Clouds FM wamburuza mahakamani Lady JayDee, kesi yapigwa kalenda hadi Mei 27...

Nyani Ngabu ,nina wasiwasi na jinsia yako,hata ya kike sio hivyo.Au ni wale wa Mombasa waliokamatwa juzi

Kiukweli hata mimi nipo gizani kwenye hilo

Alafu na kashfa ya ile redio na anavyoitetea nazidi ku-connect dots tu
 
Last edited by a moderator:

Kama nimekukera sana kunywa sumu ufe basi.
 
Kama nimekukera sana kunywa sumu ufe basi.

Maisha mazuri Marekani??!!tena kwa kubeba box anajitapata tu huyo Nyani Ngabu hao wabeba box saving zao kwa mwezi hawabakishi hata usd 500,danganya wabeba box wenzio wivu tu kwa kua JD kakupita kimaisha
 
Maisha mazuri Marekani??!!tena kwa kubeba box anajitapata tu huyo Nyani Ngabu hao wabeba box saving zao kwa mwezi hawabakishi hata usd 500,danganya wabeba box wenzio wivu tu kwa kua JD kakupita kimaisha

We unadhani kila mtu anabeba boksi literally? Lazima utakuwa zuzu tu wewe.
 
Ungekuwa unataka watu wajali ya kwao ungeanza na wewe kwa kujali ya kwako na kuacha kuongelea maisha binafsi ya watu

Ukijali ya Ngabu ni sawa na kazi bure. In real life he doesn't exist. Haya kanywe sumu ufe. Unasubiri nini wewe mburula?
 
Matangazo gani ambayo unasema yapo huko na kwenye redio za "kipuuzi puuzi"(kwa fikra zako)hayapo?

Nitajie redio zinazongoza kuwa na matangazo mengi ya biashara hapa TZ? Au nitajue radio ambazo wana kipindi ambacho kinakuwa na sponsors zaidi ya wa5 kwenye kipindi kimoja?
 
Wana jf mwene the straight story kuhusu hii issue ya mahakamani kuhusu jd na clouds fm mtujuze vizuri,siku moja wiki iliyopita nilisikia kwa mbali katika radio clouds miongoni mwa wahusika wakijaribu kuelezea the issue lakini sikuambulia kitu.
 

Hahahaha
 

kumbe ya jide yamewauma xana zaidi ya vinega,!!
 
CLOUDS MEDIA GROUP NI WEZI hilo halina ubishi, na wanatumia mgongo wa CCM kufanya uovu wao, CHENYE MWANZO KINA MWISHO, nahisi huu ndio mwisho wa hii kampuni ya kihaya iliyojaa wezi na wanyonyaji wa haki za wasanii kama SERIKALI ya JK KIWETE
 

Watz walifuata muziki sio clouds fm. think.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…