Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast

Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast

Wakitoka hawa jamaa ctosikiliza tena kipindi cha pb coz walikua wananifanya nikipende sana,mfano leo waliokuepo hawajakitendea haki hata kdogo
 
Kama wametufanya wajinga kama siku yenyewe.. Kweli hata wakirudi tena kina Hando na Pj sintasikiliza tena
 
nahis naanza kusikiliza power breakfast, from nw. fina na masood nawakubal sana, kiukwel natangaza rasm kusikiliza radio ya clouds baada ya miaka kama 7.... big up ruge, kumbe kunawakati unaakili?
Tehtehteh unaambiwa Ruge kupambana naye yakuitaji uwe na akili ya ziada, hayo maelezo yaliwahi kutolewa na Shigongo.... huyo ndo mastermind wa kwenye hizi media... naona mchezo kaumaliza ki mafia..
sasa kwamfano unaachaje kusikiliza PB?
 
Wakitoka hawa jamaa ctosikiliza tena kipindi cha pb coz walikua wananifanya nikipende sana,mfano leo waliokuepo hawajakitendea haki hata kdogo
...hando wala hakuwa na jipya zaidi ya kupiga makelele, hapo asset alikua ni pj, nina hakika majembe yaliyoshuka leo utakua unaifungulia pb kuanzia kumi na moja...
 
PB bila Gerard Hando na PJ sijui kama ntakisikilza tena,hawa majamaa walikua wanapamba kipindi na kuanzisha mada motomoto na PJ alkua anajua jins ya kuchambua magazet vizur
Siku hz Fredwaa anasoma kama hadithi tu ilimradi amalize kusoma.
IMG_7177.JPG
 
Habari zinasema kwamba PJ, Abel Onesmo na Gerald Hando watapigwa chini kuanzia mwezi April mwaka huu.

Kwa kawaida, Clouds wana utaratibu wa kutoa mikataba mipya kila ifikapo April 1. Katika zoezi hilo kuna wafanyakazi wapya wanaopewa mikataba na wale wa zamani ambao kituo kinawahitaji "hurenew" mikataba yao.

Imefahamika kwamba PJ , Abel Onesmo na Gerald Hando ambao wote wanatoka kipindi cha Power Breakfast (PB) watapigwa chini mwezi huu au kwa kauli ya mjini ni kwamba "Watatumbuliwa".

Sababu kubwa inayotajwa ya wakongwe hao kupigwa chini ni kushindwa kuendana na taratibu za kampuni hiyo kongwe na kinara katika sekta ya Burudani nchini kwani wanajiona wao wako juu ya watu wote.

Pia inasemekana suala la Rais Magufuli kupiga simu kwenye kipindi cha Clouds 360 limewauma sana kwani walikuwa wanaamini wao ndio kipindi bora zaidi cha asubuhi hivyo Suala la Magufuli kupiga simu 360 limeprove "otherwise".

Inadaiwa kuwa msuguano mkubwa ulianza wakati wa kipindi cha uchaguzi kutokana na kutumika kisiasa na kulipwa na baadhi ya wanasiasa ili watumie Power Breakfast kama jukwaa la kuwasafisha kinyume na maadili ya kazi yao yanayosisitiza "neutrality" katika kutoa habari.

Vilevile habari za kuaminika kutoka ndani ya Clouds zinasema kwamba tayari Clouds Media Group imeajiri vichwa vipya ambavyo kuanzia tarehe 1 vitaanza kupiga kazi.

==============
Mwingine
=============
Hoyeeeeeeee
 
kipanya,fina mango wametak cover
Nahisi hawa Fina Mango na Masoud Kipanya hawajaja jumla hapo Clouds.

Pengine wameletwa maalumu kwa ajili ya siku ya leo tu ili ku snatch attention ya wasikilizaji ukizingatia siku yenyewe ni siku ya wajinga ili watu wadhani kwamba watangazaji wao vipenzi wamerudi kuchukua nafasi za hao Hando na PJ wanaodaiwa kuwa hawatakuwepo tena Clouds.

All in all, kama ni kweli kwamba Fina na Kipanya wameletwa kwa ajili ya leo tu pia ni aina ya ubunifu mzuri kwa Clouds.
 
Nahisi hawa Fina Mango na Masoud Kipanya hawajaja jumla hapo Clouds.

Pengine wameletwa maalumu kwa ajili ya siku ya leo tu ili ku snatch attention ya wasikilizaji ukizingatia siku yenyewe ni siku ya wajinga ili watu wadhani kwamba watangazaji wao vipenzi wamerudi kuchukua nafasi za hao Hando na PJ wanaodaiwa kuwa hawatakuwepo tena Clouds.

All in all, kama ni kweli kwamba Fina na Kipanya wameletwa kwa ajili ya leo tu pia ni aina ya ubunifu mzuri kwa Clouds.
ni uhakika pj na hando wameenda EFM...na kipanya na fina ndio wameshaingia hivyo mawingu.
 
Back
Top Bottom