Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,730
- 6,736
Kule East Africa Radio si uwa wanatumia kiingereza? Au uwa kuna vipindi vya kiswahili pia?Efm yenyewe Dar tu wala hawata noga. Natamani wangeenda East Africa radio...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule East Africa Radio si uwa wanatumia kiingereza? Au uwa kuna vipindi vya kiswahili pia?Efm yenyewe Dar tu wala hawata noga. Natamani wangeenda East Africa radio...
*****! fungulia mawingu fm now!Nadhani ni fool day si kwamba wamerudi
..labda utujuze pale EA radio kuna kipindi gani cha kiingereza? kwani Zembwela naye siku hizi kawa msomi?Kule East Africa Radio si uwa wanatumia kiingereza? Au uwa kuna vipindi vya kiswahili pia?
Kiswahili siku hizi karibu vipindi vyoteKule East Africa Radio si uwa wanatumia kiingereza? Au uwa kuna vipindi vya kiswahili pia?
Paul James Sweya.Msomaji c hando ni PJ (poul James swai)
Tehtehteh unaambiwa Ruge kupambana naye yakuitaji uwe na akili ya ziada, hayo maelezo yaliwahi kutolewa na Shigongo.... huyo ndo mastermind wa kwenye hizi media... naona mchezo kaumaliza ki mafia..nahis naanza kusikiliza power breakfast, from nw. fina na masood nawakubal sana, kiukwel natangaza rasm kusikiliza radio ya clouds baada ya miaka kama 7.... big up ruge, kumbe kunawakati unaakili?
...hando wala hakuwa na jipya zaidi ya kupiga makelele, hapo asset alikua ni pj, nina hakika majembe yaliyoshuka leo utakua unaifungulia pb kuanzia kumi na moja...Wakitoka hawa jamaa ctosikiliza tena kipindi cha pb coz walikua wananifanya nikipende sana,mfano leo waliokuepo hawajakitendea haki hata kdogo
PB bila Gerard Hando na PJ sijui kama ntakisikilza tena,hawa majamaa walikua wanapamba kipindi na kuanzisha mada motomoto na PJ alkua anajua jins ya kuchambua magazet vizur
Siku hz Fredwaa anasoma kama hadithi tu ilimradi amalize kusoma.
umeona mkuu, sa iv nmehamia rasm, inabidi magic wajipange sana..Tehtehteh unaambiwa Ruge kupambana naye yakuitaji uwe na akili ya ziada, hayo maelezo yaliwahi kutolewa na Shigongo.... huyo ndo mastermind wa kwenye hizi media... naona mchezo kaumaliza ki mafia..
sasa kwamfano unaachaje kusikiliza PB?
Wamerudi sasa
mi nilikua nasikiliza magic asubuhi ya akina kidachi ila hapa narudisha majeshi powerbreakfast..umeona mkuu, sa iv nmehamia rasm, inabidi magic wajipange sana..
Wamerudi sasa
Ruge ni kiboko aisee.
HoyeeeeeeeeHabari zinasema kwamba PJ, Abel Onesmo na Gerald Hando watapigwa chini kuanzia mwezi April mwaka huu.
Kwa kawaida, Clouds wana utaratibu wa kutoa mikataba mipya kila ifikapo April 1. Katika zoezi hilo kuna wafanyakazi wapya wanaopewa mikataba na wale wa zamani ambao kituo kinawahitaji "hurenew" mikataba yao.
Imefahamika kwamba PJ , Abel Onesmo na Gerald Hando ambao wote wanatoka kipindi cha Power Breakfast (PB) watapigwa chini mwezi huu au kwa kauli ya mjini ni kwamba "Watatumbuliwa".
Sababu kubwa inayotajwa ya wakongwe hao kupigwa chini ni kushindwa kuendana na taratibu za kampuni hiyo kongwe na kinara katika sekta ya Burudani nchini kwani wanajiona wao wako juu ya watu wote.
Pia inasemekana suala la Rais Magufuli kupiga simu kwenye kipindi cha Clouds 360 limewauma sana kwani walikuwa wanaamini wao ndio kipindi bora zaidi cha asubuhi hivyo Suala la Magufuli kupiga simu 360 limeprove "otherwise".
Inadaiwa kuwa msuguano mkubwa ulianza wakati wa kipindi cha uchaguzi kutokana na kutumika kisiasa na kulipwa na baadhi ya wanasiasa ili watumie Power Breakfast kama jukwaa la kuwasafisha kinyume na maadili ya kazi yao yanayosisitiza "neutrality" katika kutoa habari.
Vilevile habari za kuaminika kutoka ndani ya Clouds zinasema kwamba tayari Clouds Media Group imeajiri vichwa vipya ambavyo kuanzia tarehe 1 vitaanza kupiga kazi.
==============
Mwingine
=============
Nahisi hawa Fina Mango na Masoud Kipanya hawajaja jumla hapo Clouds.kipanya,fina mango wametak cover
ni uhakika pj na hando wameenda EFM...na kipanya na fina ndio wameshaingia hivyo mawingu.Nahisi hawa Fina Mango na Masoud Kipanya hawajaja jumla hapo Clouds.
Pengine wameletwa maalumu kwa ajili ya siku ya leo tu ili ku snatch attention ya wasikilizaji ukizingatia siku yenyewe ni siku ya wajinga ili watu wadhani kwamba watangazaji wao vipenzi wamerudi kuchukua nafasi za hao Hando na PJ wanaodaiwa kuwa hawatakuwepo tena Clouds.
All in all, kama ni kweli kwamba Fina na Kipanya wameletwa kwa ajili ya leo tu pia ni aina ya ubunifu mzuri kwa Clouds.
Basi ni jambo jema pia.ni uhakika pj na hando wameenda EFM...na kipanya na fina ndio wameshaingia hivyo mawingu.