Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fredwaaaaaaaaaa namkubali sanaHabari zinasema kwamba PJ, Abel Onesmo na Gerald Hando watapigwa chini kuanzia mwezi April mwaka huu. Kwa kawaida, Clouds wana utaratibu wa kutoa mikataba mipya kila ifikapo April 1.
Katika zoezi hilo kuna wafanyakazi wapya wanaopewa mikataba na wale wa zamani ambao kituo kinawahitaji "hurenew" mikataba yao.
Imefahamika kwamba PJ , Abel Onesmo na Gerald Hando ambao wote wanatoka kipindi cha Power Breakfast (PB) watapigwa chini mwezi huu au kwa kauli ya mjini ni kwamba "Watatumbuliwa".
Sababu kubwa inayotajwa ya wakongwe hao kupigwa chini ni kushindwa kuendana na taratibu za kampuni hiyo kongwe na kinara katika sekta ya Burudani nchini kwani wanajiona wao wako juu ya watu wote.
Pia inasemekana suala la Rais Magufuli kupiga simu kwenye kipindi cha Clouds 360 limewauma sana kwani walikuwa wanaamini wao ndio kipindi bora zaidi cha asubuhi hivyo Suala la Magufuli kupiga simu 360 limeprove "otherwise".
Inadaiwa kuwa msuguano mkubwa ulianza wakati wa kipindi cha uchaguzi kutokana na kutumika kisiasa na kulipwa na baadhi ya wanasiasa ili watumie Power Breakfast kama jukwaa la kuwasafisha kinyume na maadili ya kazi yao yanayosisitiza "neutrality" katika kutoa habari.
Vilevile habari za kuaminika kutoka ndani ya Clouds zinasema kwamba tayari Clouds Media Group imeajiri vichwa vipya ambavyo kuanzia tarehe 1 vitaanza kupiga kazi.
==============
Mwingine
=============
Labda kipindi kingine lkn Pb.Fredwaaaaaaaaaa namkubali sana
Sio kweli acha chuki zisizo na msingi kwa fredwaaaasNaona kama Fredwaa amepotea njia kabisa, hata haieleweki anafanya nini Clouds, amekuwa sio yule wa Radio Free. Amepwaya sana, na inaonekana anashidwa kurandana na mawazo ya wenzie au yuko tofauti na falsafa za Clouds, yupo yupo tuu!
Clouds Fm = ScaniaKwa sasa habari ya mjini ni efm inapendwa sana mtaani ata sielewi kwa nn .
Musa Husein yuko Leo tenamussa wa jahazi nae mbona kmya ckuiz au wameshapasua mjipu na yeye??
Technically kuna ukweli..mbona kama kakanusha
je na yule mwenzake immanuelMusa Husein yuko Leo tena
Acha udini sorry ukabilaWakiletwa akina Frank Rwehumbiza wa radio moja pale Moro na Julius Kashanga wa redio moja pale Dodoma kipindi kitakuwa bomba. Hao watu ni vichwa hata Florian Kaijage wa Azam haoni ndani.
Apply ajira sasa, maana kwa jinsi unavyoandika ni dhahiri wewe ni mpiga mdomo mzuri sana tena kama ni mwanamke omba kipindi cha taarabukile kituo hakina watangazaji kina wazungumzaji wa mjini ukiweza kupiga domo mjini na unasifa ya ujanja ujanja unapata kazi clouds kwa mfano tukichambua kila kipindi mwenye taaluma ya uhandishi wa habari vikiambatana na vyeti vya vyuo vinavyotambulika na serikali utawapata wachache sana pale
Msomaji c hando ni PJ (poul James swai)Ila hando akitoka sjui yale magazeti atayasoma nani, maana jamaa huwa anayasoma kwa ustadi sana