kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,080
- 4,914
Hapana ila lazima wayumbe c unaonaga pj au hando hata akiwa hayupo unaona kipindi kinavyo poozaMy dear,kwa maandishi haya nachelea kusema huna uthubutu.
Kwanini unafikiri bila ya Hando kipindi kitaflop?
Kwani endapo ikitokea Hando kafariki kipindi kitafutwa?
C'mon kedrick.....