Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast

Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast

Kuna wajinga humu kila siku wanafanya kazi ya kuiponda clouds fm. Lakini kwenye huu uzi ndo wa kwanza kuchangia.
 
Wanatapatapa tu. Zama zenu zilishapita bwana Ruge sasa tuna machaguo mengi tu.
 
Kwa msioijua PB ya kipanya na Fina, ndio ulikuwa mwisho wangu wa kipindi cha PB

BADO SIJAPATA MTANGAZAJI KAMA fINA NA mASOUD kIPANYA

HANDO ALIKUWA mamluki tu...kuna wengine wengi wa kufukuzwa clouds, na wamezea mate, wanaiona clouds kama baba yao na mama yao, mmoja wao ni mshamba mmoja alikuwaga mwigizaji
Dimela au
 
Kuwarudisha Kipanya na Mango ni sign of desperation kuokoa kipindi cha PB baada ya "drunkin patnaz" wangu Hando na PJ kusepa EFM. Clouds wamekosa new talent namna hiyo hadi wawarudishe hao throwbacks?
 
watangazaji tajwa hapo juu wamepiga kazi chini clouds fm
 
Habari ipo nusu nusu, ungeandika na sababu na wanataraj kwenda wapi labda, au ndio mnasheherekea siku kuu yenu?
 
...dah ama kweli leo siku ya wajinga... kipanya na fina wala sio wafanyakazi clouds bali walikaribishwa kwa leo tu...
 
Kuwarudisha Kipanya na Mango ni sign of desperation kuokoa kipindi cha PB baada ya "drunkin patnaz" wangu Hando na PJ kusepa EFM. Clouds wamekosa new talent namna hiyo hadi wawarudishe hao throwbacks?
Ina maana na hawa walikosea tena watawarudisha kina Hando.... Upungufu wa kujielewa tu... Magazeti ndo basi tena mm
 
Habari zinasema kwamba PJ, Abel Onesmo na Gerald Hando watapigwa chini kuanzia mwezi April mwaka huu.

Kwa kawaida, Clouds wana utaratibu wa kutoa mikataba mipya kila ifikapo April 1. Katika zoezi hilo kuna wafanyakazi wapya wanaopewa mikataba na wale wa zamani ambao kituo kinawahitaji "hurenew" mikataba yao.

Imefahamika kwamba PJ , Abel Onesmo na Gerald Hando ambao wote wanatoka kipindi cha Power Breakfast (PB) watapigwa chini mwezi huu au kwa kauli ya mjini ni kwamba "Watatumbuliwa".

Sababu kubwa inayotajwa ya wakongwe hao kupigwa chini ni kushindwa kuendana na taratibu za kampuni hiyo kongwe na kinara katika sekta ya Burudani nchini kwani wanajiona wao wako juu ya watu wote.

Pia inasemekana suala la Rais Magufuli kupiga simu kwenye kipindi cha Clouds 360 limewauma sana kwani walikuwa wanaamini wao ndio kipindi bora zaidi cha asubuhi hivyo Suala la Magufuli kupiga simu 360 limeprove "otherwise".

Inadaiwa kuwa msuguano mkubwa ulianza wakati wa kipindi cha uchaguzi kutokana na kutumika kisiasa na kulipwa na baadhi ya wanasiasa ili watumie Power Breakfast kama jukwaa la kuwasafisha kinyume na maadili ya kazi yao yanayosisitiza "neutrality" katika kutoa habari.

Vilevile habari za kuaminika kutoka ndani ya Clouds zinasema kwamba tayari Clouds Media Group imeajiri vichwa vipya ambavyo kuanzia tarehe 1 vitaanza kupiga kazi.

==============
Mwingine
=============
Hawatawaweza kutubupurudisha Kama kina pj inabidi nitafute radio nyingine ya kusikiliza
 
Captain G bash,,. Ndani ya cloudsfm
 
achilia hawa hii radio imekuwa utaratibu mbovu sana wa kumaliza mkataba na wafanyakazi wake
kumbuka kina
k single
ML chriss
seven aka severina
jumanne kabwela aka jimmy kabwe
mzee wa bambataaa
na wengine wengi sidhani kama wanaweza sema kama were happy during their termination
 
Back
Top Bottom