Clouds media na msiba wa Langa!

Clouds media na msiba wa Langa!

Kumbe mmeshindwa kuheshimu maazimio yenu ya kutokusikliza Clouds, kweli hii ni Radio ya watu. Hapa Times ina safar ndef na ngumu sana! Mnajifanya hamsikilizi Clouds lakin mko update kwa kila kinachotangazwa huko, nimeamin Ruge ni bonge la Marketier kageuza challenge za Wana Jf kuwa Fursa, sasa wote wanahamasika kusikiliza Clouds!

Mi nishahitimisha kuwa hao wote wanaoi-diss Clouds ndo wasikilizaji nambari wani maana kama ulivyosema wako up to date kichiizi na happenings za hiyo redio.
 
Siku kadhaa sasa zimepita na hakuna update yoyote kuhusu msiba wa msanii Langa Kileo kutoka Clouds (Vimbelembele) wala media yoyote hapa nchini!
Je, hakuwa msanii kama wakina marehemu Steven Kanumba, Bi. Kidude Sharomilionea na Ngwea!
Heri ya nyie watu sijui imesimamia upande upi! Wangetangaza mngesema wana-take advantage na msiba wa Langa, aaaargh!
 
Toka zako hapa. Unajua maana ya critical thinker wewe au umekariri tu?



Wewe mbona mgumu kuelewa wewe? Watanzania mnapenda sana kutumia visivyo phrases za watu.

Huja-declare interest bali 'in the interest of full disclosure' umeweka hadharani unazi wako kwa CHADEMA.

Natumai baada ya kukusahihisha mara mbili hutarudia tena kosa. Sawa ndugu?



Kwanza, unakosea unaposema natetea kila kitu kuhusu Clouds. Hiyo siyo kweli.

Pili, mimi sina maslahi yoyote mahsusi.

Tatu, sitokwi na mapovu.

Nne, mimi siyo bandwagoner. Sirukii tu bandwagon kisa ni kitu ambacho ni popular kukifanya. Sijawahi hata kidogo kuwa mfuata mkumbo.

Kuna wengine humu wamefikia hatua ya kuabudu watu hadi kufikia wakimuona mtu huyo kachukua msimamo fulani basi na wao wanachukua msimamo huo huo. Hawawezi kuchukua misimamo yao kabla ya mungu wao hajachukua msimamo. Na hawawezi kabisa kupingana na hao watu wanaowaabudu.

Mimi siko hivyo. Mimi napima na kutafakari mambo kwa kadri ya uwezo wangu bila ushawishi wa yeyote kabla sijachukua msimamo na huwa siyumbishwi yumbishwi hovyo kama watu wengine.

Hivyo, kutetea kwangu Clouds kuhusiana na hili sakata la sasa hakujatokea tu hivi hivi. Nilisoma ule waraka wa kwanza wa huyo mwanamke na sikuona madai yoyote yale yaliyo mahsusi. Nilichoona ni madai ya jumla jumla mno tena ambayo mengine yalikuwa si sahihi.

Kwa jinsi nilivyo, hata wewe siku ikitokea nimeona unashambuliwa tu pasi na sababu, nitakuwa upande wako, yaani kwa maneno yako - nitatoa povu kukutetea. Hivyo ndivyo nilivyo.

kitulize wewe,kama huna kazi
kanunue topaz upunguze mzigo wa zi.vu
 
Siku kadhaa sasa zimepita na hakuna update yoyote kuhusu msiba wa msanii Langa Kileo kutoka Clouds (Vimbelembele) wala media yoyote hapa nchini!
Je, hakuwa msanii kama wakina marehemu Steven Kanumba, Bi. Kidude Sharomilionea na Ngwea!

wabongo tuna long way to go. hivi kwani wasanii hawawezi shirikiana bila kuhamasishwa na clouds? ivi clouds wasipotoa support kwenye msiba flan hata media nyingine hazishiriki mfano msiba wa langa clouds wangetoa support msiba ungejaa watu na media. clouds japo inapondwa kiukweli ina influence sana kwa vijana.
wasanii ni wanafiki mpaka wasikie clouds imeshiriki ndipo utaskia wanajifanya wana majonzi .............
 
Toka zako hapa. Unajua maana ya critical thinker wewe au umekariri tu?



Wewe mbona mgumu kuelewa wewe? Watanzania mnapenda sana kutumia visivyo phrases za watu.

Huja-declare interest bali 'in the interest of full disclosure' umeweka hadharani unazi wako kwa CHADEMA.

