Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linganisha idadi ya Mabao aliyofunga Samatta kwa Taifa Stars na Msuva.Samata alishapata tuzo ya mchezaji bora afrika, amecheza Europa Leage na Uefa Champions league, amefunga goli Wembley, amecheza Epl huwezi kumlinganisha na msuva mabio
Hujui mpiraLinganisha idadi ya Mabao aliyofunga Samatta kwa Taifa Stars na Msuva.
Hawajasema wa 'muda wote' wamesema kwa miaka kumi iliyopita hadi sasa.Ktk kipindi hiki muhimu kuelekea mchezo wa kufa na kupona kuelekea kufuzu AFCON.
Badala ya kuhamasisha umoja wa timu, wao wanajadili nani bora kati ya Msuva na Samata.
Nadhan tuna safari ndefu kufikia Uchambuzii wa Michezo wenye tija kwa taifa
Linganisha idadi ya Mabao aliyofunga Samatta kwa Taifa Stars na Msuva.
Hujui kitu Dogo. We bado kinda.Hujui mpira
Sasa dogo mfano wako hata wewe mwenyewe ukikaa kuufikiria utajicheka. Unaifahamu Brazil ya akina Kaka,Bebeto,Romario,Ronaldo et all? Hao jamaa? Neymar ameifanikisha nini zaidi Brazil? Unamfaham Pele? Nyie madogo wa miaka ya 2000s ni Changamoto sana.Ata neymar ana mabao meng timu ya taifa ya brazil ila aina maana ndo mchezaj bora wa mda wote brazil
Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana.Hujui mpira
Kumeanza kuchangamkaNyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana.
HahahNyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana.
Hii redio nina miaka mitatu siisikilizi hususan katika kipindi cha michezo.Ktk kipindi hiki muhimu kuelekea mchezo wa kufa na kupona kuelekea kufuzu AFCON.
Badala ya kuhamasisha umoja wa timu, wao wanajadili nani bora kati ya Msuva na Samata.
Nadhan tuna safari ndefu kufikia Uchambuzii wa Michezo wenye tija kwa taifa
Kwa hesabu zako, basi haitokaa itokee kipa akawa mchezaji bora wa muda wote.Linganisha idadi ya Mabao aliyofunga Samatta kwa Taifa Stars na Msuva.
Kwa hesabu zako, basi haitokaa itokee kipa akawa mchezaji bora wa muda wote.
Ova
hajui kivipi mkuu kwani comparison hiyo imebase kwenye timu ya taifa tu au kwa ujumla? Kama ni timu ya taifa ni sahihi kuwalinganisha.Hujui mpira
Giroud ana magoli mengi Ufaransa nae ni bora kuliko kina Zidane na Henry.Ata neymar ana mabao meng timu ya taifa ya brazil ila aina maana ndo mchezaj bora wa mda wote brazil