ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Nimesikitishwa na kituo cha clouds FM kusema ati Yanga na SBS ni ndugu na wana jambo lao Moja
Clouds FM ni media ambayo imejijengea heshima Kwa muda mrefu, kwanini Sasa inataka kujiondelea hiyo heshima
Mmejiajiri media personnel wasio kuwa na waledi
Yaani undugu wa Yanga na Singida BS unatoka wapi
Singida Black Stars ni team inafanya biashara na timu zote
Imefanya biashara na Simba wakichukua wachezaji akina Aishi Manula, Kennedy, Yusuph Kagoma na wengine
Kwanini biashara ikifanyika dhidi ya Yanga ionyeshe hujuma
Hoja ya udhamini wa GSM
GSM sio mmiliki wa Yanga,GSM ni mfanyabiashara, Yeye anatangaza biashara zake kupitia timu za mpira,
Wala udhamini wake hauathuri chochote
Clouds FM jitathimini haraka na mbadilike
Clouds FM ni media ambayo imejijengea heshima Kwa muda mrefu, kwanini Sasa inataka kujiondelea hiyo heshima
Mmejiajiri media personnel wasio kuwa na waledi
Yaani undugu wa Yanga na Singida BS unatoka wapi
Singida Black Stars ni team inafanya biashara na timu zote
Imefanya biashara na Simba wakichukua wachezaji akina Aishi Manula, Kennedy, Yusuph Kagoma na wengine
Kwanini biashara ikifanyika dhidi ya Yanga ionyeshe hujuma
Hoja ya udhamini wa GSM
GSM sio mmiliki wa Yanga,GSM ni mfanyabiashara, Yeye anatangaza biashara zake kupitia timu za mpira,
Wala udhamini wake hauathuri chochote
Clouds FM jitathimini haraka na mbadilike