Natumai baada ya kukusahihisha mara mbili hutarudia tena kosa. Sawa ndugu?



Kwanza, unakosea unaposema natetea kila kitu kuhusu Clouds. Hiyo siyo kweli.

Pili, mimi sina maslahi yoyote mahsusi.

Tatu, sitokwi na mapovu.

Nne, mimi siyo bandwagoner. Sirukii tu bandwagon kisa ni kitu ambacho ni popular kukifanya. Sijawahi hata kidogo kuwa mfuata mkumbo.

Kuna wengine humu wamefikia hatua ya kuabudu watu hadi kufikia wakimuona mtu huyo kachukua msimamo fulani basi na wao wanachukua msimamo huo huo. Hawawezi kuchukua misimamo yao kabla ya mungu wao hajachukua msimamo. Na hawawezi kabisa kupingana na hao watu wanaowaabudu.

Mimi siko hivyo. Mimi napima na kutafakari mambo kwa kadri ya uwezo wangu bila ushawishi wa yeyote kabla sijachukua msimamo na huwa siyumbishwi yumbishwi hovyo kama watu wengine.

Hivyo, kutetea kwangu Clouds kuhusiana na hili sakata la sasa hakujatokea tu hivi hivi. Nilisoma ule waraka wa kwanza wa huyo mwanamke na sikuona madai yoyote yale yaliyo mahsusi. Nilichoona ni madai ya jumla jumla mno tena ambayo mengine yalikuwa si sahihi.

Kwa jinsi nilivyo, hata wewe siku ikitokea nimeona unashambuliwa tu pasi na sababu, nitakuwa upande wako, yaani kwa maneno yako - nitatoa povu kukutetea. Hivyo ndivyo nilivyo.

kitulize wewe,kama huna kazi
kanunue topaz upunguze mzigo wa zi.vu
 
wabongo tuna long way to go. hivi kwani wasanii hawawezi shirikiana bila kuhamasishwa na clouds? ivi clouds wasipotoa support kwenye msiba flan hata media nyingine hazishiriki mfano msiba wa langa clouds wangetoa support msiba ungejaa watu na media. clouds japo inapondwa kiukweli ina influence sana kwa vijana.
wasanii ni wanafiki mpaka wasikie clouds imeshiriki ndipo utaskia wanajifanya wana majonzi .............

waraka wa anakonda huenda umeanza kufanya kazi
 
Kumbe mmeshindwa kuheshimu maazimio yenu ya kutokusikliza Clouds, kweli hii ni Radio ya watu. Hapa Times ina safar ndef na ngumu sana! Mnajifanya hamsikilizi Clouds lakin mko update kwa kila kinachotangazwa huko, nimeamin Ruge ni bonge la Marketier kageuza challenge za Wana Jf kuwa Fursa, sasa wote wanahamasika kusikiliza Clouds!

ndio maana amekuinamisha na ukjilainisha kama vile ni mumeo

opportunistic ruge
 
Chuki zenu sasa zinazielemea akili zenu!

umeona kaka yangu yaani nakwambia ile Radio ndo kila kitu!Ndo habari ya mjini,sasa wameagmini kwamba wao ni akina nani si wameona?wasipojitokeza kwenye jambo linavyodolola na wakijiingiza kwenye jambo linavyofana.That is it!
 
umeona kaka yangu yaani nakwambia ile Radio ndo kila kitu!Ndo habari ya mjini,sasa wameagmini kwamba wao ni akina nani si wameona?wasipojitokeza kwenye jambo linavyodolola na wakijiingiza kwenye jambo linavyofana.That is it!

Mbona kwenye MwanaFatumA walikuwa wenyewe?,,,hahahah
 
Kumbe mmeshindwa kuheshimu maazimio yenu ya kutokusikliza Clouds, kweli hii ni Radio ya watu. Hapa Times ina safar ndef na ngumu sana! Mnajifanya hamsikilizi Clouds lakin mko update kwa kila kinachotangazwa huko, nimeamin Ruge ni bonge la Marketier kageuza challenge za Wana Jf kuwa Fursa, sasa wote wanahamasika kusikiliza Clouds!

Nyumba ndogo ya Rugay na wewe hujanunulia Rav4 kwa jasho ka Marehemu Ngwea na Langa?
 
Mmeenda South na kupiga Promo ya wiki nzima ila Langa ni jirani yenu kabisa hapo hapo Mikocheni mmeshindwa kwenda?
 
Back
Top Bottom