Clouds media jana mmejiaibisha mno kwenye kipindi cha michezo

Clouds media jana mmejiaibisha mno kwenye kipindi cha michezo

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Habari za mda huu Wana michezo?

Kuna mtu Jana mwenye akili timamu aliesikiliza hoja za wachambuzi wa ichi kipindi kuhusu team flani kushtumiwa kutumia sindano na dawa za kusisimua misuli?

Ivi huu uchawa tuna tutauacha lini yaani mnatetea team kushinda kwaa kujidunga sindano kuwa itaharibu taswira ya Mpira wa Tanzania izo ni akili timamu?

Mmeshawahi kutumia madawa mkaona reality ya mtu aaliyetumia na asiye tumia in short aliye expose iyo issue alipaswa kupongezwa kabisa sio kudhihakiwa madawa ya kulevya mtu Akitumia asiwe addicted sana anakuwa na mzuka usio kawaida mfano wasanii wanaotumia befor kupanda Kwa stage

Sasa mnaruhusu vipi wachezaji wajidunge madawa Kwa kisingizio taarifa ifichwe ili kutoharibu ajira ya Mpira

This is the highest level of insanity

Tutaharibu soccer kuwashindanisha watu Wanaotumia drugs na wasio tumia

Hili suala sio zuri ata kidogo watanzania tuacheni uchawa Kwa wenye pesa
 
Habari za mda huu Wana michezo?

Kuna mtu Jana mwenye akili timamu aliesikiliza hoja za wachambuzi wa ichi kipindi kuhusu team flani kushtumiwa kutumia sindano na dawa za kusisimua misuli?

Ivi huu uchawa tuna tutauacha lini yaani mnatetea team kushinda kwaa kujidunga sindano kuwa itaharibu taswira ya Mpira wa Tanzania izo ni akili timamu?

Mmeshawahi kutumia madawa mkaona reality ya mtu aaliyetumia na asiye tumia in short aliye expose iyo issue alipaswa kupongezwa kabisa sio kudhihakiwa madawa ya kulevya mtu Akitumia asiwe addicted sana anakuwa na mzuka usio kawaida mfano wasanii wanaotumia befor kupanda Kwa stage

Sasa mnaruhusu vipi wachezaji wajidunge madawa Kwa kisingizio taarifa ifichwe ili kutoharibu ajira ya Mpira

This is the highest level of insanity

Tutaharibu soccer kuwashindanisha watu Wanaotumia drugs na wasio tumia

Hili suala sio zuri ata kidogo watanzania tuacheni uchawa Kwa wenye pesa
Umeeleweka,
 
Habari za mda huu Wana michezo?

Kuna mtu Jana mwenye akili timamu aliesikiliza hoja za wachambuzi wa ichi kipindi kuhusu team flani kushtumiwa kutumia sindano na dawa za kusisimua misuli?

Ivi huu uchawa tuna tutauacha lini yaani mnatetea team kushinda kwaa kujidunga sindano kuwa itaharibu taswira ya Mpira wa Tanzania izo ni akili timamu?

Mmeshawahi kutumia madawa mkaona reality ya mtu aaliyetumia na asiye tumia in short aliye expose iyo issue alipaswa kupongezwa kabisa sio kudhihakiwa madawa ya kulevya mtu Akitumia asiwe addicted sana anakuwa na mzuka usio kawaida mfano wasanii wanaotumia befor kupanda Kwa stage

Sasa mnaruhusu vipi wachezaji wajidunge madawa Kwa kisingizio taarifa ifichwe ili kutoharibu ajira ya Mpira

This is the highest level of insanity

Tutaharibu soccer kuwashindanisha watu Wanaotumia drugs na wasio tumia

Hili suala sio zuri ata kidogo watanzania tuacheni uchawa Kwa wenye pesa
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3146808
IMG-20241108-WA0000.jpg
 
Kuna siku atapelekwa mtu mahakamani na hizi tuhuma zenu za kuchafua taasisi halafu muanze kubembembeleza jamii iwaonee huruma.

Shabiki la Bongo linaamini Bayern Munich Kupigwa goli 5 na Frankfurt ni mambo ya mpira. Ila timu yake ikifungwa 5, madawa, bahasha, hujuma, ushirikina.

Bongo hatupendi mpira, tunapenda Simba na Yanga.
 
Habari za mda huu Wana michezo?

Kuna mtu Jana mwenye akili timamu aliesikiliza hoja za wachambuzi wa ichi kipindi kuhusu team flani kushtumiwa kutumia sindano na dawa za kusisimua misuli?

Ivi huu uchawa tuna tutauacha lini yaani mnatetea team kushinda kwaa kujidunga sindano kuwa itaharibu taswira ya Mpira wa Tanzania izo ni akili timamu?

Mmeshawahi kutumia madawa mkaona reality ya mtu aaliyetumia na asiye tumia in short aliye expose iyo issue alipaswa kupongezwa kabisa sio kudhihakiwa madawa ya kulevya mtu Akitumia asiwe addicted sana anakuwa na mzuka usio kawaida mfano wasanii wanaotumia befor kupanda Kwa stage

Sasa mnaruhusu vipi wachezaji wajidunge madawa Kwa kisingizio taarifa ifichwe ili kutoharibu ajira ya Mpira

This is the highest level of insanity

Tutaharibu soccer kuwashindanisha watu Wanaotumia drugs na wasio tumia

Hili suala sio zuri ata kidogo watanzania tuacheni uchawa Kwa wenye pesa
Nina miaka mitatu sisikilizi michezo clouds.Hivi kumbe kuna watu bado mnawasikikizaga?
 
Yani bongo kweli sisi ni bara jeusi,ukipelekwa mahakaman ujibu izo tuhuma unaanaza kubwabwaja kama mzee Magoma
 
Yani bongo kweli sisi ni bara jeusi,ukipelekwa mahakaman ujibu izo tuhuma unaanaza kubwabwaja kama mzee Magoma
Je kutumia madawa ni sahihi tukemee hata kama wanataka kutumia hawajatumia
 
Kuna siku atapelekwa mtu mahakamani na hizi tuhuma zenu za kuchafua taasisi halafu muanze kubembembeleza jamii iwaonee huruma.

Shabiki la Bongo linaamini Bayern Munich Kupigwa goli 5 na Frankfurt ni mambo ya mpira. Ila timu yake ikifungwa 5, madawa, bahasha, hujuma, ushirikina.

Bongo hatupendi mpira, tunapenda Simba na Yanga.
Kama mtu kapiga picha means ana ushahidi vipi Pogba Yuko wapi Leo?
 
Ila kiukweli mashabiki wa simba mnaboa sana
Na mpira wa tz unaharibiwa na ninyi
Mara GSM
Marefa
Uchawi
Bahasha

Sasa mmekuja na sindano
Bado wewe ni mjinga Sana kama unaamini bongo Kuna mashabiki wa Simba na yanga Mimi Azam pure
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3146808
Your uncivilized
 
Ni kweli icho kipindi siku hizi hawa chambui mpila dakika 90, kifundi zaid wao mada zao nyingi ni nje ya uwanja tu, inshot wamezoea kazi watafute wanao jua mpila dk 90, wakina master tindwa wawe wengi zaidi
 
Back
Top Bottom