Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,321
- Thread starter
-
- #61
Stress za umasikin wako usituletee humu.Acha uboya kojoa ukalale usifananishe wasafi na huo upumbavu shenzi type ebooooooh
Hapana mkuu umebugiChris mbaguzi yule wa rangi, anabagua sana watu weusi!
Akija ndiyo atajua namaanisha nini.
Kwani CB ni mzungu ?Chris mbaguzi yule wa rangi, anabagua sana watu weusi!
Akija ndiyo atajua namaanisha nini.
Takupiga ban ebooooooh shenzi typeStress za umasikin wako usituletee humu.
Wakiona ile light skin wanahisi jamaa ni Mzungu. Wangejua kwa Marekani hata Mariah Carey ni Black AmericanAnabaguaje watu weusi wakati yeye mwenyewe ni mweusi?
.
Au ulikuwa unaota?
Tafuta pesa acha wivu wa kitoto.Takupiga ban ebooooooh shenzi type
Hivi Wasafi festival ilitembea kwenye mikoa mingapi ?Acha uboya kojoa ukalale usifananishe wasafi na huo upumbavu shenzi type ebooooooh
Mimi na wewe nani mtoto eboooooohTafuta pesa acha wivu wa kitoto.
Kwani Chris Brown na yeye si ni black?Chris mbaguzi yule wa rangi, anabagua sana watu weusi!
Akija ndiyo atajua namaanisha nini.
HIvi huo upuuzi wa fiesta bado kuna watu wanafatilia?!Ww endelea kuwa mchaw tu huku hapakufai.
Chris brown unatakiwa kutoa zaid ya Us dola 300000 ndo anapiga show, sio kazi ya kitoto kumleta huyo mwambaHey Guys,,
I hope mko Poa.
Katika vitu vilivyo kuwa vina subiriwa na Watz kwa hamu basi ni kusikia siku moja akidondoshwa msanii mkubwa wa Marekani Hasa Chriss Brown,Drake,Rihanna au Hata Beyonce.
Mungu Si Athumani
Juzi Baada ya kutangazwa kishindo cha Fiesta wengi tulishangazwa kuona mikoa ikiwa michache ambayo Tigo fiesta ita timba kukinukisha,Ikabidi niingie kwa Phone kutafuta namba ya mchiz wangu pale mjengoni,Majibu niliyo pata ni kwamba clouds wana mpango wa Hizi show zote zitakazo fanyika mikoa hiyo saba ziwe ni show za kimataifa,#Levels-Baby.
Mwanzoni mipango ilikuwa mwaka huu kusiwepo na show za Fiesta Lakini vijana akina Mchomvu na Bdozen wakashauri kubadilishwa mfumo wa show hizi wa kutegemea wasanii wa ndani,Ndo likaja suala la kudondosha wasanii Kutoka kwa Trump,wengi walishauri kumdondosha Chriss brown na wengne wakashauri Drake,Na inasemekana mmoja kati ya wasanii Hao wawili ndo ata washa moto Tigo fiesta Dar🔥🔥🔥.
Wa mikoani pia hawajaachwa hivi hivi,wajiandae kukutana na wasanii wa nageria,Inasemekana Mwanza atatua Burna Boy na wasanii wengine kibao wa hapa Tz.
Pia Clouds mipango yao ni kuwa Kila baada ya miezi mitatu watakuwa na show kubwa ya msanii mkubwa Kutoka nje,Na wameamua kufanya hivi ili kurudisha Ule mfumo walio kuwa nao nyuma.
Hongereni sana Clouds,Hizi ndo show Watz tunataka,siyo show unatuletea akina whozu Mara akina Lavalava.
Big Congratulations CMG.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unajua gharama za kumleta brizzy au drizzy wewe??
Unalipa watangazaji wote wa cmg kwa miaka miwili[emoji23]
Hiyo ilikuwa mombasa hapo,nadhani alikiba naye alimuona brizzy for the 1st tym,na aliperform kama song zisizoid 5Hiyo jaksi apo fiade c wanaanzisha CMG ingine arif.!!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji188][emoji188][emoji188][emoji188]
Acha ushabiki wa kindezi wewe.sema huna,sis tunazo.
Mkumbushe weusi Wasauz walivyo wabaguzi kwa weusi wenzao, kwahivyo weusi wa mtu si excuse.Wewe ndiyo unaota, mtu kuwa mweusi haimaanishi kuwa yeye habagui weusi.
Jamaa ni mbaguzi.
We jamaa hebu uwe na ushahidi basi, hivi kuna mtu mweusi mwenye ubaguzi wa rangi kwa weusi wenzake kweli kule Marekani?
Yule ni African-American wanavyojiita wao Marekani kwa sasa lakini ndo wale wale Black -American's walijiita zamani na ndo Negro wa enzi hizo pale Virginia.
Nafikiri huyu mwamba anahusianisha lile tukio lililotokea kenya kati ya chriss na yule bintNa mimi nausubiria kwa hamu sana huo ushahidi kuwa mnywamwezi Breezy ni mbaguzi.