Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni tuhuma nzito!Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Mi Nina uhakika asilimia mia ndo mana Uzi huu utaondolewa kwa sababu hata mxen melo ni mhaya piaHizi ni tuhuma nzuto!.
Kwa kweli ingependeza Meneja mwajiri aje ajibu tuhuma hizi kwa takwimu ili kumkomesha mtoa tuhuma na wengine wenye tabia za kutuhumu tuhuma bila kuwa na uhakika wa tuhuma husika au bila kutoa takwimu!.
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Hahaha hapo muhaya ni mmoja tu cizaKipanya, ciza, sasali, mwihava, pj, kabaya nk
Chalamila analizungumziaje hiliKwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Kuna watu hampendi amani, mna chokochoko mradi tuu kuzua chuki na taharukiKwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Sasa utafanyaje interview bila kuulizwa Jina.Kwanini clouds media ni wakabila sana. Almost wote ni wahaya na interview zao wanakuuuliza jina lako ili wajue we ni mhaya au la! Wapo wachache sana ambao siyo wahaya lakini wameajiriwa kwa bahati mbaya.
Chuki binafsi, PJ ni msukumaKipanya, ciza, sasali, mwihava, pj, kabaya nk
Hautaondolewa maana haujakiuka JF Policy acha uogaMi Nina uhakika asilimia mia ndo mana Uzi huu utaondolewa kwa sababu hata mxen melo ni mhaya pia
Paul James sio MsukumaChuki binafsi, PJ ni msukuma