Jamal Akbar
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 413
- 471
- Thread starter
- #121
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
E-FM ni moja ya radio zinazo sikilizwa na watu wengi nchini ukizingatia population kubwa ya nchi hii hipo Dares-salaam.Kwahiyo E-Fm kazi yao ni kupokea "makapi" na "waliokatwa"
Eti E Fm yaani wanashuka Kwenye Ndege wanapanda daladala ya Mbezi-Msata
kimsingi nliacha kuwasikiliza clouds, baada ya fina, na masud kuondoka pb, na hata GH, hakuwa mshabiki wangu, nw husikiliaz 92.9 magic fm has asb kweny kupaka langi, japo washikaji huwa wananiboa kwa mabishano yao yasiyo na msingi, ila walau napata kitu,E-FM ni moja ya radio zinazo sikilizwa na watu wengi nchini ukizingatia population kubwa ya nchi hii hipo Dares-salaam.
Pamoja wako Dar tuu kwa sasa lakini wameshika sana ni moja ya radio bora kabisa!
Kimsingi ukitoa Clouds Fm inayofata ni E-FM..
Hao jamaa ni vichwa vya clouds szan kma watawatema kzembe hvoyule bint wakipindi cha NAMBIIEEE huwa anapiga kelele sana hata kutangaza hajui kaz kupiga kelele tu! wamtoe kabisa yule
Hando na pj ni vichwa szan kama watawatema kzembeIla hando akitoka sjui yale magazeti atayasoma nani, maana jamaa huwa anayasoma kwa ustadi sana
e fm ni michezo tu ila ki ukweli hawana vipindi vya maana, huwez kuwalinganisha na clouds hata robo...kimsingi nliacha kuwasikiliza clouds, baada ya fina, na masud kuondoka pb, na hata GH, hakuwa mshabiki wangu, nw husikiliaz 92.9 magic fm has asb kweny kupaka langi, japo washikaji huwa wananiboa kwa mabishano yao yasiyo na msingi, ila walau napata kitu,
siwezi kuwasemea efm maana ki ukwel tofaut na michezo napo mara 1, 1 sana hapana, anyway iwe ni kwel au uongo ila clouds kwangu nawapa 1/50
....nakubaliana na wewe mkuu... wanaosema hivo ni wale wasioijua clouds... fikiri mtu kama gadner kaondoka jahazi na ladha ya kipindo ikapungua lakini haijawa sababu ya watu kuacha kusikiliza kipindi kwa vipindi vya jioni bado wanaongoza....Nimesoma comment mwanzo mwisho ....asilimia 99 hamjui clouds walipotoka ... Clouds haifi kwa mtu kuondoka ... mnajua vichwa vilivyowahi kuondoka tukajua inakufa lakini ipo? Unaweza kuifananisha PB hii na ya akina Fina , Kipanya? mnakumbuka kipindi Amina Chifupa anaiacha leo tena ...ML Chriss na DJ bony love, Seven, Jimmy Kabwe, Mr C, Ibrahim Masoud, George Njogopa n.k
....hapo hando ni wakawaida mno,hana ubora wowote wa kutisha labda useme pj nitakuelewa.... maana bongo hii sijawahi ona mwandishi anayesoma magazeti kama yule..Hando na pj ni vichwa szan kama watawatema kzembe
Bora wangewatumbua hawa kuliko hando na PJ,jamaa wana vipaji na wamenifanya niwe nasikiliza clouds asubuhi kila siku nikiwa naenda kazini.Vipi zamalad na diva watatumbuliwa nao?
Hapana mkuuHivi fredwaa ndo fredy macha wa makala ya salamu kutoka London kwenye gazeti la mwananchi?
I think ni PJ huwa anayasoma Na Hando anasherehesha.Ila hando akitoka sjui yale magazeti atayasoma nani, maana jamaa huwa anayasoma kwa ustadi sana
kumbe wengi tumeona.fredwaa hawezi hiki kipindi, sijui hawaoni
May be ndio cheaper option kwa Ruge.fredwaa hawezi hiki kipindi, sijui hawaoni
hando hasomi magazeti ndgIla hando akitoka sjui yale magazeti atayasoma nani, maana jamaa huwa anayasoma kwa ustadi sana
Mwenyevip uhusiano wa hao wanaotazamiwa kufukuzwa na mpenzi wake hapo ofisini.....mana kuna watu walishaonya kuwepo kwa mahaba na subordinator wake mambo kama haya ni nadra kutotokea