Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
CCM Chuo Cha MatusiEti lissu mnyoa viduku atalia na wajane sisi wagane tutalia na nani sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM Chuo Cha MatusiEti lissu mnyoa viduku atalia na wajane sisi wagane tutalia na nani sasa
Mbowe kavamiwa hujaona hill ili ulaani uhuni huo?Wanabodi,
Mtu, Taasisi au Chombo chochote kikifanya jambo jema, jambo zuri la kustahili pongezi, mimi huwa napongeza, hivyo hili ni bandiko la pongezi kwa Clouds Media kupitia kipindi chake cha Clouds 360, leo kimemtendea haki Tunda Lissu, na pia kimeitendea haki Chadema, na katika kuzitenda haki hizo, kwa vile Tundu Lissu ni Mtanzania na Chadema ni Watanzania, then Clouds Media kupitia kipindi chake cha Clouds 360, kimewatendea haki Watanzania, Hongera sana, Clouds Media, Hongera sana Clouds 360!, Hongera Babie Kabae, Hassan Ngoma na Sam Ssasali, na Hongera pia, Joseph Kusaga, Mbarikiwe sana!.
Je, Clouds media na Clouds 360, leo wamemtendea haki gani Tundu Lissu, ambayo pia ni kuwatendea Chadema na kuwatendea Watanzania?.
Andamana nami katika bandiko hili, ila
kwa kuanzia sisemi hicho nilichokiona asubuhi hii kwenye Clouds 360, ili kufanya kwanza a little viewership survey wangapi humu jf huwa wanaangalia Clouds 360, na kama wanaangalia jee leo asubuhi, Clouds 360, wamesema nini kumhusu Tundu Lissu?.
Karibu.
Paskali
Sikuhizi ata kureport habari za Matukio ya ndani imekuwa ni criminal mimi nimeshapunguza credibility na wala sihangaiki na media za Ndani mana tayari wako na watu special for filtering kipi kiwe broadcasted imagine Lisu katangaza nia na leo Mbowe amekuwa attacked ila kuna radio na Tv husikii kabisa kuchambua izo events wakati ni habari zaidi ya kudonoa donoa kwenye magazeti , Hawa wanao regulate izi media naamini kabisa wala hawana Baraka za Rais ni wao tu wanajiamulia ku oppress sasa imagine kenyan media ziko open kureport yanayojili hapa nchini kuliko hata waliopo hata saivi mimi na relay zaidi on Outside media, local news ntazipata tu humu JF na Twitter na other social network ila sio radio wala TV i dont waste my time
Paskali,Wanabodi,
Mtu, Taasisi au Chombo chochote kikifanya jambo jema, jambo zuri la kustahili pongezi, mimi huwa napongeza, hivyo hili ni bandiko la pongezi kwa Clouds Media kupitia kipindi chake cha Clouds 360, leo kimemtendea haki Tunda Lissu, na pia kimeitendea haki Chadema, na katika kuzitenda haki hizo, kwa vile Tundu Lissu ni Mtanzania na Chadema ni Watanzania, then Clouds Media kupitia kipindi chake cha Clouds 360, kimewatendea haki Watanzania, Hongera sana, Clouds Media, Hongera sana Clouds 360!, Hongera Babie Kabae, Hassan Ngoma na Sam Ssasali, na Hongera pia, Joseph Kusaga, Mbarikiwe sana!.
Je, Clouds media na Clouds 360, leo wamemtendea haki gani Tundu Lissu, ambayo pia ni kuwatendea Chadema na kuwatendea Watanzania?.
Andamana nami katika bandiko hili, ila
kwa kuanzia sisemi hicho nilichokiona asubuhi hii kwenye Clouds 360, ili kufanya kwanza a little viewership survey wangapi humu jf huwa wanaangalia Clouds 360, na kama wanaangalia jee leo asubuhi, Clouds 360, wamesema nini kumhusu Tundu Lissu?.
Karibu.
Paskali
Siwezi kuangalia Tv za humu maana hawana uhuru wa kuandika ukweli wa roho zao, wataandika unafiki, uongo and the like kuogopa serikali ya Jiwe. Unaangalia nini sasa kama wanatangaza kwa woga wa kufungiwa!Wanabodi,
Mtu, Taasisi au Chombo chochote kikifanya jambo jema, jambo zuri la kustahili pongezi, mimi huwa napongeza, hivyo hili ni bandiko la pongezi kwa Clouds Media kupitia kipindi chake cha Clouds 360, leo kimemtendea haki Tunda Lissu, na pia kimeitendea haki Chadema, na katika kuzitenda haki hizo, kwa vile Tundu Lissu ni Mtanzania na Chadema ni Watanzania, then Clouds Media kupitia kipindi chake cha Clouds 360, kimewatendea haki Watanzania, Hongera sana, Clouds Media, Hongera sana Clouds 360!, Hongera Babie Kabae, Hassan Ngoma na Sam Ssasali, na Hongera pia, Joseph Kusaga, Mbarikiwe sana!.
Je, Clouds media na Clouds 360, leo wamemtendea haki gani Tundu Lissu, ambayo pia ni kuwatendea Chadema na kuwatendea Watanzania?.
Andamana nami katika bandiko hili, ila
kwa kuanzia sisemi hicho nilichokiona asubuhi hii kwenye Clouds 360, ili kufanya kwanza a little viewership survey wangapi humu jf huwa wanaangalia Clouds 360, na kama wanaangalia jee leo asubuhi, Clouds 360, wamesema nini kumhusu Tundu Lissu?.
Karibu.
Paskali
Huyu mnaa achana naemkuu umenogewa kusifia umsesahau kuyaelez hayo mazuri unayoyasifia
hahahaha hya mkuuHuyu mnaa achana nae
Tuandamane,Nimeangalia vizuri ni kweli wameonesha clip ya wimbo wa pdidy na hotuba yake kisha wakaijadili kidogo