Nyani Ngabu ,nina wasiwasi na jinsia yako,hata ya kike sio hivyo.Au ni wale wa Mombasa waliokamatwa juzi
Ananiambia anamaisha mazuri kunizidi!!!
Kisa Marekani miaka kumi?!
Inaonekana unamjua vizuri coz niliona kwenye ile post ya yule Gay basketballer ulimchomekea povu likamjaa usoni
Kanikera sana huyu jamaa,unajua hata kama tunatofautiana ila sio sawa kuingilia maisha binafsi ya mtu
Kama ni hivyo labda tungeanza kuulizia yeye huyo mama yake ni mama yake halali?!isije ikawa aliibiwa hospital?!
Hizi kesi za wanawake mi huwa hata cha kuchangia sina.
Kama nimekukera sana kunywa sumu ufe basi.
Go eff yourself then...
Maisha mazuri Marekani??!!tena kwa kubeba box anajitapata tu huyo Nyani Ngabu hao wabeba box saving zao kwa mwezi hawabakishi hata usd 500,danganya wabeba box wenzio wivu tu kwa kua JD kakupita kimaisha
Ni kweli yanayosemwa kukuhusu?!
Kama nimekukera sana kunywa sumu ufe basi.
Aisee!!!!
Maneno yako tu!!
Usijali sana kuhusu mimi. Jali ya kwako.
Ungekuwa unataka watu wajali ya kwao ungeanza na wewe kwa kujali ya kwako na kuacha kuongelea maisha binafsi ya watu
Matangazo gani ambayo unasema yapo huko na kwenye redio za "kipuuzi puuzi"(kwa fikra zako)hayapo?
Another "planned diversion" from issues of National interest.....
Ni mburula wa mwisho kabisa.
Sijui hawezi kushika mimba azae atulizane alee mwanae? Ebo!!
Nilidhani ruge na kusaga walivyojibu hoja kwenye media yao yaliisha...kumbe wameamua kumpeleka jide mahakamani?...now naamini wana-nia ya dhati kummaliza jide kimuziki..now naamini jide pamoja na kulia kilio kilichopoteza mwelekeo bado anahitaji kusikilizwa ili mtaani tutoe haki "streets justice"...maana naona hawa mabwana wanataka kutumia pesa na vijisenti vyao hata ikiwezekana watoe uhai wa wapinzani wao ki-biashara kwa mgongo wa mahakama.... Possibly itakuwa ni business defamation case ambayo hukumu ni kulipa fidia kubwa kusafisha jina lao.
Jide..please wasiliana na sugu tuone vinega wanaingiaje hapa na kukutetea...mahakama watakuzuia kuliongelea bifu lako kwakuwa kesi ipo mahakamani then itakaa 2yrs na ikitoka unapigwa fine 2billion tshs then unafunga na mgahawa wako na machozi band then unarudi kijijini kwako kulima mihogo.
Damn....joe n ruge..y cant u let this girl go...what do u really want 4m her?...her life?????..telll me psee whatttttttt?...you are grown-ups now "thugs turned businessmen...what else do u need???
mwanamuziki mahiri wa bongo fleva, judith wambura 'lady jaydee' leo alifika mahakama ya wilaya ya kinondoni jijini dar es salaam
kufuatia kufunguliwa kesi ya madai katika mahakama hiyo.
Katika hati ya madai hayo, mwanamuziki huyo anashitakiwa na viongozi wa clouds media group ambao ni ruge mutahaba na joseph kusaga. Tuhuma za kesi hiyo zinatarajiwa kusomwa mahakamani hapo na hakimu, athuman nyamrani mei 27 mwaka huu.
Jaydee aliwasili mahakamani hapo akiwa na mumewe gadner g. Habash mishale ya saa 6 mchana na kuongoza moja kwa moja chumba cha makarani wa mahakama hiyo ambao aliwakabidhi hati ya mashitaka hayo.
source:global publishers
Huyo binti kayataka mwenyewe. Timbwili kalianzisha, ya nini unamuonea huruma?
Na Jide hana support ya watu kama ambavyo unadai ingawa mtu kama dunia yako yote ni JF waweza kudhani hivyo.
Uliona nyomi lile Dodoma? Kama Clouds ni wabaya hivyo na hawakubaliki iweje nyomi lote lile lijitokeze kuunga mkono event ya Clouds?
Watz walifuata muziki sio clouds fm. think.