Nimeona mpendwa..na nimeona pia ilala alivyokujibu kwa staha..huna kosa ila binadamu tunahulka tofauti..mengine unayapotezea tu.Ni kweli, ila wakati namjibu mtoa mada sikubisha na hata aliponijibu bado nimekubali. Kosa liko wapi hapo.
Nilijua naeleweshwa na mtu mwenye busara.Unaona sasa bado unaendelea tu kubisha laaah! π
Yani hapa nimealika watu 6 naowaambiaga daily sisi ni wabishi dunia nzima na hatutaki kukubali hata tukionyeshwa kweli ni hii bado tu tutabisha.
Wanacheka kinoma, yani majina waliyokupa hapa nikiyaandika nakula ban [emoji13][emoji13]
Yoooo! What's up bro Hππππ
NimepokeaNimeona mpendwa..na nimeona pia ilala alivyokujibu kwa staha..huna kosa ila binadamu tunahulka tofauti..mengine unayapotezea tu.
ππ Hatufahamiani so ww zitafute pesa zako kwanza za wenzako huzijui wana zitafuta saa ngapiKatafute pesa mkuu achana na yasokuhusu.
Niko poa bro... How is it dude !?Yoooo! What's up bro H
Umeshinda mkuu. Ita majina yote upendayo, nimekubali kuwa mjinga. [emoji1635][emoji1635]hearly see this guy unaweza ipiga ngumi nyingi sana ikufe kwa kosa dogo tu π
Am dope nigga, kuna watu wanapanikisha sana humu.Niko poa bro... How is it dude !?
Amina sana mtumishi.Amani itawale baina yenu .. msimpe nafasi shetani akafanikiwa kuwa gombanisha
πππ My foot .. dismiss itAmina sana mtumishi.
Sema ka-feeling ka pambano bado kapo π
Kiboko ni kipindi cha dream fm. Wanaita sport attack. Masaa matatu asubuhi.
Clouds imeishiwa kitambo tu, hawana jipya hata kidogo. Wasafi nao ni wachovu sana kwa vipindi vya redio.Hatimaye Clouds FM moja kati ya redio kubwa Tanzania imeanzisha kipindi cha michezo asubuhi kiitwacho Hili Game.
Ikumbukwe Efm ndio mwasisi wa kipindi cha michezo asubuhi kitwacho Sports HQ.
Zamani ili kuwa nadra sana Clouds ku-adapt mifumo ya vipindi vya redio zingine hakika katika hili ni mapinduzi Efm wameleta katika tasnia ya media.
π€£ππ Hatufahamiani so ww zitafute pesa zako kwanza za wenzako huzijui wana zitafuta saa ngapi