukumbusho tosha hatutakiwi kuipaparukia sanaa hii dunia
 

Attachments

  • 60ba2cf4d6cc1d09f746d60ba9c92b81.mp4
    15.3 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…