Clouds FM wamburuza mahakamani Lady JayDee, kesi yapigwa kalenda hadi Mei 27...

hii ni kali sijawahi kuishuhudia kwenye social forums humu ndanihere are currently 3898 users browsing this thread. (101 members and 3797 guests)
 

Hahahaha. Nyani Ngabu kweli wewe kamanda wa anga. Haya majibu yako inabidi tu nicheke. #joto hasira!!!
 
Last edited by a moderator:

What exactly is that girl bitching about?

Can you enumerate her grievances against Clouds/Ruge/ Joey?
 

Ninachokiona hapa mimi ni clouds kujaribu kupunguza speed ya tuhuma dhidi yao kwa sababu baada ya Ruge kutoa ufafanuzi wa madai ya jide kwenye radio yao jide nae aliahidi kutoa part two ya tuhuma zake. Sasa basi clouds wameona wakimbilie mahakaman ili wadau wa hii sanaa washtuke na kuona kuwa kuna sababu ya kuwaweka chini na kuongea ili kumaliza hii bifu kabla mambo hayajaribika zaidi.Na kweli kwa hili wamefanikiwa kwani Mheshimiwa makala keshaahidi kulitafutia ufumbuzi wa kudumu hili swala lao na hii itakuwa salama ya clouds isiendelee kuvuliwa nguo na jide
 
hii ni kali sijawahi kuishuhudia kwenye social forums humu ndanihere are currently 3898 users browsing this thread. (101 members and 3797 guests)
amu hata wewe uko miongoni mwao?
Labda pande zote mbili(Team Anaconda & Team Clouds) zimetuma wawakilishi wao kuja JF kufuatilia mjadala ili kubaini kiwango cha uungwaji mkono kutoka kwa raia wa Jamhuri ya JF.
 
Last edited by a moderator:
Sasa mbona matangazo ya biashara hayajapungua? Manake kama Clouds ingekuwa ni mbaya hivyo kama ambavyo nyie manazi wa CHADEMA mnavyodai humu kusingewa na hata tangazo moja la biashara kwenye hicho kituo.

Acheni propaganda zenu za kinazi hapa.

Mkuu Nyani Ngabu kwahiyo hapa unataka tukuelewe kuwa umeamua kusimama upande wa clouds kwakuwa wewe ni mwanaccm?

Kwahiyo na wewe unachofanya hapa ni kupiga propaganda za kinazi, sio???
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nyani Ngabu kwahiyo hapa unataka tukuelewe kuwa umeamua kusimama upande wa clouds kwakuwa wewe ni mwanaccm?

Kwahiyo na wewe unachofanya hapa ni kupiga propaganda za kinazi, sio???

Hapana, mimi siyo mwanaCCM wala CHADEMA na wala sina ubia na Clouds.

Nina fidelity na principles tu.

Leteni madai ya Jay Dee kwa mtindo wa orodha ili tujue bayana anacholalamikia.

Halafu baada ya hapo tulichambue kila lalamiko lake tuone kama lina mashiko au la.
 

Sidhani kama jide anamakosa kwa kile alichokifanya, Yeye alichokifanya ni kulalamika kwa kile alichokiona yeye anafanyiwa na kina mnyima haki yake ya msingi. Alichokifanya ni haki ya kila mtu na vizuri hakuteta ameweka wazi kwa jamii na jamii imeona na imesikia ni kitu gani alichomaanisha. Jamii kama jamii wapo walioona ni sahihi kwake kufanya hivyo na wengine wapo walioona sio sahihi. Kwa bahati nzuri nilimsikia bwana ruge siku aliyoongea kuhusu hili swala hata yeye aliongelea zaidi upande wake na upande wa redio yake na kujigamba kwa kile alichomfanyie jide enzi hizo. na baada ya mazungumzo yake nikagundua wote wanamapungufu tena si madogo, wanahitaji kutuliza akili zao na pengine watafute ushauri tena ushauri wa watu waliotuliza akili zao na sio wahuni. na wala sio kukurupuka.
Kitendo cha clouds kwenda mahakamini kwa mtazamo wangu naona wamekurupuka. Na pengine ni kufanya hii vita iwe kubwa na kupeana umaarufu zaidi.
Tuwe wa kweli na tuipende haki maana hata kwa mungu tutaikuta haki tuitendayo hapa duniani na kama tutakuwa wanyonyaji na mungu nae atatunyonya siku hukumu.
Mungu tuepushe na mabalaa haya.
 

