Clouds FM uvumilivu umewashinda, waanzisha kipindi cha michezo asubuhi

Clouds FM uvumilivu umewashinda, waanzisha kipindi cha michezo asubuhi

Baba yangu sisi wabongo ni wajuaji kinyamaa alafu wabishi dunia nzima!

Nilitegemea kukuta ubishi wa hivyo yani mtu hata hajasikiliza Radio labda mara ya mwisho amesikiliza miezi minne nyuma lakini anabisha tu hahahahaha kudadaaadeki😂😂

Huyo unayemsema yuko sahihi kuliko kilicholetwa na mleta maada.

Bado siyo kipindi rasmi.
 
Hatimaye Clouds FM moja kati ya redio kubwa Tanzania imeanzisha kipindi cha michezo asubuhi kiitwacho Hili Game.

Ikumbukwe Efm ndio mwasisi wa kipindi cha michezo asubuhi kitwacho Sports HQ.

Zamani ili kuwa nadra sana Clouds ku-adapt mifumo ya vipindi vya redio zingine hakika katika hili ni mapinduzi Efm wameleta katika tasnia ya media.
Kipindi Cha michezo cha asubuhi kumbukumbu zangu zinaniambia mwasisi Ni RFA. Kilikuwa kinaanza saa 1:30 asubuhi hadi saa 1:50 asubuhi.

EFM alochofanya ni kuwa na masaa mengi tofauti na RFA.
 
Clouds imeishiwa kitambo tu, hawana jipya hata kidogo. Wasafi nao ni wachovu sana kwa vipindi vya redio.
Hawajaishiwa mzee, issue ni kuwahabarisha wateja wao ..kuhakikisha msikilizaj abanduk redion
 
vipindi vya michezo asubuhi vilianzishwa na Radio free africa, walianza na kipindi chao mwaka 2006 kuanzia saa 1:20 asubuhi
Naaaam, RFA ndiyo waasisi wa vipindi vya michezo asubuhi.
 
Naaaam, RFA ndiyo waasisi wa vipindi vya michezo asubuhi.
Yes, baada ya matukio. Enzi hizo inabamba sana, kisha baada ya michezo yanafuatia matangazo hadi saa mbili kamili, muhtasari wa habari kisha anaingia Fredwaa na sindano tano za moto. Inafuata RFA bonanza hadi saa sita mchana kisha mapishi na salamu, taarifa ya habari saa 6 na nusu. Saa saba ni DW. Saa nane ni Showtime hadi saa 10 jioni. Kisha mambomambo na RFA hadi 12 kamili, DW kwa nusu saa inafuata BBC. Ilikuwa bandika bandua. Sijui kwnn wamepoa sana siku hizi.
 
Yes, baada ya matukio. Enzi hizo inabamba sana, kisha baada ya michezo yanafuatia matangazo hadi saa mbili kamili, muhtasari wa habari kisha anaingia Fredwaa na sindano tano za moto. Inafuata RFA bonanza hadi saa sita mchana kisha mapishi na salamu, taarifa ya habari saa 6 na nusu. Saa saba ni DW. Saa nane ni Showtime hadi saa 10 jioni. Kisha mambomambo na RFA hadi 12 kamili, DW kwa nusu saa inafuata BBC. Ilikuwa bandika bandua. Sijui kwnn wamepoa sana siku hizi.
Mkuu inaonekana ulikuwa mfuatiliaji mzuri sn wa RFA kipindi hicho.
Ukweli ni kuwa RFA ilikuwa redio bora sana siku za nyuma lkn nadhani Management imewaangusha mpaka watangazaji wote wazuri wakakimbia!
Ukifatilia vizuri utagundua karibu nusu ya watangazaji maarufu wa redio na tv nchini ni zao la RFA.
 
