KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,518
Sina chuki mkuu wangu na ni mmja kati ya wafuasi wake, alipohama nikaanza kuisiliza Clouds, lakini sikupata ile radha aliyokuwa nayo RFA. Mkuu sie wengine tumeanza kumfatilia kitambo saana RFA. Kipindi chake cha asubuhi wakati akiwa RFA kilikuwa na wasikilzaji wengi sana.Sio kweli acha chuki zisizo na msingi kwa fredwaaaas