Clouds media jana mmejiaibisha mno kwenye kipindi cha michezo

Clouds media jana mmejiaibisha mno kwenye kipindi cha michezo

H
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3146808
hilooooo mmepigwaaa...
Dunga dunga Fc
 
Habari za mda huu Wana michezo?

Kuna mtu Jana mwenye akili timamu aliesikiliza hoja za wachambuzi wa ichi kipindi kuhusu team flani kushtumiwa kutumia sindano na dawa za kusisimua misuli?

Ivi huu uchawa tuna tutauacha lini yaani mnatetea team kushinda kwaa kujidunga sindano kuwa itaharibu taswira ya Mpira wa Tanzania izo ni akili timamu?

Mmeshawahi kutumia madawa mkaona reality ya mtu aaliyetumia na asiye tumia in short aliye expose iyo issue alipaswa kupongezwa kabisa sio kudhihakiwa madawa ya kulevya mtu Akitumia asiwe addicted sana anakuwa na mzuka usio kawaida mfano wasanii wanaotumia befor kupanda Kwa stage

Sasa mnaruhusu vipi wachezaji wajidunge madawa Kwa kisingizio taarifa ifichwe ili kutoharibu ajira ya Mpira

This is the highest level of insanity

Tutaharibu soccer kuwashindanisha watu Wanaotumia drugs na wasio tumia

Hili suala sio zuri ata kidogo watanzania tuacheni uchawa Kwa wenye pesa
Mtoa mada tukikupeleka kwa pilato unaweza kuthibitisha hizi tuhuma zako???
 
Hakuna timu fulani inayoshutumiwa kupiga sindano, bali ni Yanga. Weka vizuri hapo
 
Ni kweli icho kipindi siku hizi hawa chambui mpila dakika 90, kifundi zaid wao mada zao nyingi ni nje ya uwanja tu, inshot wamezoea kazi watafute wanao jua mpila dk 90, wakina master tindwa wawe wengi zaidi
Wanaongea upuuzi mno
 
Niliwasikia jana, wale ni makanjanja tu, hamna waandishi wa habari pale..halaf ni kama kwa namna furani walikua wanaituhumu simba kwa kusambaza hizo habari, japo hawakuisema moja kwa moja, ukimsikiliza yule mwehu njenge utaona kabisa, nani hawajui clouds ni maadui wa simba..video kila mtu ameona , kama ni jambo jema kwanin timu ilificha kamera kwa kitambaa au kwanini madaktari wa timu wasitoke wakanushe au waeleze hizo sindano ni za nini
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3146808
Bado hujakoma tuu? Bwege wewe
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3146808
Umesahau 5 bila au ulikuwa hujazaliwa?
 
Back
Top Bottom