Mkuu inaonekana ulikuwa mfuatiliaji mzuri sn wa RFA kipindi hicho.
Ukweli ni kuwa RFA ilikuwa redio bora sana siku za nyuma lkn nadhani Management imewaangusha mpaka watangazaji wote wazuri wakakimbia!
Ukifatilia vizuri utagundua karibu nusu ya watangazaji maarufu wa redio na tv nchini ni zao la RFA.
Acha kabisa mkuu. Enzi hizo nilikuwa nachelewa hata kwenda shule sababu ya mpangilio wa vipindi. Kuna muda ilinilazimu kukwepa masomo ili nisikilize redio. Ukija wikend ndio ilikuwa balaa lenyewe. Kuna kipindi kiliitwa Hindu style kama sikosei, ilikuwa inaelezewa movie ya kihindi na unaimagine kama unaona live kabisa. Zilikuwa zikipigwa nach za kutosha usiku wa kipindi. Rest in peace RFA ya enzi hizo. Sound engineers walikuwa makini na sauti ilikuwa haiumizi masikio. Siku hizi sijui wameajiri watu gani, sauti haivutii na kuna muda inakuwa kama inaparaza speaker.
 
Radio One ilikuwa nzuri kwa kipindi cha michezo enzi hizo. Key mtangazaji? Maulid Kitenge.

Ikaja EFM ikawasha moto. Key anchor? Maulid Kitenge.

Kwa sasa inavuma Wasafi na Sports Arena/ Sports Court. Key anchor? Kitenge once again.

In two or tree years kunaweza kutokea Radio nyingine. Sina shaka nahodha wa kipindi cha michezo atakuwa nani.
 
Radio One ilikuwa nzuri kwa kipindi cha michezo enzi hizo. Key mtangazaji? Maulid Kitenge.

Ikaja EFM ikawasha moto. Key anchor? Maulid Kitenge.

Kwa sasa inavuma Wasafi na Sports Arena/ Sports Court. Key anchor? Kitenge once again.

In two or tree years kunaweza kutokea Radio nyingine. Sina shaka nahodha wa kipindi cha michezo atakuwa nani.
Maulidi Baraka Kitenge ni mmoja kati ya watangazaji waliokuwa wanasauti za kimichezo tangu zamani. Jezi nambari 9 mgongoni. Jamaa anajua sana aisee.
 
Ila hawa SPORTS ARENA...

Really nilikuwa sikosi kuwasikiliza kina Jeff Lea na wenzake wa mawingu...

Toka waje akina G.Ambangile na crew yake pale WASAFI FM daah SIWABUNDUKI...huniachia siku mojamoja kwenda kuwasikiliza sports court hapo mawinguni...
Upo Kama mimi Jumbe Brown
 
Ndo biashara na maisha yalivyo
Anakuja mtu unamdharau ana take over
Hadi unalazimika kujifunza kwake..

Industry ambayo unafikiri wewe ndo pioneer
Na hakuna anaeijua kama wewe
Wanaibuka chipukizi wanaitawala Hadi unaondolewa kabisa au kujifunza kuwa copy

FM radio ya Kwanza ni redio one
Leo iko wapi??

Gazeti la michezo la kwanza ni dimba
Leo liko wapi??
Issue ni kwamba binadamu tunapenda sana matunda ya mafanikio au kuwaona watu ni mashujaa kwa kuwa wanakuwa "nyuso" za firm husika.

Ila watubwanaokuwa ntuma ya pazia unakuwa ni magwiji kabisa wa tasnia husika.
 
ilikua lazima waweke asubuhi....wenzao sport hq na sport arena wako asubuhi na wamechukua deals zote za pesa..wadhamini wengi wanaona huo ndo muda mzr kuliko saa tatu usiku..
 
Baba yangu sisi wabongo ni wajuaji kinyamaa alafu wabishi dunia nzima!

Nilitegemea kukuta ubishi wa hivyo yani mtu hata hajasikiliza Radio labda mara ya mwisho amesikiliza miezi minne nyuma lakini anabisha tu hahahahaha kudadaaadeki😂😂
Huku kwetu Bara kuna Redio kabisa ya michezo ya Abdallah Majura kwa hiyo ni Redio nyingi tu zinaanza na Michezo asubuhi.
Kwa DSM redio shindani anaona ni Clouds na hao Wasafi na hawa jamaa kwangu ni kero kabisa bora hata vile vipindi vya Traffic Jam au umbeya wa clouds ni Live
kwa asubuhi pesa ni ngumu acheni tuwe wabishi Mkuu
 
Back
Top Bottom