Clouds fm haijatajwa msiba wa Albert Mangwea

msemaji wa familia hajawataja clouds na adam juma nae hakuwataja achilia mbali ma mc wawili gadner na dullah hawakuwataja huku BONGO RECORDS NA PUSH MOBILES ZIKITAJWA MARA KWA MARA aliyekuja kutaja clouds aka wafu media ni rais wa federation ya wasanii.
 
bra utakuwa umesikia vibaya clouds wametajwa
 
mbona washereheshaji hawakua wao kama kweli wao ndio waliofunga steji?


Wewe unatumia ile njia kwamba ''UKITAKA KUMUUA MBWA BASI MPE JINA BAYA''...
Huyu atamuwekea sumu, yule atampiga jiwe akimuona, wale watamfukuza na kumrushia magongo wakimuona''...

Acha kuwa zezeta Januari to Disemba
 
Nilikuwa makini sana sebuleni kwangu nikisubili kama watatajwa.Nakuhakikishia kwamba clouds walitajwa.Mimi spendi clouds (i hate them)Lakini jamani inatupasa kuwashukuru na kuwapongeza clouds kwa jambo jema walolifanya,naamini hawajafanya hayo kwa kujikosha au kujipendekeza ndio maana hawkutawala huo msiba kama show yao ya fiesta utaona Dulla wa eatv ndo alikuwa MC.BIG UP CLOUDS
 
wewe bado haujawa serius na maskio yako, yule msemaji wa familia ya mangwea hakuna mahala alipoitaja hata io clouds media, achilia mbali kuvitaja vituo vingine vya radio,
Kabla ya kwenda mbele naomba kujua kama wewe ni mtoto wa kiume au wa kike
 
Clouds ilitajwa na ado alipokuwa akiwashukuru waliofanikisha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sijamwona nyani ngabu kwenye sred hii,ama macho yangu?ha ha ha mult papasi raha xana
 
mbona washereheshaji hawakua wao kama kweli wao ndio waliofunga steji?

wewe acha ubishi ile steji na sound imefungwa na prime time ambayo ni kampuni dada ya clouds!! ivi unajua ukiwa mbishi bila kujua unachobisha uzeeni utakua mchawi we jiendekeze tu!!
 
wewe acha ubishi ile steji na sound imefungwa na prime time ambayo ni kampuni dada ya clouds!! ivi unajua ukiwa mbishi bila kujua unachobisha uzeeni utakua mchawi we jiendekeze tu!!

We wajuaje...labda ameshazeeka na sasa ni mchawi.
 
Clouds media group ilitajwa na pia prime time promotions kampuni dada ya clouds kwa kuandaa stage iliyotumika
 
nipo hapa naangalia planet bongo wamerudia kipande cha msemaji wa familia na nimeckiza kwa makini sana, hakuna sehemu iliotajwa clouds group media wala fm au hata io primetime fm.. Wote mlio2kana nimewasamehe bure coz mli2mia kiasi kidogo sana cha kufikiri#ee bhana ee niko around mazee#
 
Clouds media group ilitajwa na pia prime time promotions kampuni dada ya clouds kwa kuandaa stage iliyotumika

ilitajwa na nan? Adam juma hakutaja wala msemaji wa familia!
 
unamzulumu mtu...halafu akifa unaenda kurusha live inasadia nini sasa...? angalia wanavyoangaika na JD...bint wa watu kajitahidi wao wanampeleka mahakamani ya nini...?
 
wewe acha ubishi ile steji na sound imefungwa na prime time ambayo ni kampuni dada ya clouds!! ivi unajua ukiwa mbishi bila kujua unachobisha uzeeni utakua mchawi we jiendekeze tu!!

usanisha ichi ulichokiandika hapa na mada hapo juu?? Wew ni hopeless
 
unamzulumu mtu...halafu akifa unaenda kurusha live inasadia nini sasa...? angalia wanavyoangaika na JD...bint wa watu kajitahidi wao wanampeleka mahakamani ya nini...?

we acha 2, majani ndio mwisho wao wa reli..ulishajiuliza akikataa kabisa wimbo wowote wa bngo flev uliorekodiwa bongo rec. Ucpigwe itakuaje?
 
usanisha ichi ulichokiandika hapa na mada hapo juu?? Wew ni hopeless

hopeless bibi yako!! tatizo unaendeshwa kwa hisia za chuki tu mi sina shida ya kuwatetea clouds ila nina uhakika na nnachokisema sasa km unajiskia hamu ya kubisha we bisha tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…