Clouds FM uvumilivu umewashinda, waanzisha kipindi cha michezo asubuhi

Clouds FM uvumilivu umewashinda, waanzisha kipindi cha michezo asubuhi

Acha kabisa mkuu. Enzi hizo nilikuwa nachelewa hata kwenda shule sababu ya mpangilio wa vipindi. Kuna muda ilinilazimu kukwepa masomo ili nisikilize redio. Ukija wikend ndio ilikuwa balaa lenyewe. Kuna kipindi kiliitwa Hindu style kama sikosei, ilikuwa inaelezewa movie ya kihindi na unaimagine kama unaona live kabisa. Zilikuwa zikipigwa nach za kutosha usiku wa kipindi. Rest in peace RFA ya enzi hizo. Sound engineers walikuwa makini na sauti ilikuwa haiumizi masikio. Siku hizi sijui wameajiri watu gani, sauti haivutii na kuna muda inakuwa kama inaparaza speaker.
Indu ,unamzungumzia prince baina kamukuru ilikua raha sana,mm nafikir RFA waliish mbele ya muda maana kwa vipind vile na watangazaj wale hakuna redio ya sasa inayowafikia kila kipind kilikua vzur na watangazaj mahir kwel kwel ,mpaka maripota wao walikua vzur ikaenda ad kwa watuma salamu wakawa maarufu
 
Wanaanza sa tatu kamili ad

Ila clouds nafkiri kwa mtazamo wangu ndio Ina cream nzuri ya wachambuzi wa soka,na kwa mtazamo wangu pia Alex lwambano ndo the best sport anchor hapa bongo so naona wameona Kuna kit wanakipoteza asubuhi na uwezo wa ku wa keep waskilizaji wao wanaowahama asubuhi wanao.wamefanya homework yao vizuri sana
Lwambano ananikatishaga tamaa kitu kimoja tu anapenda mno soka la bongo ulaya tunapewa dakika kidogo
 
Indu ,unamzungumzia prince baina kamukuru ilikua raha sana,mm nafikir RFA waliish mbele ya muda maana kwa vipind vile na watangazaj wale hakuna redio ya sasa inayowafikia kila kipind kilikua vzur na watangazaj mahir kwel kwel ,mpaka maripota wao walikua vzur ikaenda ad kwa watuma salamu wakawa maarufu
Dah kipindi hicho walikuwa na ripota wao Morogoro nilikuwa namkubali kinyama nimemsahau jina
 
Lwambano ananikatishaga tamaa kitu kimoja tu anapenda mno soka la bongo ulaya tunapewa dakika kidogo
Sana mkuu 😅😅,,nawe umegundua Hilo jamaa mswahili kabisa yule mtoto wa temeke kbsa,hata Chama Cha soka Cha temeke jamaa ndo mwenyekiti wa kamati ya mashindano,sa pata picha mipira ya temeke kule mashindano ye ndo anasmamia ,so ni automatically soka la bongo limemka Zaid kichwan
Ila jamaa anajua sana kunogesha kipindi anawapa kazi ndogo wachambuzi wake.
 
Sana mkuu 😅😅,,nawe umegundua Hilo jamaa mswahili kabisa yule mtoto wa temeke kbsa,hata Chama Cha soka Cha temeke jamaa ndo mwenyekiti wa kamati ya mashindano,sa pata picha mipira ya temeke kule mashindano ye ndo anasmamia ,so ni automatically soka la bongo limemka Zaid kichwan
Ila jamaa anajua sana kunogesha kipindi anawapa kazi ndogo wachambuzi wake.
Hana kitu yule
 
Hatimaye Clouds FM moja kati ya redio kubwa Tanzania imeanzisha kipindi cha michezo asubuhi kiitwacho Hili Game.

Ikumbukwe Efm ndio mwasisi wa kipindi cha michezo asubuhi kitwacho Sports HQ.

Zamani ili kuwa nadra sana Clouds ku-adapt mifumo ya vipindi vya redio zingine hakika katika hili ni mapinduzi Efm wameleta katika tasnia ya media.
mmmh hili game kitambo tu mbn we clouds umeanz kusikiliza lini jombaa..!!
 
Wanaanza sa tatu kamili ad

Ila clouds nafkiri kwa mtazamo wangu ndio Ina cream nzuri ya wachambuzi wa soka,na kwa mtazamo wangu pia Alex lwambano ndo the best sport anchor hapa bongo so naona wameona Kuna kit wanakipoteza asubuhi na uwezo wa ku wa keep waskilizaji wao wanaowahama asubuhi wanao.wamefanya homework yao vizuri sana
alaf wat hawaelew km ile ni biashra so inahitaj ubunif ili kupamban na ushindan kutoka kwa wapinzan..!!
 
Indu ,unamzungumzia prince baina kamukuru ilikua raha sana,mm nafikir RFA waliish mbele ya muda maana kwa vipind vile na watangazaj wale hakuna redio ya sasa inayowafikia kila kipind kilikua vzur na watangazaj mahir kwel kwel ,mpaka maripota wao walikua vzur ikaenda ad kwa watuma salamu wakawa maarufu
Muhiri obare kung'omba chacha sukale. Naaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam.

Mkuu, sijui waliteleza wapi hadi wakaanguka.
 
Hatimaye Clouds FM moja kati ya redio kubwa Tanzania imeanzisha kipindi cha michezo asubuhi kiitwacho Hili Game.

Ikumbukwe Efm ndio mwasisi wa kipindi cha michezo asubuhi kitwacho Sports HQ.

Zamani ili kuwa nadra sana Clouds ku-adapt mifumo ya vipindi vya redio zingine hakika katika hili ni mapinduzi Efm wameleta katika tasnia ya media.
Naona Maulidi Kitenge akikopi utaratibu wa vipindi toka E. FM alipokuwa zamani.
 
Lwambano ananikatishaga tamaa kitu kimoja tu anapenda mno soka la bongo ulaya tunapewa dakika kidogo
asante kwa kuliona hilo mkuu yaani mi ndo wamenifukuza kabisa kwenye radio yao kwa sababu hiyo, yaani kipindi kina lisaa limoja na nusu maana yake lisaa limoja habari za michezo za nyumbani na hiyo nusu saa ni habari za michezo za kimataifa.Ajabu ni kwamba Lwambano mpaka zile nusu saa za habari za kimataifa anatangaza habari za nyumbani zikibaki dk tano ndo wanagusia kimataifa juujuu....kiufupi kama si mpenzi wa mipira ya Simba na Yanga huwezi kuwa mpenzi wa michezo ya Clouds hasa akitangaza Lwambano
 
Back
Top Bottom