Clouds media na utapeli wa mchongo wa clouds kupitia kipindi cha 360

Clouds media na utapeli wa mchongo wa clouds kupitia kipindi cha 360

Kama ni elfu moja au 800 ndio wanacheza? Acha wivu

Ungewauliza kwanza na sio kukisia wakili wewe.
 
Malehem ruge apumzike Kwa Amani na si vyema kumtaja marehemu Ila samahani Kwa hili yeye ndye alifundisha crouds media wizi WA staili hii
 
Huu ni utapeli tu kama utapeli mwingine.

Kwa nini wasitowe washindi 10 kila siku? Kwa nini wakusanye pesa nyingi kiasi hiki kiharamia halafu urudishe kiduchu?

Anzisha wewe utoe washindi 10 kwa siku mzee

Kila mtu na mipango yake na strategies zake pia

Tulia tu dawa iingie

Kama vipi cheza na wewe hiyo buku unaweza bahatisha milioni leo.
 
Malehem ruge apumzike Kwa Amani na si vyema kumtaja marehemu Ila samahani Kwa hili yeye ndye alifundisha crouds media wizi WA staili hii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mtoto wa nyoka ni nyoka
 
Mi wasiwasi wangu ni hao wanaojiita ni wataalam wa bodi ya bahati nasibu, iv huwa wanajua hizo software kweli! Make huwa wako kama vile hata ms word hawajui ni hardware au software.
 
Mi wasiwasi wangu ni hao wanaojiita ni wataalam wa bodi ya bahati nasibu, iv huwa wanajua hizo software kweli! Make huwa wako kama vile hata ms word hawajui ni hardware au software.
Na nina mashaka hata hao washindi wenyewe ni wa kupangwa.

Wakati marehemu Mengi anaendesha Jackpot Bingo nilimuona anko wangu kwenye tv kashinda million 10 na nilikuwa na financial harassment, basi after two days nikamtilia timu Anko nipate boost kidogo, akaniambia mjomba twende B bar kwa Remmy tukale mdudu na bia na ndio akanimegea siri akaniambia anko mjini hapa, mimi nimepewa laki tano niuze sura sasa ningeacha kilo tano?

Yani Bongo unaweza kuaminishwa jogoo ni mkubwa kuliko gari.🚗🐓😄😄
 
Wana leseni ya BOT? Unaweza kufanya jambo Clouds Media bila approval ya Joseph Kusaga?
Leseni kutoka BOT ya nn?..naomba unijuze, pia cdhani Kama approval ya Joe inafika Hadi kwenye uendeshaji wa vipndi..Kuna watu wanalipwa kwa Kaz io,
 
Leo nimepata wasaa wa kuangalia local channel clouds tv kwakuwa mimi si mshabiki wa local channel ni nadra kwangu kuangalia hizi channel.

Wakati naangalia porojo za kipindi cha 360 ndipo nikagunduwa hawa clouds kupitia kipindi hiki cha 360 nimebaini kuna utapeli unaendeshwa wameupa jina la pata mchongo.

Ni kwamba wanawaaminisha watu wajinga na wavivu wa kufikiri kwamba clouds kila siku itakuwa inatowa shilling million moja kwa mtu mmoja mwenye bahati atakayeshiriki huo utapeli wa pata mchongo kwa kutuma sms ambayo itakugharimu shilling 1000/=

Sasa twende kwenye fact na evidence, kama watu 10,000 tu wakishiriki utapeli huu, clouds wanaingiza million 10 na kutowa millioni moja kumpa mmoja ya hawa kina Abunuwasi na kumuonesha kwenye media ili mazuzu mzidi kuvutika huku wao wanabaki na million 9 za wajinga.

Hii ni sample ya hesabu ndogo tu lakini ikifanyika research ya kweli unaweza kukuta utapeli huu unashirikisha maelfu ya wajinga kwa sababu Watanzania wengi wapo frasturated.

Sasa hivi tujiulize huu ni mchongo au ni utapeli?

Joseph Kusaga you're better than this, kukusanya bukubuku hizi za watu wasiojielewa kwa maslahi ya Clouds Media siyo sawa hata kidogo.
Unachokisema matola ni sahihi kabisa

Tatizo sahvi wajinga wavivu ni wengi

Ndomana watu wanajipigia hela

Kutoka kwa wajinga

Ova
 
360 hivi bado kinaendeshwa na yule jamaa mwnye bichwa kubwa..mwehu yule uwa anajiona sana halafu kakutana na mungu. Kampa ufupi kamshindilia na likichwa kubwa.
 
Na nina mashaka hata hao washindi wenyewe ni wa kupangwa.

Wakati marehemu Mengi anaendesha Jackpot Bingo nilimuona anko wangu kwenye tv kashinda million 10 na nilikuwa na financial harassment, basi after two days nikamtilia timu Anko nipate boost kidogo, akaniambia mjomba twende B bar kwa Remmy tukale mdudu na bia na ndio akanimegea siri akaniambia anko mjini hapa, mimi nimepewa laki tano niuze sura sasa ningeacha kilo tano?

Yani Bongo unaweza kuaminishwa jogoo ni mkubwa kuliko gari.🚗🐓😄😄

Hiyo ni hiyo, acha kufananisha. Unaona na ankoo alicheza huko🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom