Hapana ila lazima wayumbe c unaonaga pj au hando hata akiwa hayupo unaona kipindi kinavyo poozaMy dear,kwa maandishi haya nachelea kusema huna uthubutu.
Kwanini unafikiri bila ya Hando kipindi kitaflop?
Kwani endapo ikitokea Hando kafariki kipindi kitafutwa?
C'mon kedrick.....
....faida ni kuibuka kwa radio nyingine itakayokuwa haina ubaguziWewe utapata faida gani !?
waache mbwembwe, kwanza hao wanaofukuzwa wote wanavipaji na hawabahatishi, ko sidhani kama watakosa kazi sehem nyingne. Mungu awasimamie, all in all nataka nkaombe kazi pale cloudz ya utangazaji cjui wanataka vigezo gan wakuu?[/QUO
wengine watie maji
hapana katoka rfaHivi fredwaa ndo fredy macha wa makala ya salamu kutoka London kwenye gazeti la mwananchi?
watoke efm iongezewe nguvuKama binadamu.. Wanaweza kukosea... Lkn kuwatoa Hando na PJ ....mmmmmh!!!! Watakua hawajui watendalo. Hivi Yale magazet yatasomeka kweli!?! Fredwaa na mizaa atasikilizwa na nani?! Mfano uchambuzi wa leo ..
Efm yenyewe Dar tu wala hawata noga. Natamani wangeenda East Africa radio...watoke efm iongezewe nguvu
wote waende E-FMWeee wacha kutafuta kiki unaandika kama nani? we ni ruge ama nenee. Wawaache redio nyingine ziwachukue wote wapo vizuri sana.
hapo ndo clauz watakapo pata upinzani wa maana oyeeeeeeeeeeeeeee wahamie kweli efmwote waende E-FM
HILO NALO NENOHiyo ni siku ya wajinga stay tuned
Kumbe chuki zako tu....faida ni kuibuka kwa radio nyingine itakayokuwa haina ubaguzi
Unamaanisha pj...???Ila hando akitoka sjui yale magazeti atayasoma nani, maana jamaa huwa anayasoma kwa ustadi sana
Eti E Fm yaani wanashuka Kwenye Ndege wanapanda daladala ya Mbezi-Msatawatoke efm iongezewe nguvu
Kwahiyo E-Fm kazi yao ni kupokea "makapi" na "waliokatwa"E FM lazima itoe macho apo
Ni PJ ndo hua anayasoma magazeti na si Gerald!Ila hando akitoka sjui yale magazeti atayasoma nani, maana jamaa huwa anayasoma kwa ustadi sana
Niiteee akili ndefu najua mambo kwa marefu na mapana usipo shobokayule bint wakipindi cha NAMBIIEEE huwa anapiga kelele sana hata kutangaza hajui kaz kupiga kelele tu! wamtoe kabisa yule
Kwahiyo E-Fm kazi yao ni kupokea "makapi" na "waliokatwa"
[emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107]......hahahahah hao ni kama ukawa...