Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast

Kwa sasa habari ya mjini ni efm inapendwa sana mtaani ata sielewi kwa nn .
 
Fredwaaaaaaaaaa namkubali sana
 
Wakiletwa akina Frank Rwehumbiza wa radio moja pale Moro na Julius Kashanga wa redio moja pale Dodoma kipindi kitakuwa bomba. Hao watu ni vichwa hata Florian Kaijage wa Azam haoni ndani.
 
Naona kama Fredwaa amepotea njia kabisa, hata haieleweki anafanya nini Clouds, amekuwa sio yule wa Radio Free. Amepwaya sana, na inaonekana anashidwa kurandana na mawazo ya wenzie au yuko tofauti na falsafa za Clouds, yupo yupo tuu!
Sio kweli acha chuki zisizo na msingi kwa fredwaaaas
 
Hivo tarehe 1 April ni siku ya wapumbavu au wajinga?
 
mussa wa jahazi nae mbona kmya ckuiz au wameshapasua mjipu na yeye??
 
Clouds wakishaona wadhamini wa kipindi chako wamepungua baasi ujue huna kazi na anawekwa mwenye kipaji zaidi nawewe kaa bench ila jambo zuri ni kwamba redio zipo nyingi watapata tu ajira.Maana wanakubalika sana.
 
PB bila Gerard Hando na PJ sijui kama ntakisikilza tena,hawa majamaa walikua wanapamba kipindi na kuanzisha mada motomoto na PJ alkua anajua jins ya kuchambua magazet vizur
Siku hz Fredwaa anasoma kama hadithi tu ilimradi amalize kusoma.
 
.alafu kama kampiga dongo freduwaa vile eti yeye hajuijui mambo uwenda hao jamaa wako kwenye majukumu mengine ndiyo maana hawaonekani kwenye vipindi.
 
kile kituo hakina watangazaji kina wazungumzaji wa mjini ukiweza kupiga domo mjini na unasifa ya ujanja ujanja unapata kazi clouds kwa mfano tukichambua kila kipindi mwenye taaluma ya uhandishi wa habari vikiambatana na vyeti vya vyuo vinavyotambulika na serikali utawapata wachache sana pale
 
Wakiletwa akina Frank Rwehumbiza wa radio moja pale Moro na Julius Kashanga wa redio moja pale Dodoma kipindi kitakuwa bomba. Hao watu ni vichwa hata Florian Kaijage wa Azam haoni ndani.
Acha udini sorry ukabila
 
Apply ajira sasa, maana kwa jinsi unavyoandika ni dhahiri wewe ni mpiga mdomo mzuri sana tena kama ni mwanamke omba kipindi cha taarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…