Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Nimeona mpendwa..na nimeona pia ilala alivyokujibu kwa staha..huna kosa ila binadamu tunahulka tofauti..mengine unayapotezea tu.Ni kweli, ila wakati namjibu mtoa mada sikubisha na hata aliponijibu bado nimekubali. Kosa liko wapi hapo.