hilooooo mmepigwaaa...Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3146808
Nikuone wapi unipooze maumivu Ndugu yangu Makolokolo Mwandamizi 😉🤭H
hilooooo mmepigwaaa...
Dunga dunga Fc
Mtoa mada tukikupeleka kwa pilato unaweza kuthibitisha hizi tuhuma zako???Habari za mda huu Wana michezo?
Kuna mtu Jana mwenye akili timamu aliesikiliza hoja za wachambuzi wa ichi kipindi kuhusu team flani kushtumiwa kutumia sindano na dawa za kusisimua misuli?
Ivi huu uchawa tuna tutauacha lini yaani mnatetea team kushinda kwaa kujidunga sindano kuwa itaharibu taswira ya Mpira wa Tanzania izo ni akili timamu?
Mmeshawahi kutumia madawa mkaona reality ya mtu aaliyetumia na asiye tumia in short aliye expose iyo issue alipaswa kupongezwa kabisa sio kudhihakiwa madawa ya kulevya mtu Akitumia asiwe addicted sana anakuwa na mzuka usio kawaida mfano wasanii wanaotumia befor kupanda Kwa stage
Sasa mnaruhusu vipi wachezaji wajidunge madawa Kwa kisingizio taarifa ifichwe ili kutoharibu ajira ya Mpira
This is the highest level of insanity
Tutaharibu soccer kuwashindanisha watu Wanaotumia drugs na wasio tumia
Hili suala sio zuri ata kidogo watanzania tuacheni uchawa Kwa wenye pesa
Hana cha kuandika tofauti na huo ujinga kila postiWapi
Bado hujakoma tuu? Bwege weweSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3146808
Bwahaaaaaaaah 😆Bado hujakoma tuu? Bwege wewe
Then Tabora, sijui asaliIla kiukweli mashabiki wa simba mnaboa sana
Na mpira wa tz unaharibiwa na ninyi
Mara GSM
Marefa
Uchawi
Bahasha
Sasa mmekuja na sindano
Umesahau 5 bila au ulikuwa hujazaliwa?Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3146808