Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Anabaguaje watu weusi wakati yeye mwenyewe ni mweusi?Chris mbaguzi yule wa rangi, anabagua sana watu weusi!
Akija ndiyo atajua namaanisha nini.
.
Au ulikuwa unaota?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anabaguaje watu weusi wakati yeye mwenyewe ni mweusi?Chris mbaguzi yule wa rangi, anabagua sana watu weusi!
Akija ndiyo atajua namaanisha nini.
unataka uujue ujinga na ww uwe mjinga ahaahaaTanzania kuna ujinga mwingi nisioujua mfano tigo fiesta ndiyo kitu gani?
ww si ndo Inno mbunifu? Ok me Nina cheo cha urais kwenye ukoo wenu.Mzee baba kwani unacheo gani pale clouds? mbona unapaniki
Hahahaa....atakuwa wa machame!Mkuu unamzungumzia Drake wa makambako au?
Wewe ndiyo unaota, mtu kuwa mweusi haimaanishi kuwa yeye habagui weusi.Anabaguaje watu weusi wakati yeye mwenyewe ni mweusi?
.
Au ulikuwa unaota?
Thibitisha alipobagua watu weusiWewe ndiyo unaota, mtu kuwa mweusi haimaanishi kuwa yeye habagui weusi.
Jamaa ni mbaguzi.
Alafu inaingia akilini kweli wewe ni albino alafu ubaguwe albino wenzako seriously?Wewe ndiyo unaota, mtu kuwa mweusi haimaanishi kuwa yeye habagui weusi.
Jamaa ni mbaguzi.
sawa ngoja nimuulize mamaakoHapana ni yule baba yako.
Kama ni huyo sawaHahahaa....atakuwa wa machame!
Sawa mamako niko nae hapa.sawa ngoja nimuulize mamaako
Wew ndo huna ubav bro.
Wakwako yupo leba uje kumuona Mdogo ako badaeSawa mamako niko nae hapa.
Hii itakuwa biashara kichaa, ila kama wako tayari kupata hasara ni sawa wawalete tuKirisi buroun au dirake hawa ninao wajua mie au!?daaaaadeq........ngoja nikacheke kwanz nitarudi kucomment👣👣👣👣😂😂😂
Hiyo jaksi apo fiade c wanaanzisha CMG ingine arif.!!?😂😂😂👣👣👣👣CHRIS BROWN USD 900,000 (90 MILION KSH, 1.9 BILIONI ZA KITANZANIA), Hizo ni kama zifuatavyo makubaliano yalikuwa kati ya agency mojawapo ya London na mapromota wa Kenya Maarufu kama Wale Wasee Limited the Kenyan promoters, ambapo sept 30 chris brown alipewa 550,000 USD zikiwa ni $200,000 (Ksh20 million) kama za usafiri private Jet and $350,000 (Ksh35 million) pocket money au malipo yake binafsi. iliyobakia $350,000 (Ksh35 million) alilipwa alipowasili mombasa kama walivyokubalian C&P
Ni meicopy humu hiyo,kama wanawwza watamlete
Haina mvuto kwakoFiesta imeshapotea teyali haina mvuto tena
Nani alikwambia huu ujinga?Bongo fleva=WCB