Clouds FM kwanini mnasema wazi kuwa Yanga na Singida BS ni ndugu?

Clouds FM kwanini mnasema wazi kuwa Yanga na Singida BS ni ndugu?

Jibu swali wewe acha kudema dema,mliifunga yanga 6-0,4-1,5-1 kwahiyo kipindi chote iko mlikuwa mkiwahonga wachezaji yanga pesa?
Rage ajengewe sanamu kwa Kuwaita mbumbumbu
Sasa simba tangu lini ikawa na utamaduni wa kuhonga wachezaji wa timu pinzani ili ilegezewe, ingekuwa inafanya hivyo basi huko kimataifa ambako kuna timu ngumu na hakuna kuhonga isingekuwa inafanya vizuri, kabla hamjajenga Sanamu la Rage anzeni kwanza kujenga la Eymael maana yeye ndiye alikuwa sahihi kuliko Manara kuwahusu
 
Ndio walinunuliwa sasa unabisha nini wakati uongozi wa simba ulifanya uchunguzi na ukathibitisha hilo, Manula alijijua kabisa alitoka kwenye majeruhi na hakuwa na fitness halafu akang'ang'ania kocha ampange kwenye mechi ngumu kama ile, Inonga tuliona kabisa madudu aliyofanya siku ile na magoli karibu yote yalipitia kwake sasa wewe unasema wachezaji hawawezi kununuliwa kwani wao walijua kwamba ingejulikana
Kweli wewe ndo mbumbumbu aliosasema Rage
 
Back
Top Bottom