mkuu kwenda kwao mahakamani hakuto saidia maana nilitegemea wange apply for restrain order ambayo ingesaidia kumfunga mdomo jyde na asifunguke zaidi lakini ni wazi mpaka mei 27 ndio mashitaka yatasomwa na sidhani kama waliomba hiyo order. Na huyo Makala ana tafuta umaarufu tuu na kwa nini huwa wana jitokeza mwishoni? kwani hawajui yanayo endelea kwenye music kila leo.

gooooooo komando jyde na hii yote sababu ya #joto hasira#
 
Mkuu Nyani Ngabu kwahiyo hapa unataka tukuelewe kuwa umeamua kusimama upande wa clouds kwakuwa wewe ni mwanaccm?

Kwahiyo na wewe unachofanya hapa ni kupiga propaganda za kinazi, sio???
mimi nafatilia taratibu sina presha kwanza siwajui hao watu sijui ruge sijui kusaga huyo jd namuonaga nyumbani lounge tu pia anaringa sana anajidai yu matawi sana hata misiba ya wasanii wenzake haendagi zaidi ya ule wa kanumba tu inshort mkurya ana tabia za ajabu hajali wasanii wake na walikuwa wanamuinulia band yake remember mwinyi mtalimbo ni my brother na sikupenda alivyokuwa anamfamyia na skylight band ipo juu mie tarehe 15 kitu cha maisha nikatomboka na skylight band jide utajiju.
Hapa tuanangalia starehe wapi nyie pelekaneni mahakamani mie naenda kujipanga pamba nikatomboka maisha.
Ila Nyani Ngabu ndugu vipi?
Wewe ndo shemeji wake kusaga aliyemuoa dadayake anayeishi marekani?naona unatumia nguvu nyingi sana humu ndani.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha. I thought you are 'clouds' yaani. My bad, i swallow my own words. The legal system is screwing me na ukinipeleka na wewe i will rest in pieces.

Umenichekesha. Ati nachemka. Angalia nisije nikachemka mimi ukawiva wewe lol
 

Umefikiria mbali sana ndicho wanataka. Walisema wao hawaoni haja ya kupiga nyimbo zake kama hataomba msamaha au kupata mtu atakaye suluhisha na Makala kapatikana kwanini waende mahakamani? Wameishiwa
 
Wewe Nyani Ngabu

Tafuta maandiko ya mwanafalsafa mmoja anayeitwa St. Thomas wa Aquino utajua kwamba kuna sheria za aina mbili sheria ya Mungu na ya binadamu.
Sheria ya Mungu ukifanya kosa uonwe usionwe lazima upate hukumu. Sheria ya binadamu mpaka uonwe kwa hiyo kama wamemdhulumu jide hawakuonwa waatashinda tu , haina maana kwamba hawajamdhulumu kufungua kesi kwa sisi waelewa wa vyesi huko ni kufunika kombe mwanaharamu apite.

Ukisoma jurisprudence inakwambia kuwa there is no just law but valid law kwa hiyo kama wanaelewa hilo siyo lazima wanao lalamika kudhulumiwa waende mahakamani la hasha. Wanakuja kwa street court sisi commonmen tunahukumu basi, ndiyo maana mimi nilishapiga marufuku hivyo kusikiliza hivyo vitangazio vyao wanavyosema ni vyetu wakati sijawahi kunufaika navyo.
 

Sawa,na in the court of public opinion tutakuwepo na akina sisi tuki-pushback hizo smear attacks zenu.

So bring it on or come baby come (in Miguna's face and voice)
 
Wanatumia pesa zao kummaliza dada wa watu,sijui watapata faida gani.walichomdhulumu hata kama hawajamlipa hapa duniani,watamlipa kesho kwa mungu.You have my prayers Jide.GOD WILL ALWAYS BE WITH YOU>
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…