Clouds Media katika mahojiano yake na Israel Mbonyi wamefanya vitu unprofessional, unethical na vitu vya kijinga na kuliabisha taifa

Clouds Media katika mahojiano yake na Israel Mbonyi wamefanya vitu unprofessional, unethical na vitu vya kijinga na kuliabisha taifa

Leo katika mahojiano yao na mwimbaji wa injili kutoka Rwanda Israel Mbonyi kuna mtangazaji ( Nadhani ni Sudi Brown) wakati Israel akijibu swali kuhusu kama ana mahusiano ama la (japo nalo sikuona kama ni swali la msingi) baada ya Israel kujibu kwamba hana mke ndipo Sudi akachomokea kwamba pengine Israel huwa anajichukulia sheria mkononi akimaanisha kwamba huwa anajichua (kupiga puli)

Sasa unajiuliza hivi kweli mwandishi kama huyu tena anamuhoji mwimbaji wa nyimbo za injili ambaye anafanya media tour kuhusu tamasha la nyimbo za injili kuna haja gani ya kuuliza swali la kijinga namna hii?

Nimefuatilia mahojiano aliyowahi kuyafanya Israel katika nchi mbalimbali na vyombo mbali mbali vya habari nadhani interview hii amekutana na maswali ya kijinga kuliko kote alikopita. Yani watangazaji hawajaji organise nani aulize swali, aina ya swali na kwa wakati gani. Unakuta hajamaliza kujibu swali hili mwingine alishachomea lingine. Yanj hadi kiu ya kutaka kumsikiliza Mbonyi ikakata
View attachment 3140424


Clouds kwa ujinga huu alaf mjiite wa kimataifa kweli? Alaf mnafikiri kila mtu labda ni Shilole kwamba mnahoji masuala ya mahusiano? Yani nchi hii inawaza mapenzi tu.

Takataka kabisa.
Siyo alaf ni halafu, wewe na hao clouds hamna totauti.
 
Media za kibongo wanachojuwa wao ni kuwatafuta wadada wenye makalio makubwaaaa na Kuwait kwa mahojiano

Ova
 
Nimejisikia aibu sana, wamemvunjia heshima Israel Mbonyi.

Na mbona amejibu swali lao kwa hekima sana? Au ndio hakuelewa lugha imempiga chenga hadi kuchombeza na huo upuuzi?

Kwa jinsi alivyojibu mjadala ulipaswa kuishia hapo.
Huenda walikua na majibu yao kichwani 😀
 
siku zote tunawashauri waTanzania kuwa wazalendo kwa kutazama TBC ukweli na uhakika, ninyi mnang"ang"ana huko, tazama sasa mmekwazwa huko mnakuja kulialia humu jukwaani ili kupata relief..

TBC ukweli na uhakika huwezi kukwazika kiasi hicho 🐒
TBC hii waliotudangaya Trump kampongeza dikteta Magufuli?
 
Leo katika mahojiano yao na mwimbaji wa injili kutoka Rwanda Israel Mbonyi kuna mtangazaji ( Nadhani ni Sudi Brown) wakati Israel akijibu swali kuhusu kama ana mahusiano ama la (japo nalo sikuona kama ni swali la msingi) baada ya Israel kujibu kwamba hana mke ndipo Sudi akachomokea kwamba pengine Israel huwa anajichukulia sheria mkononi akimaanisha kwamba huwa anajichua (kupiga puli)

Sasa unajiuliza hivi kweli mwandishi kama huyu tena anamuhoji mwimbaji wa nyimbo za injili ambaye anafanya media tour kuhusu tamasha la nyimbo za injili kuna haja gani ya kuuliza swali la kijinga namna hii?

Nimefuatilia mahojiano aliyowahi kuyafanya Israel katika nchi mbalimbali na vyombo mbali mbali vya habari nadhani interview hii amekutana na maswali ya kijinga kuliko kote alikopita. Yani watangazaji hawajaji organise nani aulize swali, aina ya swali na kwa wakati gani. Unakuta hajamaliza kujibu swali hili mwingine alishachomea lingine. Yanj hadi kiu ya kutaka kumsikiliza Mbonyi ikakata
View attachment 3140424


Clouds kwa ujinga huu alaf mjiite wa kimataifa kweli? Alaf mnafikiri kila mtu labda ni Shilole kwamba mnahoji masuala ya mahusiano? Yani nchi hii inawaza mapenzi tu.

Takataka kabisa.
Nchi hii kwa sasa Ina uhaba wa waandishi wa habari wa maana, wengi ni wahovyo hovyo tu. Kuanzia wanahari wa michezo mpaka siasa wote ni wahovyo tu
 
SEMA uzuri mwamba hajaelewa kuchukua Sheria mkonon inamanisha nani lasivyo angesusa interview angewashtak
 
Sudi brown pale hakuna mtangazaji. Kuna ulimbukeni mwingi sana kwa huyo brown hana anachojua na hajui ya kwamba hajui kazi ni kulazimisha tu mambo yaende.
 
Leo katika mahojiano yao na mwimbaji wa injili kutoka Rwanda Israel Mbonyi kuna mtangazaji ( Nadhani ni Sudi Brown) wakati Israel akijibu swali kuhusu kama ana mahusiano ama la (japo nalo sikuona kama ni swali la msingi) baada ya Israel kujibu kwamba hana mke ndipo Sudi akachomokea kwamba pengine Israel huwa anajichukulia sheria mkononi akimaanisha kwamba huwa anajichua (kupiga puli)

Sasa unajiuliza hivi kweli mwandishi kama huyu tena anamuhoji mwimbaji wa nyimbo za injili ambaye anafanya media tour kuhusu tamasha la nyimbo za injili kuna haja gani ya kuuliza swali la kijinga namna hii?

Nimefuatilia mahojiano aliyowahi kuyafanya Israel katika nchi mbalimbali na vyombo mbali mbali vya habari nadhani interview hii amekutana na maswali ya kijinga kuliko kote alikopita. Yani watangazaji hawajaji organise nani aulize swali, aina ya swali na kwa wakati gani. Unakuta hajamaliza kujibu swali hili mwingine alishachomea lingine. Yanj hadi kiu ya kutaka kumsikiliza Mbonyi ikakata
View attachment 3140424


Clouds kwa ujinga huu alaf mjiite wa kimataifa kweli? Alaf mnafikiri kila mtu labda ni Shilole kwamba mnahoji masuala ya mahusiano? Yani nchi hii inawaza mapenzi tu.

Takataka kabisa.
Mm sijaona shida hapa, swala la kijilipua ni mtambuka
 
Clouds imejaa machawa, wavuta bangi, wavuta unga, na wale watu wanaosemwaga na dudu Baya, weledi ni zero , muimbaji wa nyimbo za injili hawezi kuhojiwa na akina sudi brown alitakiwa ahojiwe na akina Sam sasali , mbonyi ni muimbaji wa kimataifa au hawakuona Kenya walivompokea na media tour kenya waliicoordinate namna gani
 
Back
Top Bottom