Ndio walinunuliwa sasa unabisha nini wakati uongozi wa simba ulifanya uchunguzi na ukathibitisha hilo, Manula alijijua kabisa alitoka kwenye majeruhi na hakuwa na fitness halafu akang'ang'ania kocha ampange kwenye mechi ngumu kama ile, Inonga tuliona kabisa madudu aliyofanya siku ile na magoli karibu yote yalipitia kwake sasa wewe unasema wachezaji hawawezi kununuliwa kwani wao walijua kwamba ingejulikana