Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast


Mbona umewahi sana, April fool bado.
 
Duh huwa wanachangamsha sana kipindi kusema ukweli
 
Nasubiria kwa hamu kuona kama chapombe Hando atatumbuliwa.
vyapombe


hando sijui sijawahi kumuona...


Pj hata juzi J3 USIKU nilimuona kunduchi anakula, bia kibonde hata sijui niseme nini maana ni mlevi kupindukia kuna siku nilimuona pale chuo cha uhasibu kalewa anayumbayumba na suti yake mchana wa saa7 hahahah
 
waache mbwembwe, kwanza hao wanaofukuzwa wote wanavipaji na hawabahatishi, ko sidhani kama watakosa kazi sehem nyingne. Mungu awasimamie, all in all nataka nkaombe kazi pale cloudz ya utangazaji cjui wanataka vigezo gan wakuu?
Mkuu wakitoka tu m naingia ....umeshachelewa
 
Kiukweli clouds wakitaka wapoteze direction kwenye PB ya clouds wawatoe hao jamaa mm nitakuwa wa kwanza kuacha kusikiliza maana nawapenda sana hao jamaa asubuhi huwa aipiti Bila kusiliza PB. Apo awali nilikuwa napenda kusiliza sana JAHAZI kipindi hicho akiwepo CPT G.HABASHI baada ya kuhama jahazi imepooza maana kibonde ni siasa tu Kiukweli clouds walikuwa na watangazaji wazuri sana nasikitika kuona wanaishia wapi
 
vyapombe


hando sijui


pj hata juzi nilimuona kunduchi anakula bia kibonde hata sijui niseme nini maana ni mlevi kupindukia kuna siku nilimuona pale chuo cha uhasibu kalewa anayumbayumba na suti yake mchana wa saa7 hahahah
Kama ni mlevi na kazi yake anafanya vizuri.. Sioni tatizo..... Pj na Hando kiukweli wapo vizuri...
 
kama alivyopwaya fredwa leo sidhani kama kitasikilizwa tena aisee. ngojea tuone maana wote wawili hawakuwepo leo pengine utekelezaji ushaanza.
 
Kama ni mlevi na kazi yake anafanya vizuri.. Sioni tatizo..... Pj na Hando kiukweli wapo vizuri...
mhhhhhhhhhhhhhhh kuna muda ukimskiliza kibonde unajua kabisa huyu jamaa kalewa ...


mi naskiliza clouds tangu asubuhi mpaka saa 7 mchana kisha milad ayo


diva hata akitumbuliwa saa hii atumbuliwe tu kile kipindi maadili yake ni0.....................
 
Clouds wanawaweza sana. Hii taarifa imetolewa ili wapate attention ya Watu. Matarajio ni kuwa kwa mjadala kama huu PB na clouds kwa ujumla itaongeza wasikilizaji iliyowapoteza au ambao walikuwa wamepunguza "mahaba". Rejeeni stori za kuondoka Kibonde na "ugomvi" studio!!

Ni mikakati ya marketing.
Bravo Clouds
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…